-
Ujumbe Mtamu na MchunguUfunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
-
-
‘Kutakuwa hakuna ukawio zaidi tena.’” (Ufunuo 10:5, 6, NW)
-
-
Ujumbe Mtamu na MchunguUfunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
-
-
11, 12. (a) Ni nini kinachomaanishwa na “kutakuwa hakuna ukawio zaidi tena”? (b) Ni nini kinacholetwa kwenye tamati?
11 Neno la Kigiriki lililotafsiriwa hapa “ukawio” ni khroʹnos, ambalo kihalisi humaanisha “wakati.” Hivyo wengine wamehisi kwamba julisho-wazi hili la malaika lapaswa kutafsiriwa: “Kutakuwa hakuna wakati zaidi tena,” kana kwamba wakati kama tuujuavyo utakoma. Lakini neno khroʹnos hapa linatumiwa bila neno kidhihirisho. Hivyo, halimaanishi wakati katika maana ya ujumla, bali, “wakati fulani” au “kipindi fulani cha wakati.” Kwa maneno mengine, hakutakuwa na kipindi zaidi cha wakati (au, ukawio) kwa Yehova. Kitenzi cha Kigiriki kinachotokana na khroʹnos kinatumiwa pia kwenye Waebrania 10:37, ambapo Paulo akinukuu kutoka Habakuki 2:3, 4, (NW) huandika kwamba “yeye ambaye anakuja . . . hatakawia.”
-