Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Papua New Guinea
    2011 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
    • Baadaye, painia mwingine kijana kutoka Australia, Glenn Finlay, alichukua mahali pa Jim na Lionel na akahubiri peke yake kwa miezi 18 huko Kerema. “Ulikuwa wakati mgumu sana kwangu,” anasema Glenn, “na nyakati nyingine nilijiuliza ikiwa nilikuwa nikitimiza jambo lolote kupitia kazi yangu. Lakini tukio fulani lenye kunyenyekeza lilibadili maoni yangu.

      “Mmoja wa wanafunzi wangu wa Biblia alikuwa mzee anayeitwa Hevoko, aliyekuwa mwokaji katika kijiji hicho. Hakujua kusoma wala kuandika na baada ya miezi kadhaa alikuwa ameelewa kweli chache tu za msingi. Nilijiuliza ikiwa kulikuwa na faida yoyote kumfundisha. Kisha asubuhi moja, nilipokaribia nyumba yake, nilisikia sauti yake na nikasimama ili nisikilize. Hevoko alikuwa akisali kwa sauti kwa Yehova, akimshukuru kutoka moyoni kwa sababu amemfundisha ukweli kuhusu jina na Ufalme wake. Sala hiyo ya unyoofu ilinikumbusha kwamba Yehova hutazama mioyo ya watu, si akili. Anajua vizuri ni nani wanaompenda.”—Yoh. 6:44.

  • Papua New Guinea
    2011 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
    • [Picha katika ukurasa wa 96]

      Jim Smith na Glenn Finlay

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki