Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Je, Elimu ya Vitu vya Kale Inaunga Mkono Biblia?
    Amkeni!—2007 | Novemba
    • Maandishi Yenye Majina ya Biblia

      Kuna wakati ambapo wasomi maarufu walifikiri kwamba Mfalme Sargoni wa Pili wa Ashuru, ambaye jina lake linapatikana katika Biblia kwenye Isaya 20:1, hakuwahi kuishi. Hata hivyo, mnamo 1843 karibu na mji wa leo wa Khorsabad, Iraki, kwenye kijito cha Mto Tigri, jumba la Mfalme Sargoni [3] liligunduliwa. Lilijengwa katika eneo lenye ukubwa wa ekari 25. Sasa, Sargoni wa Pili ni kati ya wafalme wa Ashuru wanaojulikana zaidi. Katika maandishi [4] yake, anadai kwamba aliteka jiji la Samaria. Kulingana na Biblia, Waashuru walilishinda jiji la Samaria mnamo 740 K.W.K. Sargoni pia alirekodi kwamba alishinda Ashdodi, na hivyo kuunga mkono Isaya 20:1.

  • Je, Elimu ya Vitu vya Kale Inaunga Mkono Biblia?
    Amkeni!—2007 | Novemba
    • 3: Musée du Louvre, Paris; 4: Photograph taken by courtesy of the British Museum;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki