Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • g99 1/8 uku. 32
  • Je, Ungetaka Kumpendeza Mungu?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Je, Ungetaka Kumpendeza Mungu?
  • Amkeni!—1999
Amkeni!—1999
g99 1/8 uku. 32

Je, Ungetaka Kumpendeza Mungu?

Je, wewe waona uhitaji wa kiroho katika maisha yako? Je, unahisi kwamba kitu fulani kinakosekana katika ulimwengu ambamo ni vitu vya kimwili tu vinavyotiliwa maanani? Je, ungependa kumjua Mungu na kuwa na uhusiano wa karibu naye?

Huenda ukasema, ‘Ndiyo, ingawaje naweza kufanyaje hilo? Je, si ni jambo gumu sana kusoma na kuielewa Biblia?’ Watu fulani walisoma shuleni kwa miaka michache tu labda kwa sababu ya hali ngumu ya kiuchumi, hivyo huenda wana tatizo la kusoma vizuri. Watu hawa wanaweza kusaidiwaje wamjue Mungu na matakwa yake ili wapate uhai udumuo milele?

Mwaka wa 1996 Watch Tower Society ilitoa kichapo kiitwacho Mungu Anataka Tufanye Nini?, ambacho kufikia wakati huu kimechapishwa katika lugha 211. Kichapo hiki ni broshua yenye rangi kamili yenye kurasa 32, na sehemu 16 ambazo hutoa majibu sahili ya Biblia ya maswali kama vile: Mungu ni nani? Yesu Kristo ni nani? Ni nini kusudi la Mungu kwa dunia? Unaweza kuipataje dini ya kweli? Pia broshua hiyo hueleza jinsi tunavyoweza kumkaribia Mungu katika sala na jinsi tuwezavyo kufurahia maisha ya familia yanayompendeza Mungu.

Ikiwa ungependa kupokea nakala ya broshua hii, tafadhali jaza sehemu hii kisha utupelekee.

□ Nipelekeeni nakala ya broshua Mungu Anataka Tufanye Nini?

□ Tafadhali wasilianeni nami kuhusu funzo la Biblia la nyumbani bila malipo.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki