-
Sehemu ya 4—Kuwa Mashahidi Hadi Sehemu ya Mbali Zaidi Sana ya DuniaMashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
Vipi Ureno? Huko pia, wamishonari waliamriwa waondoke nchini. Wakihimizwa na makasisi Wakatoliki, polisi walipekuapekua makao ya Mashahidi wa Yehova, wakawanyang’anya fasihi zao, na kukatiza mikutano yao. Katika Januari 1963 kamanda wa Polisi wa Usalama wa Umma katika Caldas da Rainha hata alitoa amri iliyoandikwa akiwakataza ‘wasifanye utendaji wao wa kusoma Biblia.’ Lakini Mashahidi hawakuachia mbali utumishi wao kwa Mungu. Kulikuwa zaidi ya 13,000 kufikia wakati walipopata utambulisho wa kisheria katika Ureno katika 1974.
-
-
Sehemu ya 4—Kuwa Mashahidi Hadi Sehemu ya Mbali Zaidi Sana ya DuniaMashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
[Picha katika ukurasa wa 494]
Wakati wa marufuku, mikutano ya kutaniko mara nyingi ilifanywa katika sehemu za mashambani, kwa mtindo wa mandari, kama vile hapa katika Ureno
-