-
Je, Umoja wa Kikristo Unawataka Watu Wafanane?Amkeni!—2003 | Mei 8
-
-
Wakristo kadhaa katika karne ya kwanza huko Korintho waliepuka kula nyama ambayo ilikuwa imetolewa dhabihu katika hekalu la sanamu. Baadhi yao waliamini kwamba kula nyama hiyo ni sawa na kuabudu sanamu, na wengine waliona kwamba haidhuru nyama ilitoka wapi. Ili kutatua suala hilo nyeti, Paulo hakutoa sheria ambayo ilionyesha jambo ambalo Wakristo walipaswa kufanya. Badala yake, alisema kwamba watu wangefanya maamuzi tofauti-tofauti kuhusu jambo hilo.a—1 Wakorintho 8:4-13.
-
-
Je, Umoja wa Kikristo Unawataka Watu Wafanane?Amkeni!—2003 | Mei 8
-
-
a Kwa mfano, huenda watu fulani ambao waliabudu sanamu kabla ya kuwa Wakristo hawakuona tofauti yoyote kati ya kula nyama na kuabudu. Sababu nyingine huenda ilikuwa kwamba Wakristo waliokuwa dhaifu wangewaelewa vibaya wale waliokula na wangekwazika.
-