-
Tangazeni Mfalme na Ufalme! (1919-1941)Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
Katika pindi ya wakati ambao ndugu hao walikuwa gerezani, uangalizi wa kitengenezo wa kazi ya kutoa ushahidi ulikuwa kwa sehemu kubwa umefungwa. Brooklyn Tabernacle ilikuwa imeuzwa na Kao la Betheli likafungwa. Ofisi za makao makuu katika Pittsburgh zilikuwa ndogo, na fedha zilikuwa haba.
-
-
Tangazeni Mfalme na Ufalme! (1919-1941)Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
Kufikia Julai 1919, Ndugu Rutherford alikuwa amerudi kazini kwenye makao makuu katika Pittsburgh. Mambo yalitukia haraka sana wakati wa miezi michache iliyofuata. Mipango ilifanywa kwa ajili ya mkusanyiko wa Wanafunzi wa Biblia ambao ungefanywa katika Cedar Point, Ohio, Septemba 1-8, 1919. Ofisi za Sosaiti zilirudishwa Brooklyn na zilikuwa zikifanya kazi kufikia Oktoba 1.
-