Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • dx96-12
  • Yesu Kristo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yesu Kristo
  • Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012
  • Vichwa vidogo
  • Huduma Duniani
  • Sifa
  • Unabii Uliotimia
Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012
dx96-12

YESU KRISTO

(Ona pia Fidia [Bei ya Ukombozi]; Kristo; Kurudi na Kuwapo kwa Kristo; Masihi; Mifano [Vielelezo]; Miujiza; Neno la Mungu [Yesu Kristo]; Uzao wa Abrahamu; Uzao wa Mwanamke)

(Kuna vichwa vidogo: Huduma Duniani; Sifa; Unabii Uliotimia)

“Adamu wa mwisho” (1Ko 15:45): g 12/06 5-6; g05 4/22 4; lr 192-193; cl 145; w00 3/15 4

afanywa kuwa mkamilifu (Ebr 2:10; 5:9): w09 5/15 11

agano kuhusu ukuhani kama wa Melkizedeki: w12 10/15 26; w06 5/15 17; cl 194

agano la Ufalme kati yake na watiwa-mafuta (Lu 22:29, 30): w06 2/15 22; w03 2/15 22; cl 197; w98 2/1 17-18; w98 2/15 16

“akili ya Kristo” (1Ko 2:16): w10 10/15 4-5; w08 7/15 27; w07 8/1 4-7; w00 2/15 10-25

kuisitawisha: w02 3/15 18; w98 9/1 6

“alijulikana kimbele kabla ya kuwekwa msingi wa ulimwengu” (1Pe 1:20): w06 6/1 23

alikuwa mtu halisi: w12 4/1 5; g 8/12 19; w09 5/1 7; g 12/06 3; rs 428; w03 6/15 3-7; w01 12/15 3-8

maelezo ya Rousseau: w08 12/1 3

maelezo ya Tasito: g 8/12 19; w10 4/1 15; rs 428; w03 6/15 5

maelezo ya Yosefo: w10 4/1 15; rs 428; w03 6/15 5

masimulizi yote yanapatana: w01 12/15 6, 8

vitabu vya Injili vinasimulia matukio halisi: w10 3/1 8-11; w10 4/1 26-27; w01 12/15 5-6

alilindwa na kuongozwa na roho takatifu: w11 12/15 15; w10 4/15 8-9

alimfunua Yehova: rk 22-23; w09 5/15 29-30; w08 10/15 9-10; cf 18; cl 21-24, 96, 209; w99 6/15 22-24; ct 145-151, 153-155, 157-161

alirithi agano la Ufalme: w06 12/15 4-5; re 59-60

alishinda ulimwengu: re 83-85; w03 3/15 4

alitimiza Agano la Sheria (Mt 5:17): w10 2/1 13

alitiwa mafuta kwa “mafuta ya kushangilia” (Zb 45:7): cf 58-59

aliumbwa: w08 12/15 12; w05 9/15 4; bh 40-41; rs 370-371; cl 55-56

amani yapatikana kupitia Yesu: w06 12/15 4-7; w97 1/15 11-12

Amina: w09 6/1 27; w08 12/15 13, 15; cf 23; re 66

alitumia neno “amina” kwa njia ya pekee: w09 6/1 27

anafananishwa na—

Daudi: w09 4/15 29-30

dhabihu zilizotolewa kulingana na Sheria: w12 1/15 17; lv 76; w07 4/1 19; w04 6/15 16-18

Isaka: ip-2 218

Isaya: re 282; ip-1 98-100

Koreshi Mkuu: ip-2 18-20

kuhani mkuu: w00 1/15 15-16

malaika anayemfunga joka (Ufu 20:1-3): re 287-288

malaika anayepanda kutoka mashariki (Ufu 7:2): re 115

malaika mwenye mamlaka kubwa (Ufu 18:1, 2): re 259-260

malaika mwenye upinde wa mvua juu ya kichwa chake (Ufu 10:1): re 155-156

malaika wa abiso (Ufu 9:11): re 143, 148; g98 6/8 31

mazao ya kwanza ya shayiri: w07 1/1 21; w07 7/15 26

mbuzi wa Azazeli: w09 8/15 6-7

Melkizedeki: w99 2/15 30-31

Musa: w09 4/15 25-28; g04 4/8 12-13

mwana-kondoo wa Pasaka: w07 1/1 20

mzabibu (Yoh 15): w09 5/1 15; w06 6/15 18-19; w02 2/1 17-18

nyoka wa shaba: my 41

nyota iliyoanguka kutoka mbinguni (Ufu 9:1): re 143

‘nyota inayotokea katika Yakobo’ (Hes 24:17): re 53

“nyota ya asubuhi” (Ufu 2:28; 22:16): re 53, 318; w00 4/1 14

“nyota ya mchana” (2Pe 1:19): w08 11/15 22; w05 1/15 16; w00 4/1 14-17; w97 9/1 12

“pete ya muhuri” (Hag 2:23): w97 1/1 22

Sulemani: w10 8/15 28-29; w09 4/15 30-32; w96 11/1 6

Yehu: w98 1/1 13; w97 9/15 19

Yona: jd 11

Yosefu (mwana wa Yakobo): w99 1/1 30-31

Zekaria: w07 12/1 10

anafanya kazi: lv 172-173; w07 2/15 24; cf 131-132; lr 217-220

anajitiisha chini ya Yehova: w12 4/1 5, 20-21; w10 4/1 14; w10 12/1 9; re 15; od 160; g05 4/22 6-7; rs 372-373

anavyohusika katika kusudi la Mungu: w08 12/15 12-16; cf 15-17; w06 7/1 5-6; od 10-15; be 276-278; w01 12/15 8

kufufuliwa kwa wengine: w06 3/15 4

“kurudishwa kwa mambo yote” (Mdo 3:21): w05 11/1 6-7

kusuluhisha masuala yanayohusu viumbe vyote ulimwenguni: w10 8/15 11; cf 16-17, 64, 174-175; jv 19, 22

maelezo katika Waroma: w11 6/15 7-15

‘siri takatifu ya ujitoaji-kimungu’ (1Ti 3:16): w08 6/15 13; w08 9/15 30-31; w06 2/15 19; cl 196; wt 57

ana wajibu wa kutoa hesabu mbele za Yehova: w96 9/15 11

anawaona watiwa-mafuta kuwa waaminifu: w09 2/15 26-27

anawathamini watumishi wa Yehova: w07 2/1 20-21

apaa mbinguni: bt 14-17; cf 182-183; my 104

“alichukua mateka” (Efe 4:8): w08 8/15 27

wanafunzi watazama angani: bt 17

atakavyohusika katika vita vya Har-Magedoni: re 279-286

atumia roho takatifu:

kuelekeza mahali pa kuhubiri: w12 1/15 9-11

“msaidizi” kwa ajili ya kutaniko: w10 10/1 27-28; w05 9/15 22; w03 3/15 6; w02 2/1 19-20; w00 10/15 21-22

“roho saba” (Ufu 3:1; 5:6): w09 1/15 30; re 54-55, 84-85

awaahidi wanafunzi wake atakuwa pamoja nao hadi umalizio wa mfumo (Mt 28:20): w09 2/15 26-27; cf 97; w06 3/1 4, 7

awaheshimu wengine: w00 6/15 19

awatokea watu baada ya kufufuliwa: bm 24; my 103-104; rs 321-322, 436; lr 204-206; w01 3/15 6; w99 3/15 9; w98 7/1 14-16

karibu na Emau: w11 1/15 31-32

Maria Magdalene: g 1/08 5

mitume saba kando ya Bahari ya Galilaya: w10 4/1 25-26

papa asema kwamba Yesu alimtokea Maria kwanza: g98 1/8 29; g98 11/8 30

Petro: w10 4/1 25

Stefano katika maono: w05 1/1 31

Tomasi: w04 12/1 31

wahudumu wanawake ambao ni Mashahidi: w12 9/1 10

watu 500 huko Galilaya: w10 10/15 24; cf 94; w98 7/1 14-15

“Baba wa Milele” (Isa 9:6): w07 5/15 6; cf 23, 189; g 12/06 5-6; lr 192-193; ip-1 131

bibi-arusi wa Kristo: re 275-278

bikira: w09 2/15 24

Yerusalemu Jipya: w10 7/15 5; re 301, 305-313

burudisho kutoka kwa Yesu: km 5/08 1; w07 5/15 13; w04 6/1 16; w04 8/15 22-23; w02 1/15 8-9; w01 12/15 9-15

“Bwana wa sabato” (Mt 12:8; Mk 2:28; Lu 6:5): w08 2/15 28; rs 256; w96 11/1 9

chati:

jinsi Yesu anavyotoa mashauri (Ufunuo): re 34

juma la mwisho la maisha ya Yesu duniani: w11 2/1 22-24

unabii uliotimia: g 7/12 22-23; jd 55; bh 200; ip-2 212

cheo: re 278-281; od 8, 185-186

“atainuliwa na kutukuzwa” (Isa 52:13): w09 1/15 24-25

Chipukizi: w07 12/1 10; w06 4/15 26; ip-1 159

damu ya Yesu: cl 145-146

damu ya Yesu inaokoa uhai: w04 6/15 18-19

‘ilitoa ushahidi’ (1Yo 5:6-8): w08 12/15 28

inafananishwa na damu iliyotolewa katika siku ya upatanisho: lv 76; w04 6/15 16-18

dhabihu ya Yesu: w12 1/15 20, 28-29; rs 77-82; w00 8/15 18-19; w99 7/1 6-7; rq 6

dhabihu ya upatanisho: w08 12/15 27; w99 3/15 9

ilitolewa mara moja tu: g99 5/8 26-27

inabeba dhambi (ili kuziondolea mbali): w09 8/15 6-7

inafananishwa na dhabihu zilizotolewa katika Siku ya Upatanisho: w09 9/15 27; w07 1/1 22-23; w00 1/15 15-16

inafananishwa na dhabihu zilizotolewa kulingana na Sheria: w12 1/15 17; g 8/12 20; lv 76; w07 4/1 19; w04 6/15 16-18

msingi wa kuwapatanisha wanadamu na Mungu: cf 19

unabii mbalimbali kuihusu: ip-2 202, 204-205, 207-211, 213-214

wakati ilipowekwa kwenye madhabahu: w00 1/15 15

Yesu amtolea Yehova mwili wake wakati wa ubatizo, Yehova aukubali: w96 7/1 14-15

Yesu atoa thamani ya dhabihu yake mbele za Yehova: cf 183-184; w00 1/15 16; w96 7/1 14-16

Yesu hakuuchukua tena mwili wake: rs 435-436

elimu: w96 2/1 9-10

“hajajifunza shuleni” (Yoh 7:15): w96 2/1 9

familia: w06 4/1 11; w03 12/15 3-8

baba mlezi, Yosefu: w12 4/1 23-28; w09 1/1 7; w02 12/15 6; w00 2/15 12-13

kilichofanya watoto wa Maria wasikabidhiwe daraka la kumtunza baada ya Yesu kuuawa: cf 167

mamake Maria: w09 1/1 3-10; w08 7/1 14-17; rs 181-187; w02 12/15 6

ndugu na dada wa kambo: w10 4/1 13; w09 1/1 5-6; rs 182-183; w03 12/15 3; lr 222-223; g96 5/8 20-22

Yesu alitimiza wajibu kwa watu wa familia: w08 12/1 6

fidia: w11 3/1 16-17; w10 8/15 12-16; w10 12/15 18; w08 3/1 4-7; w08 11/1 16; g 12/08 7-8; cf 19, 175, 181, 183-184, 191; w06 3/15 8-9; g 5/06 8; w05 11/1 13-14; bh 50-53; od 186; g05 4/22 11; rs 77-83; w02 6/15 6; cl 138-147; wt 37-40; w01 11/15 6; la 25-27; w00 3/15 3-4; w99 2/15 13-18; ct 156-157; w97 2/1 11-13

“fidia inayolingana” (1Ti 2:6): w11 6/15 13; cl 142-143, 145; w99 4/15 12; w97 7/15 6-7

inadhihirisha kwamba Yehova ni mwadilifu: w05 2/1 24; w05 11/1 13-14; w98 8/1 13-14

inaondoa dhambi: g 8/12 20; w97 7/15 6-7

kuithamini: bh 54-56

maelezo kwa Waislamu: gu 19-22

maelezo kwa watoto: lr 192-193

tendo la upendo: cf 176-178; cl 231; w99 2/15 17-18

wanadamu wanaweza kuhesabiwa kuwa waadilifu: w09 3/15 24-25

zawadi kwa wanadamu: w10 4/1 11

funguo:

“funguo za kifo na za Kaburi” (Ufu 1:18): re 28; wt 83

“ufunguo wa abiso” (Ufu 9:1; 20:1): re 143, 287

“ufunguo wa Daudi” (Ufu 3:7): w09 1/15 31; re 59-60, 63; w03 5/15 17

haifai kusali kwa Yesu: w05 1/1 31

Hakimu: w10 12/15 18-19

awahukumu kondoo na mbuzi (Mt 25): w10 9/15 28-29; w98 8/15 20

Isaya 11:3-5: ip-1 160-161

kipindi cha Miaka Elfu (Milenia): re 296-297; bh 213-215

kukaguliwa kwa wale wanaojidai kuwa Wakristo (1918): w10 9/15 25-26; w07 12/15 27-28; jd 179-182; re 31-32

‘hazina zimefichwa ndani’ ya Yesu (Kol 2:3): w09 7/15 3-7

hisia: w06 5/1 19; w00 2/15 13-14; w98 3/1 28

alifikiria hisia za wengine: cf 152-155; cl 94-95; w00 2/15 17-18

‘aliwasikitikia’ watu: w08 2/15 16; cf 150-160; cl 292-297

Lazaro alipokufa: w12 4/15 5; w08 5/1 24; bh 67; we 29-30; g01 7/8 13; w99 6/15 23-24; ct 158-160

machozi: w12 4/15 5; w10 11/1 10; w08 5/1 24; w08 12/1 5; w06 5/1 28; we 29-30; g01 7/8 13

imani katika Yesu: wt 37-40; w98 12/1 3-7

jina la Yehova:

Yesu alilikazia: w10 4/1 6

Yesu alilitumia: w10 7/1 5; w08 8/1 19-20; rs 295; bi12 1957

jiwe la pembeni: ip-1 293-294

kama anajua wakati vita vya Har-Magedoni vitakapoanza: w96 8/1 30-31

Kamanda: ip-2 238-242

kicheko: w00 2/15 15-16

Kichwa cha kutaniko: w10 3/15 13; w07 4/1 21-22; re 33; od 12-14, 209-210; be 277; w99 12/1 15-16; jv 29

anaongoza kutaniko: w10 9/15 22-24, 27; cf 184-185; w02 3/15 13-18; w01 1/15 20-21

‘nyota katika mkono wa kuume’ (Ufu 1:16, 20; 2:1; 3:1): w12 10/15 14; w10 9/15 27; re 28-29, 54-55, 136; w03 5/15 10; w02 3/15 14

kifo: w11 4/1 8-9; bm 23; my 101; lr 199-201; w99 3/15 6, 8-9

abeba mti wa mateso: g98 12/8 6-7

ahadi kwa mtenda-maovu (Lu 23:43): w10 12/1 25; w09 8/15 10-11; g 2/08 11; g 2/06 8; rs 239-242; lr 188-190; g00 2/22 8-9; g96 6/8 13

‘aliidharau aibu’ (Ebr 12:2): w10 8/15 5; w05 1/1 15

alimkabidhi Yohana daraka la kumtunza Maria: cf 165, 167; cl 291-292; ct 161

alimwomba Mungu awasamehe waliomtundika: cl 297

‘alitoa dua pamoja na vilio vyenye nguvu na machozi’ (Ebr 5:7): w07 2/15 27; cf 72

alitundikwa mtini: g 8/12 19; cf 68-69, 165, 167

giza lililotokea Yesu alipokufa: w08 3/15 32; g 3/08 29

hakuna mifupa iliyovunjwa: w11 8/15 16; w07 3/1 20

hakutundikwa kwenye msalaba: w11 3/1 18-20; g 4/06 12-13; bh 204-205; rs 211-212

“imetimizwa!” (Yoh 19:30): w10 8/15 11-12; w07 12/1 28

inadaiwa kwamba kaburi la Yesu liko Japani: g98 4/8 15

katika abiso: re 288

katika Hadesi (Kaburi): w08 11/1 9; rs 155

“kikombe hiki na kipitilie mbali,” ‘ukiondoe kikombe hiki’ (Mt 26:39; Mk 14:36; Lu 22:42): w11 5/15 18-19; lr 43; w00 11/15 22-23

kilichofanya afe kabla ya wale watenda maovu: g98 12/8 6-7

kilivyomwathiri Maria: w09 1/1 8-9

‘Kiongozi wa agano avunjwa’ (Da 11:22): dp 236-238

“kwa nini umeniacha?” (Mt 27:46; Mk 15:34): w11 8/15 15-16; w08 2/15 30; w06 5/15 18

maana ya kifo chake: rs 77-78; w03 4/1 6-7

matayarisho ya kumzika: w02 2/1 10; w02 3/15 30

matukio yaliyotangulia kuuawa kwake: cf 66, 68-69

mavazi yake yalichukuliwa na askari: w09 8/15 23

“ninaikabidhi roho yangu mikononi mwako” (Lu 23:46): w01 6/1 9; w01 7/15 6

ofisa-jeshi aliyesimamia kuuawa kwake: w10 8/15 11

pazia hekaluni lapasuka: w96 7/1 15

saa kamili ambayo alitundikwa mtini: w11 11/15 21

sababu zilizofanya iwe lazima afe: w12 4/1 7; w12 12/1 17; w11 3/1 17; w11 4/1 8-9; w08 11/1 16; cf 174-175; cl 138-139, 141-142, 144-145; gu 21-22; ct 156-157

Sanda ya Turin haikutumiwa kufunga mwili wake: g01 7/22 27; g98 12/22 23-24

tendo la upendo: cf 172, 174-181; cl 231-234

tendo lisilo la haki: w07 8/15 17-18; w98 6/15 28-29

ubavu wachomwa: w11 8/15 16; w05 2/15 7

ukumbusho wa kifo chake: w12 3/1 16-17; bh 206-208; od 75-76; rs 336-340; w03 4/1 3-7; lr 193-196

umuhimu: bm 23; w01 11/15 6

unabii wa Kayafa kuhusu kifo cha Yesu: w06 1/15 12

vazi lisilokuwa na mshono: w09 7/1 22; w05 1/1 14-15

vitambaa vya mazishi: g98 12/22 24

watenda–dhambi waliotundikwa kando: w12 2/1 14

Yehova ‘alivyopendezwa kumponda’ (Isa 53:10): w09 1/15 26-27; w07 1/15 10; ip-2 209-210; w00 8/15 31

Kiongozi: w11 5/15 26-27; w10 9/15 21-29; w09 1/15 3; w07 4/1 21; cf 8-11; w05 9/15 21-23; od 12; w04 11/1 6-7; w02 3/15 4-18; ip-2 238-242

“Kiongozi wa agano” (Da 11:22): dp 236-238

kiti cha ufalme: re 72-73

Kristo: w10 4/1 15; w09 5/15 30-31; w09 8/1 31; w05 9/15 4; gu 24

Kuhani Mkuu: w12 1/15 28-29; w12 10/15 26; jr 175; w08 12/15 14-15; cf 23; od 12; be 277; w00 3/15 5-9; w98 7/15 11

aingia katika Patakatifu Zaidi mbinguni: cf 183-184; w00 1/15 16

alifanywa kuwa mkamilifu ili atimize jukumu lake akiwa Kuhani Mkuu: w09 5/15 11

jinsi utumishi wa kuhani mkuu Yesu unavyonufaisha: w06 3/15 8-9

kama Melkizedeki: cl 194; w99 2/15 30-31

katika maono ya Yohana: re 25-27

kuhani bora kuliko kuhani wa familia ya Haruni: w99 12/15 16-17

“mtumishi wa watu wote” (Ebr 8:2): w00 3/15 5-6; w00 11/15 11

“mwenye rehema na mwaminifu” (Ebr 2:17): w07 2/1 20-21; km 11/02 1

kuja kwa Yesu: w07 3/15 3-7; re 19-20; w04 3/1 16; rs 115-118; w98 9/15 16-18

hekaluni (1918): w10 3/15 23; w07 4/1 22; w07 12/15 27-28; jd 179-182; re 31-32, 55-56

jinsi ambavyo kuja kwa Kristo ‘kungeonwa’: w07 3/15 5; re 20; rs 117-118

“kama mwizi” (Ufu 3:3; 16:15): w09 5/1 13; re 55-56, 231-232

katika, juu ya, au na mawingu: re 19-20; rs 117-118

“katika mwili” (2Yo 7): w08 12/15 28

kukesha kuhusiana na kuja kwake: w09 3/15 15-19; w08 2/15 25; w05 10/1 21-25; w03 1/1 17-22; w03 12/15 19-24; w99 5/1 20-24; w98 9/15 16

“ninakuja upesi” (Ufu 22:7, 20): re 314, 319; w99 12/1 19

ni tofauti na kuwapo kwake: rs 115-116; w96 8/15 9-13

“vivyo hivyo” (Mdo 1:11): bt 17; w05 1/15 14-15; rs 117

wakati wa dhiki kuu: w10 9/15 28-29

kumfuata Yesu: w10 5/1 16-17; w09 1/15 3-7; w09 5/15 28-32; w07 10/1 3-4, 6-7; cf 2, 5-191

kumheshimu Yesu: w06 11/1 22-23

kumjua Yehova: w12 4/15 4

kumjua Yesu Kristo: w09 5/1 7-8

kumpenda Yesu: w09 12/15 26; lv 27; cf 12; w05 1/1 13-14; lr 197-201; w99 7/15 20

“ingawa hamkumwona yeye kamwe” (1Pe 1:8): w97 2/1 14-19

kunamsaidia mtu kuepuka dhambi: w06 11/15 22

kumsifu Yesu:

“wimbo mpya” (Ufu 5:9): re 87-89

kumsikiliza Yesu: w09 5/15 32

“msikilizeni” (Mt 17:5): lr 15

kumsujudia Yesu: rs 433-434

kumtambua Yesu: w12 1/15 6-7; w12 4/1 3-6; g 12/06 3, 5-6; w05 9/15 3-7; g05 4/22 3-4; w01 12/15 4

kumtii Yesu:

mfano kuhusu msingi wa nyumba (Mt 7): w08 2/15 31-32; w08 11/1 29-31; w07 1/1 32; w05 5/15 32

wazee Wakristo: w10 9/15 27

kumwabudu Yesu: g 2/06 29; g00 4/8 26-27

kumwamini Yesu:

kumwamini Yesu pekee hakutoshi: rs 68, 435

maana: w96 2/1 3-8

kusali katika jina la Yesu: w10 10/1 6-7; g 11/10 21; w08 2/1 11-14; cf 19-20; w06 9/1 28; w02 4/15 31; g02 9/8 26-27

‘kutembea kama huyo alivyotembea’ (1Yo 2:6): w05 9/15 21-25

“kutembea katika muungano na yeye” (Kol 2:6): w98 6/1 9-14

kuthamini kukusanyika kwa ajili ya ibada: w98 3/1 18-19

kutoa ushahidi kumhusu Yesu:

“kutoa ushahidi kumhusu Yesu” (Ufu 12:17): be 275-278; km 11/02 1

“mtakuwa mashahidi wangu” (Mdo 1:8): w10 2/1 30; jv 26

“kutoa ushahidi kumhusu Yesu ndilo kusudi la unabii” (Ufu 19:10): w09 7/15 5; re 278-279

kutoweza kufa: w06 10/1 5; w05 9/1 27

kuwapo: w08 1/1 7-9; w08 2/15 21-25; rs 115-120; w96 8/15 9-14

maoni ya Wanafunzi wa Biblia: jv 45-47, 132-133, 556-557, 631

tukio lisiloonekana: w08 1/1 8; rs 116-119

kuwa rafiki ya Yesu: w09 10/15 13, 15-17

kuzaliwa kwa Yesu, na matukio mengine katika kipindi cha kuzaliwa kwake: w09 1/1 4; w08 10/1 22-25; my 85; lr 33-35; w02 12/15 5-7; w00 12/15 5-6; w98 12/15 5-9

alilazwa katika hori: w08 10/1 24

apelekwa hekaluni siku 40 baada ya kuzaliwa: w08 10/1 25

Bethlehemu: w11 4/1 4; w08 10/1 22-25

hakuzaliwa Mwezi wa 12: lv 145-146; g 12/08 10-11; bh 221-222

kusudi: w02 12/15 3-5

mahali palitabiriwa: w11 4/1 4; bm 19; w08 10/1 22-23; bh 201

malaika watangaza “amani kati ya watu wa nia njema” (Lu 2:14): w06 12/15 3, 6

malaika wawatangazia wachungaji kuzaliwa kwa Yesu: w11 8/15 8; w08 10/1 24-25; w06 12/15 3; w02 12/15 6-7

mwaka: w99 11/1 4-5; g98 3/22 28-29

Mwana wa Mungu: g 3/06 13

nabii Ana hekaluni: w08 2/15 7

nabii Simeoni hekaluni: w08 2/15 6-7; w08 10/1 25; w03 5/1 15-16

tarehe: w10 4/1 12-13; g 12/10 5; lv 145-146; g 12/08 10-11; w05 12/15 6; rs 275-276; w02 12/15 5-6; g98 3/22 29

uandikishaji wakati wa kuzaliwa kwa Yesu: g 4/11 11; w09 12/1 16; w08 3/15 30; dp 233; w98 12/15 7

wazazi wa Yesu walitoa dhabihu ya ndege: w09 1/1 5; w08 10/1 25; w03 12/15 4-5; w02 12/15 6; w00 2/15 12

lugha ambayo Yesu alizungumza: w08 8/1 26

maelezo: w12 4/1 3-8; w11 3/1 16-17; w11 4/1 3-9; w10 4/1 3-15; w08 12/1 3-7; cf 5-191; g 12/06 3-9; w05 9/15 3-7; bh 37-46; od 185-186; my 84-104; rs 427-438; wt 32-40; ol 9-10; w99 7/1 3-7; ct 144-164; g98 12/8 8-11; rq 6

kwa Waislamu: rk 18-23, 30; gu 19-23

maelezo katika:

gazeti Time: g 12/06 3; w01 10/15 4

kitabu cha historia (The Historians’ History of the World): g 12/06 3

Kurani: gu 20-21; ol 9; ct 145

maelezo ya watu mbalimbali:

Asch, Sholem (mwandishi): w08 12/1 3

Bonaparte, Napoléon: w06 5/1 28

Durant, Will (mwanahistoria): w01 12/15 6

Einstein, Albert: w08 12/1 3

Gandhi, Mohandas: w08 12/1 3; w05 3/15 4; w01 12/15 6

Goodspeed, Edgar J. (mtafsiri wa Biblia): w05 3/15 3

Hyman Enelow (rabi): w05 3/15 3-4

Latourette, Kenneth Scott (mwanahistoria): w08 12/1 3

Price, Reynolds (msomi wa Biblia): w08 12/1 3

Rousseau, Jean-Jacques (mwanafalsafa): w08 12/1 3

Schaff, Philip: w09 4/15 24; w08 12/1 3

Tolstoy, Leo (mwanafalsafa): w08 12/1 3

Wells, H. G. (mwanahistoria): w08 12/1 3

mafundisho kumhusu Yesu:

Uislamu: gu 21; ol 9; ct 145

maisha ya kabla ya kuwa mwanadamu: w12 12/1 16; w11 4/1 5; w10 4/1 5; cf 29; g 12/06 5-6; w05 9/15 4-5; bh 40-42; rs 435; lr 47-48; w00 2/15 11; w98 6/15 22-25; rq 6

alifundishwa kuhusu daraka lake la kuwa Masihi (Isa 50:4-6): w09 1/15 22; cf 133-134

alivyohusika katika uumbaji: ct 86-87

Isaya alimwona Yesu (Isa 6:8; Yoh 12:41): ip-1 94-95; w98 6/15 24

matokeo katika huduma yake duniani: cf 49

mkuu wa kiroho wa Israeli: w10 9/15 21-22

nguvu: cl 88

“stadi wa kazi” (Met 8:30): cf 130-132; w06 8/1 31; w06 9/15 17; w01 3/15 28

tofauti na maisha yake duniani: w08 2/15 12-13

uhusiano pamoja na Yehova: w12 4/15 4; cf 130-132; cl 232-233

unyenyekevu: w12 11/15 11

yaelekea alikumbuka maisha ya kabla ya kuwa mwanadamu alipobatizwa: cf 49; lr 52

maisha ya utu uzima kabla ya kubatizwa: w00 2/15 13

majina na majina ya cheo: w09 2/1 14-15; w08 2/1 14; w08 12/15 15; cf 23

Abadoni: g98 6/8 31

Amina: w09 6/1 27; w08 12/15 13, 15; cf 23; re 66

angepewa jina kabla ya kuzaliwa (Isa 49:1): ip-2 137

imani katika jina la Yesu: w98 12/1 3-7; w98 12/15 30

Imanueli: w09 2/1 14; rs 432-433

‘jina jipya’ (Ufu 3:12): w09 1/15 31; re 65

“jina lililoandikwa ambalo hakuna yeyote anayelijua” (Ufu 19:12): w09 2/15 5; re 280-281

“jina” linapomaanisha mamlaka: w98 12/1 4-5

Mikaeli: w10 4/1 19; w10 9/15 21-22; re 180-181; w05 3/1 30-31; bh 218-219; rs 436-437

Neno: w08 12/15 12-13, 15; cf 23

Yesu Kristo: w11 4/1 3; w10 4/1 15

malaika aliyewaongoza Waisraeli (Kut 23:20-23): w10 9/15 21; w10 12/15 6; w05 3/1 30; w04 3/15 27; dp 204-205

Malaika Mkuu: w10 4/1 19; re 180-181; w05 3/1 30-31; bh 218-219; w04 12/15 19; rs 436-437; g02 2/8 16-17

malaika ‘wamsujudia’ (Ebr 1:6): rs 433-434

mama ya Yesu: w09 1/1 3-10; w08 7/1 14-17; w03 12/15 6-7; w02 12/15 6

kilichofanya watoto wa Maria wasikabidhiwe daraka la kumtunza baada ya Yesu kuuawa: cf 167

maoni ya Yesu kumhusu: w09 1/1 9; rs 186

mamlaka: w07 3/15 6; od 8; cl 88-89

malaika ambaye amesimama juu ya bahari na dunia (Ufu 10:1, 2): re 155-156

malaika mwenye mamlaka kubwa (Ufu 18:1, 2): re 259-260

mamlaka yake yapingwa wakati wa huduma: w99 1/15 25-26

“mamlaka yote” (Mt 28:18): cf 94-95; w04 7/1 8-9

mfano kwa Wakristo: w06 4/1 17-20

mwana-kondoo mwenye pembe saba (Ufu 5:6): re 84-85

maoni ya Yesu kuhusu—

mali: w05 1/1 14-15

Maria (mamake): w09 1/1 9; rs 186

raha: w07 2/15 29

siasa: w12 5/1 5-6; w10 7/1 22-24; rs 137; w01 10/15 3-7; w96 5/1 12

wanawake: w12 9/1 8-11; w08 12/1 6; g 1/08 4-5; cf 141; g05 11/8 19; w03 8/15 7-8; cl 155-156

watoto: w10 5/15 9; w09 9/15 9-10; cf 139-140; my 94; lr 11-12

Maria achukua mimba kimuujiza: bh 42; rs 182; lr 32-33; w02 3/15 19; g99 8/8 30; ct 145-146

alilindwa alipokuwa tumboni mwa Maria: cl 71-72

“bikira atapata mimba” (Mt 1:23): w11 8/15 9-10

kama yai la uzazi la Maria lilihusika: w08 3/15 30

Masihi: w12 4/1 6; w10 4/1 5; w09 12/15 20-24; bm 19; w06 2/15 4-7; w05 1/15 10-14; w05 9/15 4; bh 38-40, 199-201; ct 144-145

akamilisha daraka la Masihi: w09 12/15 23-24

chati za unabii mbalimbali: g 7/12 22-23; bh 200; ip-2 212

kilichofanya Wayahudi wasimkubali: w10 12/1 18-20; w09 12/15 22; w05 1/15 11-12; rs 429-430; w96 11/15 28-31

maelezo kwa Waislamu: rk 18-23, 30; gu 18-19

matarajio katika karne ya kwanza: w11 8/15 8; rs 429; w99 8/15 21; w98 9/15 13-14; ct 144; w97 3/15 4-5

unabii kuhusu majuma 70 (Da 9:24-27): w12 1/1 16; w11 8/15 8-9; g 2/11 18; bm 18-19; w06 2/15 6; bh 197-199; w02 3/15 4-5; w00 5/15 16

Yesu alipopata kuwa Masihi: w07 12/1 26; bh 40

mateso aliyopata:

kielelezo kwa Wakristo (1Pe 2:21): w08 11/15 21; w07 12/1 29-30; cf 74-75; w96 2/15 28

manufaa: w07 8/15 28-29

mavazi:

vazi la ndani lisilokuwa na mshono: w09 7/1 22; w05 1/1 14-15

Mchungaji: w09 4/15 29-30; w07 4/1 26-27

aongoza kondoo: w10 9/15 22

“fimbo ya chuma” (Ufu 2:27; 12:5; 19:15): re 53, 179-180, 282-283

“mchungaji mwema” (Yoh 10:11, 14): cf 9-10, 124-125; w02 9/1 17-18

mfano kwa wazee Wakristo: w10 5/15 9-11; jr 129; od 27-28

mfano kwa Wakristo: w11 3/15 11; w10 2/15 27; w08 12/1 4-7; cf 9; km 9/07 4; w05 1/1 7-12; w05 9/15 21-25; w03 8/15 6-8; w02 3/15 8-13; w01 1/1 31; w01 12/15 15-20; w00 7/1 19-20; w98 11/15 12-14

alivyotenda alipopingwa: cf 43-45; w05 5/15 27-28; w98 12/1 15-16

alivyotenda alipoteswa: w05 1/1 10-11

alivyotenda wanafunzi walipokosea: cf 70-71; w05 9/15 23-24

aliwaachia Wakristo ‘kielelezo ili wamfuate’ (1Pe 2:21): w08 11/15 21; w07 12/1 29-30; cf 74-75

hakuwa na chuki: w00 8/15 5

heshima: w08 8/15 14-15

huduma: w12 2/15 5-6; km 2/10 2; w09 7/15 15-19, 21-22; w08 2/15 13-20; km 4/08 3; w07 11/15 26-30; cf 89-90; km 2/07 1; w05 1/1 12-17; od 77, 92; w02 3/15 11-13

ibada: w08 9/15 26-27

kanuni za kiroho: w07 8/1 4-7

kazi ya kuhubiri: w12 2/15 5-6; km 2/10 2; w02 1/1 8-9

kufundisha: w09 7/15 15-19; cf 83-84, 108-117; km 2/07 6; w02 8/15 10-20; w02 9/1 8-13, 19-22, 24

kuhudhuria ibada katika masinagogi na kushiriki katika sherehe: cf 62-64

kujidhabihu: cl 290-292; w00 9/15 21-22

kukesha: w12 2/15 3-7

‘kumfunua baba’ (Lu 10:22): w12 4/15 3-7

‘kumtazama kwa makini’ (Ebr 12:2): w09 7/15 6; w05 9/15 21; w01 1/1 31; w96 2/15 28-29

kuongoza mikutano: w10 10/15 24

kupinga vishawishi: w11 1/15 23

kutambua kilicho katika moyo wa mwingine: w05 2/1 29-30

kutimiza majukumu: w10 12/15 11-12

kutoa mashauri: w12 3/15 8; re 34

kutumia mamlaka: w06 4/1 17-20

kutunza ahadi: w12 10/15 28

kuwaburudisha wengine: w07 11/15 15-17

kuwafariji waliofiwa: w10 11/1 9-11

kuwaheshimu wengine: w99 8/1 18-19

kuwahudumia wengine: lr 37-41

mahusiano na watu wa familia: w09 7/15 7-11; w02 3/15 10-11

mfano kwa vijana: w12 2/15 13-14; cf 62; w02 11/15 12-13

mfano kwa wake: w09 7/15 9-10; bh 137

mfano kwa wamishonari: w08 2/15 12-20

mfano kwa wanaume: w97 6/15 19

mfano kwa watoto: w12 2/15 13-14; w09 7/15 11; w07 2/15 24-25; cf 36-38, 62; bh 141-142; lr 212-214

mfano kwa waume: w12 7/15 30; w11 5/15 7-8; w10 5/15 11-12; w09 5/15 19-20; w09 7/15 8-9; w07 2/15 13-17; w06 9/15 24; w05 3/1 16; bh 135-137; wt 154; ip-2 342; fy 31-33

mfano kwa wazazi: w11 8/1 9; w09 7/15 10-11; cf 163-165, 167; w05 4/1 9-11; bh 139-141

mfano kwa wazee Wakristo: w11 11/15 29-31; w10 5/15 9-11; w02 3/15 17-18; w00 2/15 15-16

mtazamo: w09 9/15 7-20; w04 9/1 13; km 4/04 6; w00 9/1 6-11

“mvaeni Bwana Yesu” (Ro 13:14): w07 1/1 17

sala: w12 2/15 5; w09 11/15 11; w07 8/1 5-6; cf 72-73, 134, 136; w03 9/15 16; lr 67-71

ujitiisho: w07 2/15 19-20

ujuzi wa Neno la Mungu: w11 3/15 11; w02 6/15 13

upendo: w09 9/15 16-20; cf 128-181; w05 8/15 27

urafiki: w09 10/15 13-15

utii: w11 3/15 11; w10 4/1 30-31; cf 56-65; ip-2 159

uvumilivu: cf 66-75

Mfariji: w11 10/15 27; w03 5/1 16-17; w96 11/1 6, 8-9

mhudumu: od 77-78, 92

Mikaeli: w10 4/1 19; w10 9/15 21-22; re 180-181; w05 3/1 30-31; bh 218-219; rs 436-437; g02 2/8 16-17

‘amesimama’ (Da 12:1): dp 288-289

“atasimama” (Da 12:1): dp 288-289

vita mbinguni (Ufu 12:7-12): re 180-181; bh 219

mjumbe wa amani: w97 1/15 11-12

“Mkamilishaji wa imani yetu” (Ebr 12:2): w09 7/15 6; w98 5/15 10

“mkate kutoka mbinguni” (Yoh 6:32, 33, 51): w10 1/1 24-25; rs 117; w99 8/15 27

Mkombozi: w09 4/15 27-28; w09 9/15 26-28

“Mkuu wa Amani” (Isa 9:6): cf 23; ip-1 131-132

“mkuu wa jeshi la Yehova” (Yos 5:14): w04 12/1 9; w98 6/15 24

mlinzi: lr 172-176

Mnazareti: w11 4/1 5; ip-1 159

Mpaji-Sheria: w96 9/1 15

Mpatanishi: w08 12/15 13-15; w00 11/15 11

anavyofanana na Musa: w09 4/15 27

msaada kutoka kwa: w04 12/15 19

“msaidizi” (1Yo 2:1): w04 12/15 19; w00 3/15 3-9

Mshauri:

jinsi alivyotoa mashauri (Ufu 2, 3): w12 4/15 29; re 34

“Mshauri wa Ajabu” (Isa 9:6): w07 5/15 6; cf 23; cl 211-213; ip-1 129-130

msingi kwa Wakristo (1Ko 3:10, 11; Efe 3:17): be 278; w99 7/15 13-14; w98 11/1 8-10

msingi wa kutaniko: w07 4/15 21

‘mtazamo wa akili’ (Ro 15:5; Flp 2:5): w09 9/15 7-20; w04 9/1 13; km 4/04 6; w00 9/1 6-11

“mtume” (Ebr 3:1): w98 7/15 11

“mungu” (Yoh 1:1): w09 4/1 18-19; w08 11/1 24-25; bh 202-203; g05 4/22 8-9; rs 219-220, 379-380, 431

“Mungu Mwenye Nguvu” (Isa 9:6): rs 376; ip-1 130-131

“mwamba” (Mt 16:18): w10 1/1 26, 28; w07 4/15 21; rs 360-362

‘mwanadamu wa hali ya chini zaidi’ (Da 4:17): w05 10/15 27; rs 397; dp 97

Mwana-Kondoo: w99 12/1 11

‘aletwa kama kondoo machinjioni’ (Isa 53:7): w09 1/15 27-28

“amesimama juu ya Mlima Sayuni” (Ufu 14:1): re 199

aonekana “kana kwamba alikuwa amechinjwa” (Ufu 5:6): re 84-85

‘aongoza umati mkubwa kwenye chemchemi za maji ya uzima’ (Ufu 7:17): w10 9/15 29; w08 9/15 28; re 126-128

bibi-arusi, Yerusalemu Jipya: w07 2/15 13

kitabu cha kukunjwa cha uzima (Ufu 13:8; 21:27): w09 2/15 3; re 192, 310

‘macho saba, roho saba’ (Ufu 5:6): re 84-85

mlo wa jioni wa ndoa (Ufu 19:9): re 72, 277-278

“Mwana-Kondoo wa Mungu” (Yoh 1:29): w09 7/15 6

ndoa (Ufu 19:7-9): re 275-278; w98 10/15 22

“pembe saba” (Ufu 5:6): re 84-85

“Mwana mzaliwa-pekee”: w12 4/1 5; w08 12/15 12, 15

Mwana wa binadamu: w12 4/1 5-6; w11 4/1 8; w10 4/1 5; w07 7/1 12; g05 4/22 3-4

apokea Ufalme (Da 7:13, 14): w10 12/1 5; dp 145-147

avuna “mavuno ya dunia” (Ufu 14:14-16): w10 9/15 26-27; re 211-212

katikati ya vinara saba vya taa (Ufu 1:10-16): re 24-27

nywele “nyeupe kama sufu” (Ufu 1:14): re 25

Mwana wa Mungu: w10 4/1 5, 14; w09 5/1 14-15; bm 19; re 47-48; g 3/06 12-13; g05 4/22 3-4; lr 32-36

alipobatizwa: w98 2/15 13; w96 7/1 15-16

alipofufuliwa: g 3/06 13

alipozaliwa: g 3/06 13

maelezo kwa Waislamu: gu 20; ct 145

mwili:

miili aliyojivika: rs 321-322, 436

“pazia” (Ebr 10:20): w00 1/15 15-16; w96 7/1 15-16

Mwokozi: w08 3/1 4-7; rs 375-376; w01 11/15 3-6

“wokovu wako unakuja” (Isa 62:11): ip-2 347-348

mzaliwa wa kwanza: g 3/06 12-13

“kutoka kwa wafu” (Ufu 1:5): re 18

“wa viumbe vyote” (Kol 1:15): rs 370; w03 7/1 15; cl 55-56, 232

“mzizi na uzao wa Daudi” (Ufu 22:16): re 317-318

“mzizi wa Daudi” (Ufu 5:5): re 83-84

“mzizi wa Yese” (Isa 11:10): w08 10/1 4-5; w06 12/1 9; re 84

Nabii: w09 4/15 25-27; rs 429

nasaba: w12 10/1 24

ndugu (wa kambo): w10 4/1 13; w09 1/1 6; rs 182-183; w03 12/15 3, 8; lr 222

hawakuamini kwamba Yesu ndiye Masihi: w09 1/1 8; w03 12/15 8; lr 223

maelezo ya msomi wa dini wa Kanisa Katoliki: w03 12/15 3

Yakobo: w09 9/1 18; bt 112

Neno la Mungu: w08 12/15 12-13, 15; cf 23

‘hapo mwanzo alikuwa pamoja na Mungu’ (Yoh 1:2): w00 2/15 11

msemaji kwa niaba ya Yehova: w12 4/1 6; w98 6/15 22-23

Ufunuo 19:13: re 281

nguvu:

“nguvu za Kristo” (2Ko 12:9): w08 6/15 6; w06 12/15 24

nguvu za Yehova zinaonyeshwa kupitia Yesu: cl 87-96

nira yake (Mt 11:29, 30): w10 8/1 25-26; km 5/08 1; w07 5/15 11-13; w01 12/15 11-12, 20

‘njia, kweli, na uzima’ (Yoh 14:6): w09 5/15 31-32; w09 7/15 4; cf 19-22; km 11/02 1

nuru kutoka kwa Yesu:

“nuru ya mataifa” (Isa 49:6): w07 1/15 9; ip-2 142; w98 12/15 19

“nuru ya ulimwengu” (Yoh 8:12): w09 7/15 5

‘nyota katika mkono wa kuume’ (Ufu 1:16, 20; 2:1; 3:1): w10 9/15 27; w07 4/1 27-28; re 28-29, 54-55, 136; w03 5/15 10; w02 3/15 14

“roho ya kinywa chake” (2Th 2:8): w08 9/15 30

sauti:

‘kondoo wanaijua’ (Yoh 10:4): cf 124-125; w04 9/1 17; w02 9/1 17-18

‘kutoka katika kile kiti cha ufalme’ (Ufu 19:5): re 274

“sauti ya malaika mkuu” (1Th 4:16): g02 2/8 17

seremala: w10 8/1 24-26; w08 12/1 8; lv 172-173; lr 218-219; cl 209; w00 2/15 13

“Shahidi Mwaminifu” (Ufu 1:5): re 18; jv 19-25

“shahidi mwaminifu na wa kweli” (Ufu 3:14): re 66-67

Shahidi wa Yehova: rs 191; jv 19-25

“sheria ya Kristo” (Ga 6:2): jr 174-175; w08 8/15 26; w06 5/1 29-30; w05 8/15 25-29; cl 153-156; w99 9/15 22-26; w96 9/1 14-24

‘Simba wa kabila la Yuda’ (Ufu 5:5): cf 36; re 83-84

sura: g98 12/8 3-7

“ilikuwa imeharibika” (Isa 52:14): ip-2 198

ndevu: g99 9/22 30

ubatizo katika jina la Yesu: w10 3/15 12-13; wt 113-114

ubatizo wa watu katika—

kifo cha Kristo: w08 6/15 29-30; w06 2/15 23-24; rs 310

Kristo Yesu: w08 6/15 29

uchambuzi wa Biblia: w01 12/15 4-6, 8; w00 5/15 3-4; w96 12/15 3-8

ufufuo: w04 1/15 12; my 102; lr 202-206; ct 161-162

alitoka Hadesi (kaburini): w08 11/1 9

amepewa mamlaka ya kufufua: re 28

awahubiria “roho walio gerezani” (1Pe 3:19): rs 199

maoni ya kwamba Yesu alijifufua (Yoh 2:19): rs 387

“matunda ya kwanza” (1Ko 15:20, 23): w98 7/1 17

mwili haukufufuliwa: rs 116-117, 320-322, 435-436

“mzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu” (Ufu 1:5): re 18

siku ambayo mazao ya kwanza ya shayiri yalitolewa: w07 1/1 21

ufufuo wa kiroho: rs 116-117, 320-322, 435-436

uhakikisho kwa wengine: w07 5/15 27; re 38; we 6; w98 7/1 16-17

uthibitisho: w12 4/1 7; w09 5/1 8; w01 3/15 3-7

“wa Kwanza na wa Mwisho” (Ufu 1:17; 2:8): w09 1/15 30-31; re 27-28, 37-38

ufunuo: w98 9/15 18-19

uhuru kupitia Yesu: w04 3/1 30

uhusiano pamoja na Yehova: w09 4/1 13; cf 15-18; w04 5/1 22; cl 232-233; w97 2/1 12, 18-19

maisha kabla ya kuwa mwanadamu: w12 4/15 4; cf 130-132; cl 232-233

Yehova anamwamini Yesu kabisa: cf 16-17

‘ujazo wote hukaa katika yeye’ (Kol 1:19; 2:9): w11 8/15 24; w09 7/15 4-5; rs 383-384

umoja kati yake na Baba (Yoh 10:30): w09 9/1 28; rs 387-388

‘yule ambaye ameniona, amemwona Baba’ (Yoh 14:9): cf 18

upanga kutoka katika kinywa:

Ufunuo 1:16; 2:12, 16: re 26, 41, 44-45

Ufunuo 19:15: re 282

urithi: w09 2/15 7; w09 3/15 11; w08 5/15 3; w06 8/15 6

utawala wa kifalme: w10 4/1 8, 20; w10 12/15 16-20; w08 1/1 6; cf 185; w06 7/15 4-5; g 12/06 4; bh 77-78; od 13; w04 12/15 6-7; lr 232-236; be 277-278; wt 94-95; km 11/02 1; w00 5/15 16-17; w00 10/15 11; g98 12/8 10-11; rq 12

aja Yerusalemu kama Mfalme: cf 25-27; w00 9/15 16-17; w99 8/1 14-15; w97 3/1 30-31

atamkabidhi Baba Ufalme (1Ko 15:24): re 291, 300; wt 189; w00 10/15 20

baada ya Utawala wa Miaka Elfu (Milenia): wt 100; w00 10/15 20

haki ya Yesu ya kutawala haikufutiliwa mbali na amri juu ya Yehoyakini (Yer 22:30): w07 3/15 10-11

kuanza: w12 8/1 16-17

kusudi: re 171

Mfalme na Kuhani kama Melkizedeki: w99 2/15 30-31

“Mfalme wa wafalme” (Ufu 17:14; 19:16): cf 23; re 284

“Mtawala wa wafalme wa dunia” (Ufu 1:5): re 18-19

nia njema ya Mfalme Yesu: w07 5/15 20

Shilo (Mwa 49:10): w11 8/15 9; w07 12/1 23-25; w04 1/15 29; w02 10/1 17-20

sifa zake kama Mfalme: w07 5/15 7, 20; w07 8/15 28-29; w06 5/1 28, 31; cl 198; g98 12/8 9-10

sifa zinazomstahilisha kuwa mtawala: w10 12/15 16-18

ufalme juu ya kutaniko la Kikristo: cf 184-185; w06 5/1 27

Ufalme ‘ulikuwa umekaribia’ alipokuwa duniani: be 209-210

“ufalme wa Mwana wa upendo wake” (Kol 1:13): rs 318; w02 10/1 18

unafananishwa na ufalme wa Daudi: w09 4/15 30

unafananishwa na ufalme wa Sulemani: w09 4/15 32

ushikamanifu wa Wakristo kwa Ufalme: w06 5/1 27-31

Utawala wa Miaka Elfu: re 286-291; w99 11/1 7-8; w99 12/1 13

“utawala wa ukuu” (Isa 9:6): w10 10/1 24

utawala wa upendo: bm 20

“vilemba vingi” (Ufu 19:12): re 280

Yesu Kristo ni Mrithi wa agano la Ufalme lililofanywa pamoja na Daudi: w10 4/1 20; w06 12/15 4-5; ip-2 236-238

“yeye peke yake asiyeweza kufa” (1Ti 6:15, 16): w08 9/15 31; w05 9/1 27

Zaburi ya 2: w04 7/15 15-20

Zaburi ya 45: cf 58-59; w06 6/1 8-9; re 277; rs 385-386

utii: w10 4/1 30-31; w09 9/15 11-12; w98 7/15 30

“alijifunza kutii kutokana na mambo aliyoteseka” (Ebr 5:8): w09 5/15 11; w07 2/15 26-27; cf 56-57; w06 6/1 13

aliwatii wazazi: cf 62

utotoni: w06 4/1 11; w00 2/15 12

hekaluni alipokuwa mwenye miaka 12: w12 4/1 26-27; w10 4/1 30-31; w09 1/1 6-7; w08 9/1 24; cf 36-37, 133; my 87; lr 212-213

Nazareti: w12 4/1 25-26; w11 4/1 4

safari za kwenda Yerusalemu: w12 4/1 26; w12 9/15 31; km 6/10 3-4; w07 2/15 24-25; w03 12/15 6; w98 3/1 16-17

wanajimu wamtembelea: w12 4/1 24, 29; w10 4/1 13; w10 12/1 10; g 12/10 6; w09 12/1 31; g 12/09 11; w08 1/1 31; w08 4/15 29; w04 12/15 3-4; my 86; rs 276-277; lr 168-169; w02 12/15 32; w00 12/15 6; g99 12/8 14-15; w98 12/15 8-9

Yesu alijua alitoka wapi, na wakati wake ujao: w10 8/15 9

Yesu na wazazi wake wakimbilia Misri: w12 4/1 23-24; w09 1/1 5; g02 1/22 11; g96 8/22 8

utume: w12 12/1 17; cf 79, 81-83; ip-2 322, 324-326

utumishi wa watu wote: w00 11/15 10-11

utu wake: bh 42-45; w01 12/15 7-8; w00 2/15 13-15

uvutano wake kotekote ulimwenguni: w11 4/1 3; w10 4/1 4; w09 4/15 24; g 12/06 3; w05 3/15 3-4; g05 4/22 3

Uzao wa Abrahamu: gu 19-21; w98 2/1 14

Uzao wa mwanamke wa Mungu: bm 28; w08 12/15 14-15; w07 12/1 22-29; w06 2/15 18-19; re 11; cl 189, 191-195; wt 33-35; gu 19-21

ataponda kichwa cha Nyoka: w12 9/15 7; re 14, 181, 286-288, 293-295

atiwa jeraha kwenye kisigino: w09 9/15 26-27; re 14; w97 6/1 8-9

Yesu alipopata kuwa Uzao: w07 11/1 29; w07 12/1 26; cl 195

“uzima ndani yake mwenyewe” (Yoh 5:26): w08 4/15 31; w03 9/15 30

waandishi wa Biblia walioandika kumhusu Yesu: w10 6/1 24-25

‘Wakili Mkuu wa imani yetu’ (Ebr 12:2): w05 9/15 21

“wa Kwanza na wa Mwisho” (Ufu 1:17; 2:8): w09 1/15 30-31; re 27-28, 37-38

“wa kweli” (Ufu 3:7): re 59

watu wa ukoo (jamaa):

labda Salome ni dada ya Maria, mama ya Yesu: w08 12/1 5

mitume waliokuwa wa ukoo mmoja na Yesu: w10 9/1 15

Yakobo, mwana wa Zebedayo: w09 9/1 18

Yohana, mwana wa Zebedayo: bt 33

Yohana Mbatizaji: w10 9/1 15

Yehova—

alimlinda Yesu: lr 168-169

alimpenda Yesu: cl 232-233, 235-236

anamwamini Yesu kabisa: cf 16-17

Yesu anatukuza uadilifu wa Yehova: w10 8/15 8-12

Yehova humvuta mtu kibinafsi kwa (Yoh 6:44): w12 4/15 28

Yehova ni baba ya: w12 1/1 23

Yehova ni kichwa cha Yesu: w10 5/15 8-9

Yehova ni Mungu wa Yesu: w06 3/1 6; rs 373-374

Yesu alitenda kwa adabu: w09 11/15 25

Yesu anazungumziwa kana kwamba yeye mwenyewe ni hekima (Met 8): cf 130-131; w06 8/1 31; w06 9/15 17; w01 3/15 28

Yesu anazungumziwa kana kwamba yeye mwenyewe ni “kweli” (Yoh 14:6): w09 5/15 31; w09 7/15 4; cf 20-21; jv 20

Yesu anazungumziwa kana kwamba yeye mwenyewe ni “uzima” (Yoh 14:6): w09 5/15 32; cf 21-22

Yesu si—

mleta marekebisho: g04 3/22 9

mtu wa kawaida: w12 4/1 5-6; w10 4/1 14; rs 428-429

Mungu Mweza-Yote: w12 4/1 5, 20-22; w09 2/1 7; w09 4/1 18-19; w05 9/15 7; rs 373, 430-434; w02 5/15 6

“Mungu wa kweli na uzima wa milele” (1Yo 5:20): w04 10/15 30-31

nabii tu kama wale manabii wengine: rs 429

roho aliyejivika mwili wa binadamu: w10 4/1 13-14; rs 183

sawa na Baba: w12 4/1 5, 22; w10 4/1 14; w10 12/1 9; rs 372-373, 433

sawa na Yehova anayetajwa katika Maandiko ya Kiebrania: rs 426-427

yeye ndiye ambaye ameketi juu ya farasi mweupe (Ufu 6:2): w09 4/15 30; re 90; w05 1/15 17; w01 6/1 17-22

ushindi: re 90-92, 99; w99 12/1 11

yeye ndiye ambaye ameketi juu ya farasi mweupe (Ufu 19:11-21): re 280-286; my 114

Yohana amwona katika maono: re 24-29

Huduma Duniani

abatizwa na Yohana: my 88

azaliwa “kwa maji na roho” (Yoh 3:5): w96 7/1 15

azamishwa: g 9/07 14

hakuna watu wengine waliokuwapo: w05 1/15 11

kusali: w12 4/1 21; w10 8/15 9; w96 7/1 14

‘mbingu zilifunguliwa’ (Mt 3:16; Lu 3:21): w08 1/15 29; lr 52; w00 2/15 13

“Mwanangu, mpendwa” (Mt 3:17; Mk 1:11; Lu 3:22): w08 1/1 25; g04 8/22 9; w98 2/15 13

“ndiye aliyekuja kwa njia ya maji na damu” (1Yo 5:6): w08 12/15 27-28

roho takatifu yashuka baada ya ubatizo: w98 2/15 13

umuhimu: w12 4/1 16; w10 1/15 3; w10 8/15 9-10; w02 4/1 11; wt 111-112; w96 7/1 14-15

ushuhuda ambao Yohana alitoa baadaye: w05 1/15 11

yaelekea alikumbuka maisha ya kabla ya kuwa mwanadamu: cf 49; lr 52

Yehova atangaza amemkubali wakati wa ubatizo: w10 8/15 10; w08 1/1 25; w96 7/1 14-15

aliepuka siasa kabisa: w12 5/1 5-6; w10 7/1 22; rs 137; w01 10/15 3-7; w96 5/1 12

alihubiri hasa kuhusu Ufalme: w11 4/1 6; w10 4/1 8; w10 7/1 25; bm 20; w08 5/15 12; w07 12/1 27-28; cf 79, 81-83; g 12/06 4; w05 7/1 7; cl 211; jv 21-22; w96 2/1 16

maelezo ya H. G. Wells: w96 2/1 16

alikataa watu walipotaka kumweka awe mfalme: w96 5/1 12

alikula pamoja na Mafarisayo: w03 8/1 29-30

alimfundisha Nikodemo: w08 4/15 31

kuhusu uzima wa milele: w09 8/15 9

alimsifu Yehova: w97 7/1 16-17

alipa kodi ya hekalu: w08 2/1 15; cf 111-112

alipakwa mafuta na Maria, dada ya Lazaro: w10 11/1 6; w07 2/1 20; w03 6/1 4; w00 9/15 16; w99 4/15 16; w97 10/15 15-17

thamani ya yale mafuta: w08 5/1 31

Yuda na mitume wengine walalamika: w05 6/1 13; w00 4/15 31

alipakwa mafuta na mwanamke ambaye jina lake halikutajwa: g02 3/8 27; w01 12/15 16-17

asamehe dhambi za mwanamke huyo: w10 8/15 6-7; cf 142

atoa mfano kuwahusu watu wawili waliokuwa na deni (Lu 7): w10 8/15 6

Yesu alitenda kwa busara: w03 8/1 29-30

alishika Sabato: w10 2/1 12

alitangaza jina la Yehova: w10 4/1 6; jv 20-21

alitumia jina la Mungu: w10 7/1 5; w08 8/1 19-20; rs 295; bi12 1957

alitumia Maandiko: w09 1/15 6; cf 98, 100-107; w02 6/15 13; w99 11/1 12-13

aliwajulisha watu kuhusu haki ya Yehova: w09 1/15 22-23; cf 39-41, 43; cl 148-157; ip-2 31-32, 35-37; w98 8/1 8-12

aliwasaidia watu kwa njia ya kiroho hasa: w00 2/15 20-22, 24-25

aliwatendea Wasamaria kwa upendo: g 8/09 7-8

aliwatumikia wengine (Mt 20:28): w02 8/15 13-14

Anasi asikiliza kesi ya Yesu: w11 4/1 19

asafisha hekalu (30 W.K., 33 W.K.): w12 4/15 5-6; w10 12/15 8-9; w09 6/15 7, 11-12; my 89; cl 148-149, 151; w00 9/15 11, 17; w98 3/15 5-6; w97 8/1 10-11

hakufoka kwa hasira: cl 148

watu waliokuwa wakibadili pesa: w11 10/1 10; cf 40-41; w98 3/15 6; w97 8/1 10

asalitiwa na kukamatwa: w12 3/15 8; cf 35-36, 43-45; my 100

hakujitetea kwa jeuri: w00 4/15 28-29

kiasi ambacho Yudasi alipewa ili amsaliti: w11 8/15 13; w08 9/1 25

kijana aliyekimbia (Mk 14:51, 52): bt 118; w08 2/1 24; w08 2/15 30

Petro ajaribu kumlinda: cf 41, 43; w02 9/1 10; w98 4/1 14-15; w98 4/15 29-30; ct 155

atiwa mafuta kwa roho takatifu: w10 4/15 9; w09 5/15 30-31; w09 8/1 31; ip-2 322; w96 7/1 15

awashutumu Mafarisayo: w01 11/15 21; w00 9/15 19

Bahari ya Galilaya:

alalia “mto” (Mk 4:38): w05 8/15 8

Bethania: w11 4/1 11-15

Galilaya: gl 28; w00 9/15 12-13

Gethsemane:

baada ya mlo wa mwisho: cf 66; w99 3/15 4-5; w96 5/15 21

‘jasho likawa kama matone ya damu’ (Lu 22:44): w00 11/15 22-23

Yesu akamatwa: w12 3/15 8; cf 35-36, 43-45

hakuwa na ubaguzi: g 8/09 7-8

hakuwa sehemu ya ulimwengu: wt 159-161

hali za dini wakati wa huduma ya Yesu: w01 6/15 27-30; w96 1/15 27-29

juma la mwisho duniani: w00 9/15 16-20; w98 3/15 3-9

chati: w11 2/1 22-24; w98 3/15 4

Kaisaria Filipi: w10 1/1 25-27

Kana: cf 144-145

kanuni kuhusu jinsi ya kuwatendea wengine (Kanuni Bora) (Mt 7:12; Lu 6:31): w08 5/15 11; w07 10/1 5

kazi muhimu alipokuwa duniani: w12 5/1 10; w07 8/1 6

kazi ya kuhubiri: cf 77-86; g01 7/22 10; w00 7/1 14-15; jv 556

kesi: w11 4/1 18-22; my 101; lr 198-199; w99 3/15 5-6

Sheria yavunjwa: w11 4/1 19-21

Yesu anyamaza: w11 8/15 14; w09 5/15 4; w08 10/1 5; w98 12/1 15; w96 5/15 21-22

kilichofanya awaagize wanafunzi wasiwaambie watu kwamba yeye ni Kristo: ct 151, 153

kugeuka sura: w10 1/1 27-28; w05 1/15 12-13, 16-17; w00 4/1 12-14

kusudi la huduma yake: w12 12/1 17; cf 79, 81-83; jv 19-22; rq 6

‘kutoa ushahidi juu ya ile kweli’ (Yoh 18:37): w05 1/1 14-16; w03 10/1 9-10; jv 20

maarufu: g 3/12 15

maelezo: cf 76-127; w04 3/1 5; gl 28; w00 9/15 10-20; jv 19-22

Mafarisayo wampinga: w07 7/15 17-18

Yesu alichofanya: cf 113-114; w05 5/15 27-28

mafundisho: g 1/07 19; w05 3/15 4-7; cl 211-213; gu 22-23

chati yenye mafundisho 31: w01 12/15 12-14

kuhusu furaha: w10 8/1 16-17

kuhusu ibada ya kweli: w10 2/1 16-17

kuhusu jinsi ya kumfuata Kristo: w10 5/1 16-17

kuhusu jinsi ya kuwatendea wengine: w10 5/1 16; w08 8/1 16-17

kuhusu kifo: w12 11/1 7; w10 1/1 19; w08 11/1 16-17; bh 59

kuhusu kufunga: w09 4/1 28

kuhusu kusudi la maisha: w12 11/1 5

kuhusu kuteseka: w12 11/1 9

kuhusu maisha ya familia: w09 11/1 16-17

kuhusu moto wa mateso: w08 11/1 5-8

kuhusu msamaha: w10 4/1 21; lr 77-81; w97 12/1 15, 20

kuhusu sala: w09 2/1 16-17; w09 2/15 15-19

kuhusu talaka: cf 104-105

kuhusu Ufalme: w11 4/1 6; w10 4/1 8-10; bm 20; w08 5/1 16-17

kuhusu umalizio wa mfumo mwovu: w09 5/1 16-17

kuhusu upendo: w99 7/1 4-5

kuhusu viumbe wa roho: w10 11/1 16-17

kuhusu wakati ujao: w09 8/1 22-23

kujihusu: w10 4/1 5

kumhusu Mungu: w10 4/1 6-7; w08 2/1 16-17

matokeo ulimwenguni pote: w10 4/1 4

Mahubiri ya Mlimani: w09 2/15 6-19; cf 103-104, 119-120; my 91; ct 152

hali na mandhari: w09 2/15 6; cf 46, 48

hekima: cf 50-51; cl 211-212

kanuni kuhusu jinsi ya kuwatendea wengine (Kanuni Bora) (Mt 7:12; Lu 6:31): w08 5/15 11; w07 10/1 5; w04 6/1 32; w01 12/1 3-7

maelezo ya Gandhi: yb11 11-12; w07 6/15 5; ct 152

maelezo ya wengine: ct 152

mahusiano kati ya watu: w08 5/15 3-11

mambo makuu: ct 152

mambo yanayoleta furaha: w09 2/15 6-10; w04 9/1 4-5; w04 11/1 8-18

maneno yanayoeleweka kwa urahisi: cf 109

mashauri yanayofaa: w02 3/15 5-6

majaribio ya kumnasa katika maneno: w10 7/1 22-23

makao:

Galilaya: gl 28

malaika walimtia nguvu: w09 5/15 23

mambo aliyotabiri:

uharibifu wa Yerusalemu: g 4/11 12-13; w07 4/1 8-11; w06 12/15 17-18; rs 35-36; w03 1/1 8-9; w99 5/1 14-15; w97 4/1 5-6; w96 8/15 16-18

umalizio wa mfumo (ulimwengu): bm 22; w99 5/1 8-24; w96 8/15 9-20

mamlaka:

yapingwa: w99 1/15 25-26

maofisa washindwa kumkamata: cf 108; w02 9/1 8

Martha:

afarijika: w11 4/1 11, 14

ashauriwa: w11 4/1 13; w11 4/15 28; w07 2/15 16; w99 9/1 30-31

masinagogi: w10 4/1 16

matukio yaliyotangulia huduma yake duniani: w96 1/15 26-29

mifano: cf 118-127; w02 9/1 13-18; be 242-246; cl 213-214

mitume: lr 74-75

amwita Nathanaeli (Bartholomayo): w02 8/15 13

mabishano juu ya ukuu: w12 4/15 6; w12 11/15 15-16; w10 8/15 3; w09 9/15 8; cf 31-32, 70-71, 162; w05 4/1 9-10; w99 9/15 23-24

Yesu aosha miguu ya mitume: w12 11/15 10; w09 1/1 19; w09 11/15 24; cf 32-34; w03 3/15 4-5; lr 38-39; w02 2/1 15; w99 3/1 30-31; ct 154-155

Yesu awachagua Petro, Andrea, Yakobo, na Yohana: w11 11/15 24-25

miujiza: bm 21; cl 92-93; w99 7/1 5-6

aliwaagiza wale ambao aliwaponya wasiwaambie wengine: w08 2/15 28

idadi: w04 8/15 30; cl 92

inaonyesha mambo yatakayotukia wakati ujao: w10 8/15 29-30; w09 3/15 12; g05 4/22 11; w02 5/1 4-6; cl 95-96

kusudi: w11 4/1 6; bm 21; w00 2/15 24; rq 6

uthibitisho wa kwamba ilitukia: w04 7/15 3-7

Mlo wa Jioni wa Bwana: bm 23; my 99; rs 336-340; lr 193-196; w99 3/15 4; w96 3/15 8

mazungumzo kabla na baada ya mlo: bm 23; cf 161; w03 3/15 4-7; w02 2/1 14-18; w96 3/15 8-9

mitume wabishania ukuu: w10 8/15 3; w09 9/15 8

mkate na divai: w04 3/15 5; rs 205-207, 337-338; w03 2/15 14-15; w03 4/1 4-6

Yesu hakula mkate wala kunywa divai ya Ukumbusho: w10 3/15 27

Yesu na mitume waimba baada ya mlo: w09 12/1 30

Mmishonari: w08 2/15 12

mtawala kijana tajiri: w07 10/1 3-4; cf 5-7; w06 1/1 22; w05 3/15 12-14

mtazamo kuhusu huduma: cf 84-86

mtazamo kuwahusu watu: w08 2/15 20

Mwalimu: w12 4/1 6; bh 43; lr 10-15; be 56-60; cl 89-90, 92, 211-216; w00 2/15 14-15

alifundisha ‘kwa mamlaka, si kama waandishi’ (Mt 7:29; Mk 1:22): cf 46, 48, 101

alikataa jina la heshima “Mwalimu Mwema” (Mk 10:17, 18): w08 2/15 30; rs 428; cl 271

alitumia maandiko yanayohusiana: w02 4/1 8

alitumia maswali: w10 4/15 13; cf 111-113; w02 9/1 9-10; be 253-254; cl 214-215

alitumia vitu mbalimbali kama vielelezo: be 247-248

alivyokuwa tofauti na viongozi wa dini: w08 2/15 14-15; w01 12/15 18; w96 9/1 15-16

aliwafundisha watu kufikiri kupatana na kanuni: w97 10/15 29

aliwahurumia watu: cf 158; cl 292-293

alizoezwa na Yehova: w08 2/15 13-14

mfano kwa Wakristo: w09 7/15 15-19; cf 83-84, 108-117; w02 8/15 10-20; w02 9/1 8-13, 19-22, 24

mfano kwa wazee Wakristo: w11 11/15 29-30

mwanamke aosha miguu yake kwa machozi: w10 8/15 6-7; cf 142; w03 8/1 29-30; g02 3/8 27; w01 12/15 16-17; w99 10/15 12

mwanamke Msamaria kisimani: w09 8/15 9; g 1/08 4; cf 40, 77, 79, 81; my 90; w01 8/1 5; w99 6/15 23; ct 147-149; w97 2/1 31

