-
Norway2012 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
Mnamo 1906, kusanyiko lingine lilifanywa jijini Bergen, na kuanzia 1909, makusanyiko yalifanywa kila mwaka, na wasemaji walitoka Denmark, Finland, na Sweden.
-
-
Norway2012 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
Jambo lililowafurahisha sana akina ndugu katika miaka hiyo ni ziara za Ndugu Russell. Mwaka wa 1909 aliyatembelea majiji ya Bergen na Kristiania. Ndugu na dada walithamini sana pendeleo la kukutana naye na kusikiliza hotuba zake.
-