-
Yehova Ni MfalmeUnabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
18, 19. (a) Huenda usemi “jeshi la mahali palipo juu” warejezea nani, nao wakusanywaje “katika shimo”? (b) Huenda “jeshi la mahali palipo juu” litazingatiwaje “baada ya muda wa siku nyingi”? (c) Yehova awazingatiaje “wafalme wa dunia”?
18 Unabii wa Isaya sasa watia ndani mambo mengi zaidi, ukitaja utekelezaji wa mwisho wa kusudi la Yehova: “Itakuwa katika siku hiyo, BWANA ataliadhibu jeshi la mahali palipo juu katika mahali palipo juu, na wafalme wa dunia katika dunia; nao watakusanywa pamoja kama vile wakusanywavyo wafungwa katika shimo nao watafungwa katika gereza; na baada ya muda wa siku nyingi watajiliwa. Ndipo mwezi utatahayari, na jua litaona haya; kwa kuwa BWANA wa majeshi atatawala katika mlima wa Sayuni, na katika Yerusalemu, na mbele ya wazee wake kwa utukufu.”—Isaya 24:21-23.
-
-
Yehova Ni MfalmeUnabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
[Picha katika ukurasa wa 269]
Wala jua wala mwezi hazitafikia utukufu wa Yehova
-