-
Maneno “Nafsi” na “Roho” Yanamaanisha Nini Hasa?Biblia Inafundisha Nini Hasa?
-
-
Waandishi wa Biblia walitumia neno la Kiebrania ruʹach au neno la Kigiriki, pneuʹma waliporejelea “roho.” Maandiko yenyewe yanaonyesha maana ya maneno hayo.
-
-
Maneno “Nafsi” na “Roho” Yanamaanisha Nini Hasa?Biblia Inafundisha Nini Hasa?
-
-
Andiko la Yakobo 2:26 linasema kwamba “mwili bila roho [pneuʹma] umekufa.” Katika andiko hilo “roho” inamaanisha kile ambacho huupa mwili uhai.
-