Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Jamhuri Ya Kongo (Brazzaville)
    2004 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehovah
    • Lakini kabla ya kurudi, Etienne alimwandikia Timothée Miemounoua, rafiki yake aliyekuwa msimamizi wa chuo cha ufundi huko Brazzaville. Alianza barua yake kwa kusema hivi: “Ninafurahi kukufahamisha kwamba tumekuwa tukifuata njia isiyo ya kweli. Mashahidi wa Yehova wana kweli.” Kisha Etienne akamweleza yale ambayo alikuwa amejifunza. Alimtumia pia kitabu ‘Kweli Itawaweka Huru.’ Timothée alikubali ujumbe wa Biblia kama Etienne na Augustin. Ndugu hao watatu ndio waliokuwa Wakongomani wa kwanza kukubali kweli ya Biblia, na kila mmoja wao aliwasaidia wengine wengi kukubali kweli hiyo.

      Timothée aliwaalika wanafunzi walioishi kwenye chuo cha ufundi washiriki katika mazungumzo ya Biblia saa za jioni. Aliomba pia atumiwe vichapo vingine vya Biblia. Kikundi hicho kidogo kilianza kufanya mikutano na kujitahidi sana kuhubiri.

  • Jamhuri Ya Kongo (Brazzaville)
    2004 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehovah
    • [Picha katika ukurasa wa 138]

      Kikundi cha awali cha wanafunzi wa Biblia mwaka wa 1949, kuanzia kushoto hadi kulia: Jean-Seth Mountsamboté, Timothée na Odile Miemounoua,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki