Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kazi ya Kuhubiri Yenye Kufurahisha Sana
    Mnara wa Mlinzi—2003 | Aprili 15
    • Kampeni za pekee zinazofanywa na mapainia hupangwa nchini Mexico ili kuhubiri maeneo yasiyohubiriwa na makutaniko na ambayo hayafikiwi na habari njema za Ufalme wa Mungu kwa ukawaida. Kwa kawaida, maeneo hayo ni ya mbali na hayafikiki kwa urahisi. Pia mapainia husaidia makutaniko ya mbali yaliyo na maeneo makubwa.

      Ili kuamua ni sehemu gani ya nchi itakayohubiriwa na mapainia hao, ofisi ya tawi ya Mashahidi wa Yehova huchunguza mahitaji ya eneo.a Baada ya kuchunguza mahitaji hayo, vikundi vya mapainia wa pekee hutumwa kuhubiri maeneo hayo. Wanapewa magari yanayofaa barabara mbaya zisizo na lami. Magari hayo hutumiwa pia kama mahali pa kuweka vitabu na pa kulala inapohitajiwa.

  • Kazi ya Kuhubiri Yenye Kufurahisha Sana
    Mnara wa Mlinzi—2003 | Aprili 15
    • a Hivi karibuni, zaidi ya asilimia 8 ya eneo la Mexico halikuwa likihubiriwa kwa ukawaida na makutaniko ya Mashahidi wa Yehova. Hiyo inamaanisha kwamba kuna watu zaidi ya 8,200,000 wanaoishi katika maeneo ya mbali yasiyohubiriwa kwa ukawaida.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki