-
Yehova Anafunua Mambo Ambayo “Lazima Yatendeke Upesi”Mnara wa Mlinzi—2012 | Juni 15
-
-
Mnyama huyo ambaye Danieli aliona anafananisha Serikali Kuu ya Ulimwengu ya Roma. (Tazama chati kwenye ukurasa wa 12-13.) Katika karne ya tano W.K., Milki ya Roma ilianza kusambaratika. Pembe kumi zinazoota kwenye kichwa cha mnyama huyo mwenye kuogopesha zinafananisha falme zilizotokana na milki hiyo.
-
-
Yehova Anafunua Mambo Ambayo “Lazima Yatendeke Upesi”Mnara wa Mlinzi—2012 | Juni 15
-
-
a Katika Biblia, mara nyingi nambari kumi inawakilisha kikundi kamili, katika kisa hiki inawakilisha falme zote zilizotokana na Milki ya Roma.
-