Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Tembea Kwa Imani, Si Kwa Kuona!
    Mnara wa Mlinzi—2005 | Septemba 15
    • Tusipokuwa waangalifu, “raha za maisha haya” zinaweza kufanya tupuuze mambo ya kiroho na kuyafanya ‘yasongwe kabisa.’—Luka 8:14.

  • Tembea Kwa Imani, Si Kwa Kuona!
    Mnara wa Mlinzi—2005 | Septemba 15
    • 10. Inafaa tujiulize maswali gani?

      10 Inafaa tujiulize maswali haya: ‘Mimi huona mali kuwa muhimu kadiri gani? Je, ninatumia mali zangu kuponda raha tu au ninazitumia kuendeleza ibada ya kweli? Ni nini huniridhisha zaidi? Je, ni kujifunza Biblia na kufurahia ushirika kwenye mikutano ya Kikristo, au ni kuepuka madaraka ya Kikristo mwishoni mwa juma ili kufanya mambo mengine? Je, mimi hutenga siku nyingi za mwisho wa juma kwa ajili ya tafrija badala ya kutumia wakati huo katika huduma ya shambani na katika shughuli nyingine zinazohusiana na ibada safi?’ Kutembea kwa imani kunamaanisha tuwe na mengi ya kufanya katika kazi ya Ufalme, huku tukitegemea kabisa ahadi za Yehova. —1 Wakorintho 15:58.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki