-
“Kutetea na Kuthibitisha Kisheria Habari Njema”Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
Kuimarisha Uhakikisho wa Uhuru
Mojawapo ya kesi za kwanza zinazohusiana na huduma ya Mashahidi wa Yehova kufikia Mahakama Kuu Zaidi ya Marekani ilitoka katika Georgia na ilijadiliwa mbele ya Mahakama hiyo mnamo Februari 4, 1938. Alma Lovell alikuwa ameshtakiwa katika mahakama ya Griffin, Georgia, juu ya kukiuka sheria iliyokataza kugawanywa kwa fasihi za aina yoyote bila kibali cha mkuu wa jiji. Miongoni mwa mambo mengine, Dada Lovell alikuwa amewatolea watu gazeti The Golden Age. Mnamo Machi 28, 1938, Mahakama Kuu Zaidi ya Marekani iliamua kwamba sheria hiyo haikufaa kwa sababu ilizuia uhuru wa uandishi na kuleta ukaguzi.c
-
-
“Kutetea na Kuthibitisha Kisheria Habari Njema”Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
c Lovell v. City of Griffin, 303 U.S. 444 (1938).
-