Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Rumania
    2006 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
    • Jon Brenca, ambaye sasa anatumika katika Halmashauri ya Ofisi ya Tawi nchini Rumania, anasema hivi: “Kitabu Kiongozi cha Shule ya Huduma ya Kitheokrasi kilichapwa katika Kirumania mwaka wa 1992. Kabla ya hapo ndugu wachache tu ndio waliokuwa na nakala za kitabu hicho zilizochapwa nchini humu. Tulianza kuwazoeza wazee kuongoza Shule ya Huduma ya Kitheokrasi na kuwashauri wanafunzi mwaka wa 1991. Hata hivyo, mara nyingi wazee walisita kutoa ushauri, kwa kuwa siku hizo ushauri ulitolewa na ndugu akiwa jukwaani. Baadhi yao walisema: ‘Ndugu wataudhika tukiwashauri mbele ya wengine.’”

  • Rumania
    2006 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
    • Ndugu Brenca anaeleza: “Makusanyiko ya mzunguko yaliwaelimisha sana ndugu, kwa kuwa Shule ya Huduma ya Kitheokrasi huongozwa na mwangalizi wa wilaya kwenye makusanyiko hayo. Hata hivyo, baada ya miaka michache wote walikuwa wamezoea mpango huo.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki