-
‘Mkashangilie Daima kwa Ajili ya Hivi Niviumbavyo’Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
“Nao watajenga nyumba, na kukaa ndani yake; watapanda mizabibu, na kula matunda yake. Hawatajenga, akakaa mtu mwingine ndani yake; hawatapanda, akala mtu mwingine; maana kama siku za mti ndivyo zitakavyokuwa siku za watu wangu, na wateule wangu wataifurahia kazi ya mikono yao muda wa siku nyingi.” (Isaya 65:21, 22)
-
-
‘Mkashangilie Daima kwa Ajili ya Hivi Niviumbavyo’Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
30. Watumishi wa Yehova wanafurahia hali gani leo, na watafurahia nini katika ulimwengu mpya?
30 Unabii huu umepata utimizo fulani katika siku zetu. Watu wa Yehova walitoka kwenye uhamisho wa kiroho mwaka wa 1919, wakaanza kurudisha hali za kwanza katika “nchi” au makao yao ya utendaji na ibada. Walijenga makutaniko na kusitawisha hali ya kuzaa matunda ya kiroho. Matokeo ni kwamba, hata sasa watu wa Yehova wanafurahia paradiso ya kiroho na amani waliyopewa na Mungu.
-