-
Kufanya Hesabu Juu ya Matumizi ya Hazina za KristoUsalama Ulimwenguni Pote Chini ya “Mwana-Mfalme wa Amani”
-
-
6 “Basi, mnyang’anyeni talanta hiyo, mpeni yule aliye nazo talanta kumi. Kwa maana kila mwenye kitu atapewa, na kuongezewa tele; lakini asiye na kitu, hata kile alicho nacho atanyang’anywa. Na mtumwa yule asiyefaa, mtupeni mbali katika giza la nje; ndiko kutakuwako kilio na kusaga meno.”—Mathayo 25:13-30.
7. Talanta hizo zinafananisha nini?
7 Katika mfano huu, zile talanta zinafananisha nini? Kitu chenye thamani kubwa, si kwa maana ya kifedha bali kwa maana ya kiroho. Zile talanta zinafananisha agizo la kufanya wanafunzi wa Kristo. Pamoja na agizo hilo kuna nafasi ile yenye pendeleo kubwa ya kutenda kama mabalozi kwa niaba ya Kristo, Mfalme, kuuwakilisha ule Ufalme kwa mataifa yote ya ulimwengu.—Waefeso 6:19, 20; 2 Wakorintho 5:20, NW.
8. (a) Ile jamii ya mtumwa mwenye “ulegevu” imetupwa katika giza gani katika wakati wa huu “umalizio wa mfumo wa mambo”? (b) Ni kwa sababu gani ulimwengu wa wanadamu haufurahii nuru ya kibali na baraka ya Mungu?
8 Pasipo shaka lo lote, sisi leo tumefikia upeo wa utimizo wa mfano huu wa kiunabii! Kipindi chenye giza zaidi kuliko kinginecho chote katika historia yote ya kibinadamu kimeshukia kizazi hiki! Kweli kweli, kuna giza lenye kufaa nje ya sehemu ionekanayo ya tengenezo la Yehova ambayo katika hiyo ile jamii ya mtumwa mwenye “ulegevu” na “asiyefaa” kitu anaweza kutupwa kwa agizo la Bwana-Mkubwa. Hilo “giza la nje” linaonyesha hali yenye kutiwa giza ya ulimwengu wa wanadamu, sana sana katika maana ya kidini. Ulimwengu wa wanadamu haufurahii nuru ya kibali na baraka ya Mungu. Hauna nuru ya maarifa ya Ufalme wa Mungu. Uko chini ya “mungu wa huu mfumo wa mambo,” ambaye “amepofusha akili za wasioamini, ili mwangaza wa habari njema zenye utukufu juu ya Kristo, ambaye ni mfano wa Mungu usipate kung’aa kwa kupenya.”—2 Wakorintho 4:4, NW.
-
-
Kufanya Hesabu Juu ya Matumizi ya Hazina za KristoUsalama Ulimwenguni Pote Chini ya “Mwana-Mfalme wa Amani”
-
-
6 “Basi, mnyang’anyeni talanta hiyo, mpeni yule aliye nazo talanta kumi. Kwa maana kila mwenye kitu atapewa, na kuongezewa tele; lakini asiye na kitu, hata kile alicho nacho atanyang’anywa. Na mtumwa yule asiyefaa, mtupeni mbali katika giza la nje; ndiko kutakuwako kilio na kusaga meno.”—Mathayo 25:13-30.
7. Talanta hizo zinafananisha nini?
7 Katika mfano huu, zile talanta zinafananisha nini? Kitu chenye thamani kubwa, si kwa maana ya kifedha bali kwa maana ya kiroho. Zile talanta zinafananisha agizo la kufanya wanafunzi wa Kristo. Pamoja na agizo hilo kuna nafasi ile yenye pendeleo kubwa ya kutenda kama mabalozi kwa niaba ya Kristo, Mfalme, kuuwakilisha ule Ufalme kwa mataifa yote ya ulimwengu.—Waefeso 6:19, 20; 2 Wakorintho 5:20, NW.
8. (a) Ile jamii ya mtumwa mwenye “ulegevu” imetupwa katika giza gani katika wakati wa huu “umalizio wa mfumo wa mambo”? (b) Ni kwa sababu gani ulimwengu wa wanadamu haufurahii nuru ya kibali na baraka ya Mungu?
8 Pasipo shaka lo lote, sisi leo tumefikia upeo wa utimizo wa mfano huu wa kiunabii! Kipindi chenye giza zaidi kuliko kinginecho chote katika historia yote ya kibinadamu kimeshukia kizazi hiki! Kweli kweli, kuna giza lenye kufaa nje ya sehemu ionekanayo ya tengenezo la Yehova ambayo katika hiyo ile jamii ya mtumwa mwenye “ulegevu” na “asiyefaa” kitu anaweza kutupwa kwa agizo la Bwana-Mkubwa. Hilo “giza la nje” linaonyesha hali yenye kutiwa giza ya ulimwengu wa wanadamu, sana sana katika maana ya kidini. Ulimwengu wa wanadamu haufurahii nuru ya kibali na baraka ya Mungu. Hauna nuru ya maarifa ya Ufalme wa Mungu. Uko chini ya “mungu wa huu mfumo wa mambo,” ambaye “amepofusha akili za wasioamini, ili mwangaza wa habari njema zenye utukufu juu ya Kristo, ambaye ni mfano wa Mungu usipate kung’aa kwa kupenya.”—2 Wakorintho 4:4, NW.
-