Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Baruku Mwandishi Mwaminifu wa Yeremia
    Mnara wa Mlinzi—2006 | Agosti 15
    • Katika miaka ya karibuni, mihuri miwili ya udongo wa mfinyanzia ya karne ya saba K.W.K. imegunduliwa. Mihuri hiyo ina maandishi “Ya Berekhyahu” [jina la Kiebrania la Baruku], mwana wa Neriyahu [jina la Kiebrania la Neria], Mwandishi.” Ugunduzi wa mihuri hiyo umewafanya wasomi wapendezwe tena na mtu huyo anayetajwa katika Biblia.

  • Baruku Mwandishi Mwaminifu wa Yeremia
    Mnara wa Mlinzi—2006 | Agosti 15
    • Kitabu kimoja (Corpus of West Semitic Stamp Seals) kinatoa hoja nyingine inayoonyesha cheo cha Baruku: “Kwa kuwa muhuri wa udongo wa Berekhyahu ulipatikana pamoja na mihuri mingi ya maofisa wengine wakuu, ni sawa kukata kauli kwamba Baruku/Berekhyahu alikuwa na cheo sawa na hao maofisa wengine.”

  • Baruku Mwandishi Mwaminifu wa Yeremia
    Mnara wa Mlinzi—2006 | Agosti 15
    • a Mihuri hiyo ya udongo wa mfinyanzi ilitumiwa kufunga uzi uliofunga hati muhimu. Udongo huo ulitiwa muhuri ambao ulimtambulisha mwenye hati au yule aliyeituma.

  • Baruku Mwandishi Mwaminifu wa Yeremia
    Mnara wa Mlinzi—2006 | Agosti 15
    • [Picha katika ukurasa wa 16]

      Muhuri wa udongo wa Baruku

      [Hisani]

      Bulla: Courtesy of Israel Museum, Jerusalem

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki