-
Kulia kwa Uchungu na kwa Maumivu Makali, Kutiwa Alama, Kuponda—Lini na Jinsi Gani?Hatimaye Ibada Safi ya Yehova Yarudishwa!
-
-
“Kuponda”
LINI: Wakati wa Har–Magedoni
JINSI GANI: Yesu Kristo na jeshi lake la kimbingu linalotia ndani malaika na watawala wenzake 144,000, watauharibu kabisa ulimwengu huu mwovu na kuwaingiza waabudu wa kweli katika ulimwengu mpya wenye uadilifu
-
-
“Uyatie Alama Mapaji ya Nyuso”Hatimaye Ibada Safi ya Yehova Yarudishwa!
-
-
19. Ni nani watakaokuwa pamoja na Yesu atakapotekeleza hukumu dhidi ya mfumo huu wa mambo? (Tazama sanduku “Kulia kwa Uchungu na kwa Maumivu Makali, Kutiwa Alama, Kuponda—Lini na Jinsi Gani?”)
19 Yesu Kristo, Mfalme aliye mbinguni, pamoja na jeshi lake la mbinguni watatekeleza hukumu dhidi ya mfumo huu wa mambo. Katika maono ya Ezekieli, wanaume sita wenye silaha za kuponda walianza kuharibu baada ya yule mwanamume aliyevalia kitani kumaliza kazi yake. (Eze. 9:4-7) Vivyo hivyo, uharibifu unaokuja utaanza baada ya Yesu kuhukumu watu wa mataifa yote na kuwatia kondoo alama ya kuokoka. Kisha, wakati wa vita vya Har–Magedoni, Yesu ataliongoza jeshi la kimbingu, ambalo litatia ndani malaika watakatifu na watawala wenzake wote 144,000, dhidi ya ulimwengu huu mwovu, atauharibu kabisa na kuwaingiza waabudu wa kweli katika ulimwengu mpya wenye uadilifu.—Ufu. 16:14-16; 19:11-21.
-