Ukurasa wa Kichwa/Ukurasa wa Wachapishaji
Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova 2006
Kina Ripoti ya Mwaka wa Utumishi wa 2005
“Lazima Tumtii Mungu Kuwa Mtawala Kuliko Wanadamu.”—Mdo. 5:29.
Muda mfupi kabla ya kufa, Yesu aliwatahadharisha mitume wake kwamba ‘wangechukiwa na mataifa yote.’ (Mt. 24:9) Hali imekuwa hivyo tangu kuanzishwa kwa Ukristo. Serikali nyingi sana zimejaribu kuzuia habari njema isitangazwe, lakini zimeshindwa kwa sababu Yehova huwabariki na kuwalinda washikamanifu wake. (Zab. 97:10) Hivyo, inafaa sana kuzingatia andiko la mwaka wa 2006. Katika kurasa zinazofuata, utasoma masimulizi yanayoonyesha kwamba Mashahidi wa Yehova wanamtii Mungu kuwa Mtawala licha ya upinzani wa wanadamu. Masimulizi hayo na yakuimarishe na kukutia moyo uwaige nyakati zote.
[Picha katika ukurasa wa 2 zimeandaliwa na]
Pages 6 and 12: Globe on brochure covers: Used with permission from The George F. Cram Company, Indianapolis, Indiana