-
“Wao Si Sehemu ya Ulimwengu”Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
Vita ya Ulimwengu 2, ilipokuwa ingali inaendelea, katika 1942, Mashahidi wa Yehova walikuwa tayari wametambua kutoka Biblia, kwenye Ufunuo 17:8, kwamba tengenezo la amani ya ulimwengu lingesimama tena, pia kwamba lingeshindwa kuleta amani ya kudumu. Jambo hilo lilielezwa na N. H. Knorr, wakati huo akiwa msimamizi wa Watch Tower Society, katika hotuba ya mkusanyiko “Amani—Je, Inaweza Kudumu?” Kwa ujasiri Mashahidi wa Yehova walipiga mbiu ya maoni ya hali hiyo ya ulimwengu iliyokuwa ikisitawi.
-
-
“Wao Si Sehemu ya Ulimwengu”Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
[Picha katika ukurasa wa 193]
Mashahidi wa Yehova walikataa kukubali Ushirika wa Mataifa au UM kuwa watoka kwa Mungu bali walitetea tu Ufalme wa Mungu kupitia Kristo
-