-
Ufalme wa Mungu Wazaliwa!Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
-
-
“Na yeye akazaa mwana, wa kiume, ambaye anapaswa kuchunga mataifa yote kwa ufito wa chuma.
-
-
Ufalme wa Mungu Wazaliwa!Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
-
-
Kwani, mtoto huyu wa kiume hata ‘atachunga mataifa yote kwa ufito wa chuma’!
12. (a) Katika Zaburi, Yehova aliahidi nini kiunabii kwa habari za Yesu? (b) Ni nini kinachofananishwa na huyo mwanamke kuzaa mwana “ambaye anapaswa kuchunga mataifa yote kwa ufito wa chuma”?
12 Sasa, je! usemi huo unasikika kuwa wenye kuzoeleka? Ndiyo, Yehova aliahidi kiunabii kwa mintarafu ya Yesu: “Wewe utavunja wao kwa fimbo ya kifalme ya chuma, kana kwamba ni chombo cha mfinyanzi wewe utaponda wao vipande vipande.” (Zaburi 2:9, NW) Pia unabii ulitolewa kwa habari yake hivi: “Ufito wa imara yako Yehova atapeleka kutoka Sayuni, akisema: ‘Enda ukishinda katikati ya maadui wako.’” (Zaburi 110:2, NW) Kwa hiyo, uzawa ulioonwa na Yohana unahusu sana Yesu Kristo.
-