Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ufunuo—Upeo Wao Wenye Furaha!
    Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
    • 3. Watu wengi wanafikiri Apokalipsi na Har–Magedoni humaanisha nini?

      3 Je! Ufunuo hauitwi pia Apokalipsi? Ndivyo, “ufunuo” ukiwa tafsiri ya Kiswahili ya a·po·kaʹly·psis katika hati ya Kigiriki.

  • Ufunuo—Upeo Wao Wenye Furaha!
    Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
    • 4. Neno “apokalipsi” humaanisha nini hasa, na ni kwa sababu gani kitabu cha mwisho cha Biblia kwa kufaa kinaitwa “Ufunuo”?

      4 Lakini apokalipsi ni nini hasa? Ingawa kamusi huifafanua kwa kutumia semi kama vile “msiba mkubwa wa ulimwengu wote mzima ulio karibu sana,” ile a·po·kaʹly·psis ya Kigiriki humaanisha kwa msingi “kuondoa shela” au “kugubua.” Hivyo, kile kitabu cha mwisho cha Biblia kinaitwa kwa kufaa “Ufunuo.” Hapa tunapata, si ujumbe wa vivi hivi wenye msiba utakaopata ulimwengu uliohukumiwa, bali kugubuliwa kwa kweli za kimungu zinazopasa kujenga katika mioyo yetu tumaini jangavu na imani isiyoondoleka.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki