-
Ni Ibada Gani Inayokubalika kwa Mungu?Furahia Maisha Milele!—Masomo ya Kujifunza Biblia
-
-
2. Tunapaswa kumwabudu Yehova jinsi gani?
Tunapaswa kumwabudu Yehova peke yake kwa sababu yeye ndiye Muumba wetu. (Ufunuo 4:11) Hilo linamaanisha kwamba tunapaswa kumpenda na kumwabudu yeye peke yake, bila kutumia sanamu, mifano, au picha.—Soma Isaya 42:8.
Ibada yetu inapaswa kuwa “takatifu na yenye kukubalika” kwa Yehova. (Waroma 12:1) Hilo linamaanisha kwamba tunapaswa kuishi kulingana na viwango vyake vya maadili. Kwa mfano, wale wanaompenda Yehova wanapenda na kufuata viwango vyake kuhusu ndoa. Pia, wanaepuka mazoea yasiyofaa kama vile kuvuta sigara, kutumia dawa za kulevya au kunywa pombe kupita kiasi.a
-
-
Thamini Zawadi ya UhaiFurahia Maisha Milele!—Masomo ya Kujifunza Biblia
-
-
3. Tunza afya yako
Wakristo waliojiweka wakfu hutumia maisha yao yote kumtumikia Yehova. Ni kana kwamba wameitoa miili yao iwe dhabihu kwa Mungu. Soma Waroma 12:1, 2, kisha mzungumzie maswali haya:
Ni nini kinachopaswa kukuchochea utunze afya yako?
Unaweza kufanya hivyo kwa njia gani?
-