-
Rumania2006 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
Halmashauri ya Nchi iliandika: “Baada ya miaka 42 ya mateso, tunatuma kwa shangwe ripoti kuhusu kazi ya kuhubiri huku Rumania. Tunamshukuru Baba yetu mwenye upendo, Yehova Mungu, aliyesikiliza sala za mamilioni ya ndugu na kukomesha yale mateso makali.”
-
-
Rumania2006 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
Wakati huo Halmashauri ya Nchi ilisimamia kazi chini ya mwongozo wa ofisi ya tawi ya Austria.
-