-
Mashaka Yako Ulimwenguni KoteAmkeni!—1999 | Aprili 8
-
-
Ripoti zenye kusikitisha za vikundi vya watu wenye kuvutiwa kingono na watoto, ambao huwatumia watoto vibaya kwa pupa, zinazidi kupokewa kutoka sehemu zote za ulimwengu. (Ona sanduku kwenye ukurasa wa 7.) Wenye kutendwa vibaya ni wavulana na wasichana wachanga. Wakishawishwa na wanaume wasio na adili, wanatendwa vibaya kingono na kisha wanatishwa au kudekezwa kupita kiasi ili kuwachochea wabaki katika “kikundi” hiki. Wanaume ambao hupanga na kufanya matendo haya maovu mara nyingi huwa ni viongozi mashuhuri wa jumuiya na nyakati nyingine hufanya hivyo huku polisi na idara ya mahakama wakiwa na habari za kutosha na kuwalinda.
-
-
Mashaka Yako Ulimwenguni KoteAmkeni!—1999 | Aprili 8
-
-
Washukiwa walitia ndani walimu, mwanasayansi, mwanafunzi wa sheria, kiongozi wa maskauti, mhasibu, na profesa wa chuo kikuu.
-