Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutaniko “Likaingia Katika Kipindi cha Amani”
    “Kutoa Ushahidi Kamili” Kuhusu Ufalme wa Mungu
    • 1, 2. Sauli alikusudia kufanya nini Damasko?

      WASAFIRI wenye hasira kali wanakaribia Damasko, ambapo wanakusudia kutekeleza njama yao. Wanawachukia wanafunzi wa Yesu. Wanataka kuwakamata kwa nguvu, kuwafunga, kuwaaibisha, na kuwapeleka Yerusalemu mbele ya Sanhedrini.

      2 Tayari kiongozi wa kikundi hicho, Sauli, ana hatia ya damu ya mmoja wa wanafunzi hao.a Siku chache zilizopita, wenzake walipokuwa wakimuua Stefano, mwanafunzi mwenye bidii wa Yesu kwa kumpiga mawe, Sauli alikuwa akiwatazama na kuunga mkono jambo hilo. (Mdo. 7:57–8:1) Sauli hajatosheka kuwatesa wafuasi wa Yesu wanaoishi Yerusalemu, naye anachochea zaidi mateso. Alitaka kuangamiza kabisa kikundi hicho cha dini kinachoitwa “Ile Njia.”​—Mdo. 9:1, 2; ona sanduku lenye kichwa “Mamlaka ya Sauli Jijini Damasko,”.

  • Kutaniko “Likaingia Katika Kipindi cha Amani”
    “Kutoa Ushahidi Kamili” Kuhusu Ufalme wa Mungu
Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki