-
Kukubali Mialiko ya Yehova HuthawabishaMnara wa Mlinzi—2001 | Desemba 1
-
-
Ndugu Knorr, kutoka makao makuu huko New York, alituhimiza hivi: “Endeleeni kumtumikia Yehova kwa uaminifu. Hamjui Yehova ataruhusu nini. Kwani, huenda mkahudhuria mkusanyiko wa kimataifa hapa Ureno!”
Mwaka uliofuata kazi yetu ya kuhubiri ilitambuliwa kisheria nchini Ureno. Maneno ya Ndugu Knorr yalithibitika kuwa kweli kwa kuwa Aprili 25, 1978, tulifanya mkusanyiko wetu wa kwanza wa kimataifa huko Lisbon. Lilikuwa pendeleo lililoje kutembea katika barabara za Lisbon, huku tukitoa ushahidi kwa mabango na magazeti, na pia kualika watu kwenye hotuba ya watu wote! Ilikuwa kama ndoto iliyotimia.
-
-
Kukubali Mialiko ya Yehova HuthawabishaMnara wa Mlinzi—2001 | Desemba 1
-
-
[Picha katika ukurasa wa 28]
Kutoa ushahidi barabarani huko Lisbon wakati wa Mkusanyiko wa Kimataifa wa “Imani Yenye Ushindi” mwaka wa 1978
-