Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ni Nani Ataongoza Mataifa Kwenye Amani?
    Je! Ulimwengu Usio na Vita Utakuwako Wakati Wowote?
    • 15 Pili, huyo mtu mwenyewe alikuwa na sifa za ustahili. Alikuwa wa kutoka kabila la Yuda na mzao wa Mfalme Daudi. (Mwanzo 49:10; 1 Mambo ya Nyakati 17:11-14; linganisha Mathayo 1:1-16; Luka 3:23-31.) Pia, alizaliwa katika Bethlehemu, ulioeleweka kwa ujumla miongoni mwa Wayahudi wa karne ya kwanza kuwa ndipo mahali pa uzaliwa wa Mesiya.c (Mika 5:1 [5:2, UV]; linganisha Mathayo 2:4-6; Luka 2:1-7; Yohana 7:42.) Zote hizi zilikuwa sifa za ustahili za maana ambazo Wayahudi wa siku za Yesu walitarajia Mesiya awe nazo zikiwa njia ya utambulisho.

  • Ni Nani Ataongoza Mataifa Kwenye Amani?
    Je! Ulimwengu Usio na Vita Utakuwako Wakati Wowote?
    • c Lile fasilio la kale katika Kiaramu la Kiyahudi, au Targumu, la Mika 5:1 hutaarifu hivi: “Kutoka kwako [Bethlehemu] Mesiya atatoka kwenda mbele zangu.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki