Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • yb06 kur. 1-2
  • Ukurasa wa Kichwa/Ukurasa wa Wachapishaji

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ukurasa wa Kichwa/Ukurasa wa Wachapishaji
  • 2006 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
  • Vichwa vidogo
  • “Lazima Tumtii Mungu Kuwa Mtawala Kuliko Wanadamu.”—Mdo. 5:29.
2006 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
yb06 kur. 1-2

Ukurasa wa Kichwa/Ukurasa wa Wachapishaji

Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova 2006

Kina Ripoti ya Mwaka wa Utumishi wa 2005

“Lazima Tumtii Mungu Kuwa Mtawala Kuliko Wanadamu.”—Mdo. 5:29.

Muda mfupi kabla ya kufa, Yesu aliwatahadharisha mitume wake kwamba ‘wangechukiwa na mataifa yote.’ (Mt. 24:9) Hali imekuwa hivyo tangu kuanzishwa kwa Ukristo. Serikali nyingi sana zimejaribu kuzuia habari njema isitangazwe, lakini zimeshindwa kwa sababu Yehova huwabariki na kuwalinda washikamanifu wake. (Zab. 97:10) Hivyo, inafaa sana kuzingatia andiko la mwaka wa 2006. Katika kurasa zinazofuata, utasoma masimulizi yanayoonyesha kwamba Mashahidi wa Yehova wanamtii Mungu kuwa Mtawala licha ya upinzani wa wanadamu. Masimulizi hayo na yakuimarishe na kukutia moyo uwaige nyakati zote.

[Picha katika ukurasa wa  2 zimeandaliwa na]

Pages 6 and 12: Globe on brochure covers: Used with permission from The George F. Cram Company, Indianapolis, Indiana

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki