Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Uzuri Mwingi Mno wa Kiti cha Ufalme cha Yehova cha Kimbingu
    Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
    • Yeye aandika hivi: “Baada ya vitu hivi mimi nikaona, na, tazama! mlango uliofunguliwa katika mbingu, na sauti ya kwanza ambayo mimi nilisikia ilikuwa kama ya tarumbeta, ikinena na mimi, ikisema: ‘Njoo juu huku, na mimi nitaonyesha wewe vitu ambavyo ni lazima vitukie.’” (Ufunuo 4:1, NW)

  • Uzuri Mwingi Mno wa Kiti cha Ufalme cha Yehova cha Kimbingu
    Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
    • 3. Ile sauti “kama ya tarumbeta” inarudisha nini akilini, na bila shaka ni nani aliye Chanzo chayo?

      3 Biblia haitambulishi hii “sauti ya kwanza.” Kama ile sauti ya Yesu yenye nguvu iliyosikiwa mapema zaidi, ina mlio wenye kuamrisha kama tarumbeta. (Ufunuo 1:10, 11) Inakumbusha ule mlio wa pembe wenye kupenya ambao uliashiria kuwapo kwa Yehova kwenye Mlima Sinai. (Kutoka 19:18-20) Bila shaka, Yehova ndiye Chanzo adhimu cha mialiko hiyo. (Ufunuo 1:1)

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki