-
Via Egnatia—Barabara Kuu Iliyosaidia Kuleta MpanukoAmkeni!—1997 | Agosti 22
-
-
[Ramani katika ukurasa wa 16, 17]
(Ona mpangilio kamili katika nakala iliyochapishwa)
UINGEREZA
ULAYA
AFRIKA
BALKANI PENINSULA
MAKEDONIA
UGIRIKI
Dirakiamu, Ilirikamu (DURRES, Albania)
Thesalonike
Apolonia
Amfipolisi
Filipi
Neapolisi (Kaválla)
Bizantiamu (Istanbul)
BAHARI NYEUSI
BAHARI YA MARMARA
THRASI
BAHARI YA AEGEAN
Troasi
UTURUKI
[Hisani ya Picha katika ukurasa wa 16]
Mountain High Maps® Copyright © 1995 Digital Wisdom, Inc.
-
-
Via Egnatia—Barabara Kuu Iliyosaidia Kuleta MpanukoAmkeni!—1997 | Agosti 22
-
-
Via Egnatia—Barabara Kuu Iliyosaidia Kuleta Mpanuko
NA MLETA-HABARI WA AMKENI! KATIKA UGIRIKI
KATIKA mwaka wa 50 W.K., kikundi cha wamishonari Wakristo kilikwenda kwa mara ya kwanza Ulaya. Walikuwa wamekuja kwa mwaliko uliopokewa na mtume Paulo katika maono: “Vuka uingie Makedonia utusaidie.” (Matendo 16:9) Ujumbe juu ya Yesu Kristo ambao Paulo na waandamani wake walileta ulikuwa na athari kubwa sana Ulaya.
Msaada mkubwa sana katika kueneza Ukristo katika Makedonia ulikuwa Via Egnatia, barabara kuu ya Roma iliyotengenezwa. Baada ya kutua kwenye bandari ya Neapolisi (sasa Kaválla, Ugiriki) mwisho wa kaskazini mwa Bahari ya Aegean, wamishonari hao kwa wazi walisafiri kwenye barabara kuu hiyo hadi Filipi, jiji kuu la wilaya ya Makedonia. Barabara hiyo iliendelea hadi Amfipolisi, Apolonia, na Thesalonike, zilizokuwa sehemu ambazo Paulo angetua pamoja na waandamani wake.—Matendo 16:11–17:1.
-
-
Via Egnatia—Barabara Kuu Iliyosaidia Kuleta MpanukoAmkeni!—1997 | Agosti 22
-
-
Baada ya kutua Neapolisi katika mwaka wa 50 W.K., mtume Paulo na waandamani wake walisafiri kilometa 16 kuelekea kaskazini-magharibi kwenye Via Egnatia hadi Filipi.
“Siku ya sabato,” akaandika Luka, “tulitoka nje ya lango kando ya mto, ambako tulikuwa tukifikiri kulikuwako mahali pa sala; nasi tukaketi na kuanza kusema na wanawake waliokuwa wamekusanyika.” Miongoni mwa wanawake waliomsikiliza Paulo alikuwa Lidia. Siku hiyohiyo, yeye na nyumba yake wakawa waamini.—Matendo 16:13, 14.
Kutoka Filipi, Paulo na washiriki wake waliendelea kwenye Via Egnatia kupitia Amfipolisi na Apolonia hadi Thesalonike, jumla ya kilometa 120. (Matendo 17:1)
-