-
Matayarisho ya Kukabiliana na MatesoMnara wa Mlinzi—1987 | Agosti 1
-
-
BAADA YA kuwaagiza mitume wake katika njia za kuendesha kazi ya kuhubiri, Yesu anawaonya juu ya wapinzani. Yeye anasema: “Tazameni! mimi natuma ninyi kama kondoo kati ya mbwa-mwitu . . . Jilindeni ninyi dhidi ya watu; kwa kuwa watawatoa ninyi kwenye mahakama za mahali, na wao watawapiga ninyi mijeledi katika masinagogi yao. Kwani, ninyi mtaitwa mbele ya magavana na wafalme kwa ajili yangu.”
-
-
Matayarisho ya Kukabiliana na MatesoMnara wa Mlinzi—1987 | Agosti 1
-
-
Ni kweli kwamba Yesu alitoa agizo hili, onyo, na kitia-moyo kwa mitume wake 12, lakini hayo pia yalikusudiwa kwa ajili ya wale ambao wangeshiriki katika kuhubiri ulimwenguni pote baada ya kifo na ufufuo wake. Hilo linaonyeshwa na uhakika wa kwamba yeye alisema wanafunzi wake ‘wangechukiwa na watu wote,’ si na Waisraeli pekee ambao kwao mitume walitumwa kuhubiri. Zaidi ya hilo, kwa wazi mitume hawakuitwa mbele ya magavana na wafalme wakati Yesu alipowatuma nje katika kampeni yao ya muda mfupi ya kuhubiri. Isitoshe, wakati huo waamini hawakutolewa kwenye kifo na washiriki wa jamaa zao.
-