Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • ‘Weka Moyoni Mwako’ Hekalu la Mungu!
    Mnara wa Mlinzi—1999 | Machi 1
    • 7. Ni habari gani inayotolewa kuhusu Walawi na makuhani?

      7 Ukuhani pia ungepitia hatua ya kusafishwa, au kutakaswa. Walawi wangepasa kukemewa kwa kukubali ibada ya sanamu, ilhali wana wa kikuhani wa Sadoki wangepongezwa na kuthawabishwa kwa kubaki safi.a Na bado, hivyo vikundi vyote viwili vingepata vyeo vya utumishi katika nyumba ya Mungu iliyorudishwa—ikitegemea, bila shaka, uaminifu wa mtu mmoja-mmoja. Zaidi, Yehova aliamuru: “Nao watawafundisha watu wangu tofauti iliyopo kati ya vitu vitakatifu na vitu vya sikuzote [“vichafu,” NW], na kuwafundisha kupambanua kati ya yaliyo machafu na yaliyo safi.” (Ezekieli 44:10-16, 23) Hivyo ukuhani ungerudishwa, na uvumilivu wenye uaminifu wa makuhani ungethawabishwa.

  • ‘Weka Moyoni Mwako’ Hekalu la Mungu!
    Mnara wa Mlinzi—1999 | Machi 1
    • a Huenda hilo lilimuathiri Ezekieli kibinafsi, kwa kuwa imesemwa kwamba yeye mwenyewe alikuwa wa familia ya kikuhani ya Sadoki.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki