Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Papua New Guinea
    2011 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
    • Baadaye katika mwezi huo, kikundi kilichokuwa huko Haima kilijenga jumba dogo kwa ajili ya mikutano ya Kikristo. “Jumba hilo lilikuwa na kiunzi cha mbao, paa lililoezekwa kwa nyasi, na kuta zilizofika kiunoni zilizofumwa kwa mianzi,” anakumbuka Elsie Horsburgh ambaye baadaye alihudhuria mikutano huko. “Ndani kulikuwa tu na viti vya mbao, taa ya mafuta, na ubao mweusi mdogo.” Jengo hilo la hali ya chini likawa Jumba la Ufalme la kwanza nchini Papua New Guinea.

  • Papua New Guinea
    2011 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
    • [Picha katika ukurasa wa 85]

      Jumba la Ufalme la kwanza nchini huko Haima, Port Moresby

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki