-
Muumba Wako—Jifunze Jinsi AlivyoMnara wa Mlinzi—1999 | Juni 15
-
-
14. Tusomapo Maandiko ya Kiebrania, tunaweza kunufaika kwa kufanya nini?
14 Vitabu 39 vya Biblia viliandikwa kabla ya wakati wa Yesu, na yafaa tuvisome. Kusudi halipasi kuwa kujifunza tu masimulizi ya Biblia au historia. Kama kweli tunataka kujifunza jinsi Muumba wetu alivyo, tunapaswa kutafakari masimulizi hayo, labda kwa kufikiria, ‘Tukio hili lafunua nini kuhusu utu wake? Ni sifa zake zipi zinazodhihirika hapa?’b
-
-
Muumba Wako—Jifunze Jinsi AlivyoMnara wa Mlinzi—1999 | Juni 15
-
-
b Wazazi wasimuliapo watoto wao masimulizi ya Biblia, wao waweza kuwasaidia kwa kutokeza maswali kama hayo. Kwa njia hiyo vijana wanaweza kumfahamu Mungu, na vilevile kujifunza kutafakari Neno lake.
-