Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Papua New Guinea
    2011 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
    • Kujifunza lugha mpya kuliwasaidia pia kuwa na subira na hisia-mwenzi walipowafundisha watu ambao hawakujua kusoma au kuandika. Kwa sababu hiyo, waliwasaidia watu wengi wanaopendezwa wajifunze mambo ya msingi yanayohitajika ili kusoma Neno la Mungu. (Isa. 50:4) Matokeo ni kwamba idadi ya wahubiri iliongezeka kutoka 2,000 katika mwaka wa 1989 kufikia 3,000 hivi katika mwaka wa 1998, ongezeko la asilimia 50 katika muda wa miaka tisa tu!

  • Papua New Guinea
    2011 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
    • [Grafu/Picha katika ukurasa wa 118]

      (Ona mpangilio kamili katika nakala iliyochapishwa)

      Jumla ya Wahubiri

      Jumla ya Mapainia

      3,500

      2,500

      1,500

      500

      1955 1965 1975 1985 1995 2005

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki