-
Norway2012 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
Makusanyiko ya kwanza baada ya vita yalifanywa Oslo, Bergen, na Trondheim mwezi wa Septemba na Oktoba 1946. Kwa jumla, katika sehemu hizo tatu, watu 3,011 walihudhuria hotuba ya watu wote yenye kichwa “Mkuu wa Amani,” na 52 wakabatizwa—idadi kubwa kwelikweli ikizingatiwa kwamba wakati huo kulikuwa na wahubiri 766 tu nchini Norway.
-
-
Norway2012 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
[Picha katika ukurasa wa 129]
Kusanyiko la wilaya la 1946, mjini Bergen
-