-
Tauni za Yehova juu ya Jumuiya ya WakristoUfunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
-
-
28. Kunakuwa nini wakati malaika wa tatu anapopuliza tarumbeta yake?
28 “Na malaika wa tatu akapuliza tarumbeta yake. Na nyota kubwa yenye kuwaka kama taa ikaanguka kutoka mbinguni, na ikaanguka juu ya theluthi moja ya mito na juu ya vibubujiko vya maji. Na jina la nyota linaitwa Pakanga. Na theluthi ya maji ikageuka kuwa pakanga, na wengi wa wanadamu wakafa kwa hayo maji, kwa sababu haya yalikuwa yamefanywa kuwa machungu.” (Ufunuo 8:10, 11, NW)
-
-
Tauni za Yehova juu ya Jumuiya ya WakristoUfunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
-
-
31. (a) Ni lini viongozi wa kidini wa Jumuiya ya Wakristo walipoanguka kutoka cheo cha “kimbingu”? (b) Maji ambayo viongozi wa kidini wanatoa yamegeukaje yakawa “pakanga,” na kukiwa na tokeo gani kwa wengi?
31 Wakati viongozi wa kidini wa Jumuiya ya Wakristo walipoasi Ukristo wa kweli, wao walianguka kutoka cheo kilichotukuka cha “kimbingu” kinachoelezwa na Paulo kwenye Waefeso 2:6, 7, NW. Badala ya kutoa maji safi ya ukweli, wao walitoa “pakanga,” uwongo mchungu kama vile moto wa mateso, pargatori, Utatu, na watu kuandikiwa kimbele mwisho wao; pia waliongoza mataifa kwenye vita, wakishindwa kuwajenga wawe watumishi waadilifu wa Mungu. Tokeo? Kusumishwa kiroho kwa wale walioitikadi uwongo huo. Kisa chao kilifanana na kile cha Waisraeli wasio waaminifu wa siku ya Yeremia, ambao kwao Yehova alisema: “Hapa mimi ninafanya wao kula pakanga, na mimi nitawapa maji yaliyosumishwa wanywe. Kwa kuwa kutoka manabii wa Yerusalemu uasi-imani umetoka na kwenda kwenye bara lote.”—Yeremia 9:15; 23:15, NW.
-
-
Tauni za Yehova juu ya Jumuiya ya WakristoUfunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
-
-
Kwa sababu ya Mashahidi wa Yehova kuhubiri, idadi kubwa-kubwa za watu wamekuja kung’amua kwamba mafundisho mengi ya kidini wanayofundisha viongozi wa kidini ni sumu ya kiroho—“pakanga.”
-