-
Uadilifu Wachipuka Katika SayuniUnabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
amenizungushia joho la uadilifu,
-
-
Uadilifu Wachipuka Katika SayuniUnabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
26 Wakiwa wamevaa “joho la uadilifu,” Wakristo watiwa-mafuta wamepiga moyo konde kubaki wakiwa wenye utakato na usafi machoni pa Yehova. (2 Wakorintho 11:1, 2) Wakiisha kutangazwa na Yehova kuwa waadilifu kwa kusudi la kurithi uhai wa kimbingu, hawatayarudia kamwe makao yenye ukiwa ya Babiloni Mkubwa, ambaye wamekombolewa kutoka kwake. (Waroma 5:9; 8:30)
-