Nazareti: cf 98-100; lr 138-139; cl 209

asoma kitabu cha kukunjwa cha Isaya (Lu 4): w10 4/1 17-18; w08 4/1 30

nyikani:

afunga: w96 11/15 6

atafakari: w07 12/1 26

Pasaka 33 W.K.: bm 23; w99 3/15 3-4

Yesu aosha miguu ya mitume: w12 11/15 10; w10 4/1 21-22; w09 1/1 19; w09 11/15 24; cf 32-34; w03 3/15 4-5; lr 38-39; w02 2/1 15

Petro akemewa: w10 1/1 27; w08 10/15 25; w07 2/15 16-17; w05 3/15 11; w02 8/15 27

Petro alijifunza kusamehe kutoka kwa Yesu: w10 4/1 21-26

Petro amkana Yesu: w12 8/15 22-23; w10 4/1 21, 23-24; w08 1/1 26; lr 157-161

asamehewa: w10 4/1 24-26; w08 6/1 23; w07 7/15 19; cf 168; cl 297-299; w00 6/15 19

Petro ampigania: cf 41, 43

Pilato asikiliza kesi: w11 4/1 21-22; cf 172-173; w05 9/15 11-12

jukumu la Pilato: w06 3/15 21

mashtaka: w11 4/1 21; wt 160-161

Pilato ajaribu kumwachilia: w11 4/1 21-22

Pilato akubali mashtaka: w12 8/15 22; w11 4/1 22; bt 136

Pilato aliogopa aliposikia kwamba Yesu “alijifanya mwenyewe kuwa mwana wa Mungu” (Yoh 19:7, 8): w08 6/1 27

vazi: g 11/07 7

Yesu apigwa mijeledi: g 8/12 19; cf 68; g98 12/8 6-7

ramani: bi12 1965; gl 29

roho aliyoonyesha: w97 2/1 17-18

‘saa haikuwa imefika’: w06 12/1 30-31; w00 9/15 10-15

‘saa imefika’: w06 12/1 30-31; w00 9/15 15-20

sala: w09 11/15 11; w07 8/1 5-6; cf 134, 136; lr 67-71; w98 11/15 14; w97 2/1 18-19

Gethsemane: w07 8/1 6; cf 66; kp 25

kabla ya kuchagua mitume (Lu 6:12): w12 2/15 5

Yesu aomba “kikombe” kipitilie mbali au kiondolewe: w11 5/15 18-19; lr 43; w00 11/15 22-23

sala ya kielelezo: g 2/12 12-13; w10 10/1 7-8; w09 2/15 17-18; w04 2/1 8-17; w04 9/15 3-7; lr 70-71; w02 4/1 5-6; w99 1/15 13-14; w96 7/15 5-6

Sherehe ya Vibanda (Maskani): w98 3/1 12-13

siku ya mwisho ya maisha ya Yesu duniani: w99 3/15 3-9

suala kuhusu Sabato: w11 7/15 24; cf 104; w02 8/15 11-12; w02 9/1 18; cl 153

Tomasi aongea na Yesu na kumwita “Mungu wangu” (Yoh 20:28): g05 4/22 9; rs 431-432

Tomasi atilia shaka ufufuo: w04 12/1 31

uhusiano pamoja na—

wanafunzi: w11 11/15 29

wanawake: w12 9/1 8-11; w10 5/15 9; w08 12/1 6; g 1/08 4-5; cf 141; g05 11/8 19; w03 8/15 7-8; cl 155-156; g00 4/22 15; w99 9/1 30-31; g98 4/8 13

watoto: w10 5/15 9; w09 9/15 9-10; cf 139-140; lr 11-12; w00 2/15 15-16; w98 11/1 30-31

watu mbalimbali: w97 2/1 17-18

Yehova: w09 4/1 13; w04 5/1 22; w97 2/1 18-19

umati wa watu walivyoweza kusikia sauti ya Yesu: be 139

viapo dhidi ya (Mt 5:34-37): w12 10/15 27-28

viongozi wa dini wampinga: w10 12/1 19-20; w98 12/1 15-16

vishawishi: w11 1/15 23-24; w11 5/15 17-18; w09 5/1 26; cf 59-61, 103; lr 52-56; w02 8/15 11, 26-27; w01 10/15 5-6; w97 5/1 5

aahidiwa falme zote: w10 4/15 23; w01 10/15 5-6

kama Shetani alitumia njozi: g01 6/8 30

masuala yaliyohusika: w07 12/1 26-27

Shetani alitamani “tendo la ibada”: w08 9/15 27

vinafanana na vishawishi vya siku hizi: w08 11/15 29-31; cf 61-62; w02 10/15 12

wanafunzi: lr 72-76

kushauriwa kutotamini umashuhuri: w12 5/15 29

utume: bt 7-8; cf 87-97; w06 2/1 22-23; w04 7/1 8-19; w00 2/15 22, 24

wanafunzi 70 watumwa: w00 11/1 21; w98 3/1 30-31

wanafunzi wa kwanza: w11 11/15 24-25

washauriwa: w11 11/15 30

washindwa kumponya mvulana (Mt 17:20; Mk 9:29): w98 8/1 30

wengi waacha kumfuata: w10 1/1 24-25; w05 9/1 21-22

Yesu awapa wanafunzi maagizo kuhusu kazi ya kuhubiri: cf 90-91, 93-94

Yesu awazoeza: w11 11/15 30; cf 89-91, 93-94; w05 1/1 12-13

Yesu hakuwa na shaka kuhusu uaminifu wa wanafunzi: cf 54-55, 169-170; cl 217

wanawake waliomhudumu: w03 6/1 4-5; w01 12/15 17

watu maskini: w06 5/1 4-5; w05 5/15 6

watu wa kawaida walivutiwa: cl 154-155

Wayahudi walimkataa:

sababu: w10 12/1 18-20; w09 12/15 22; rs 429-430

Yerusalemu: gl 30

aingia akiwa amepanda mwana-punda: cf 25-27; my 97; w00 9/15 16-17; w99 8/1 14-15; w98 3/15 3-4; w97 3/1 30-31

Yesu ahukumiwa na Sanhedrini: w11 4/1 19, 21; w06 1/15 12; w06 9/15 12-13

Yesu awaalika watu wawe wafuasi wake: w09 1/15 3; cf 6-8, 13

Yesu awashutumu waandishi: w00 9/15 19

Yohana Mbatizaji:

ukoo mmoja na Yesu: w10 9/1 15

Yudea: gl 28

Sifa

alielewa hali za watu: w00 3/15 6-7

alifikiria hisia za wengine: cf 152-155; cl 94-95; w00 2/15 17-18

alikuwa rafiki wa kweli: w08 12/1 6

aliwaheshimu wengine: w08 12/1 6

aliyatilia maanani mahangaiko ya watu: cf 144-145

bidii: w10 12/15 8-9, 11-12; w09 1/15 5-6; w09 6/15 7

busara: cl 217

fadhili: w09 9/15 9-10

haki:

‘afanya yaliyo haki kuwa wazi kwa mataifa’ (Mt 12:18): cf 39; cl 151-156; w98 8/1 8-12

awatolea “mataifa haki” (Isa 42:1-4): w09 1/15 22-23; cl 148-157; ip-2 31-32, 35-37; w98 8/1 5, 11

hakufanya dhambi: cf 59-62; rs 77-78

hakuumiza hisia za wengine: w03 8/1 29-30

hana ubinafsi: cl 93, 290-292

hana upendeleo (ubaguzi): w08 12/1 5-6; w03 6/15 14

hekima: w09 1/15 4; cf 46-55; cl 209-218

Sulemani ni mfano wa Yesu: w09 4/15 30-31

heshima: w08 8/15 14-15

hisia-mwenzi: w08 12/1 5; cf 152-154; w02 4/15 25

huruma: w10 8/15 29-32; w08 2/15 16; w08 12/1 5; cf 150-160; cl 292-297; w97 12/15 28-29

kutoweza kufa: w06 10/1 5

maelezo: w08 12/1 4-6; cf 24-75; w06 5/1 28, 31; bh 44-46; w03 8/15 6-8

mtu mkamilifu:

alikuwa mkamilifu ingawa mama yake hakuwa mkamilifu: w08 7/1 15; g99 8/8 30

angaliweza kuanzisha jamii kamilifu ya wanadamu: w00 3/15 4

mtu wa vitendo: ct 159

mwenye kiasi: cf 53-54; w02 3/15 17; cl 154; w00 3/15 22; w00 8/1 19

mwenye shukrani: w99 4/15 16

nguvu:

alipokamatwa: w00 4/15 28-29

rehema: w07 9/15 22

anatenda kwa rehema akiwa kuhani mkuu: km 11/02 1

shangwe: w01 5/1 9

“shangwe iliyowekwa mbele yake” (Ebr 12:2): w08 10/15 32; lv 203-204; cf 73-74; w00 9/1 12; w99 10/1 21

subira: w12 9/15 20; w10 4/1 21-22; cf 162-163; w05 4/1 9-10

tayari kukubali sababu (usawaziko): cf 54-55, 147; cl 218

ucheshi: w03 8/15 7

uhodari: w12 2/15 13-14; w09 9/15 13-15; w08 12/1 6; cf 35-45; w06 10/1 21

ujasiri: w09 7/15 21-22

ujitoaji-kimungu:

“siri takatifu” (1Ti 3:16): w08 6/15 13; w08 9/15 30-31; w06 2/15 19; cl 196; wt 57

ukamilifu:

alifanywa kuwa mkamilifu (Ebr 2:10; 5:9; 7:28): w09 5/15 11

ukuu: w10 4/1 4; w08 12/1 3; g 12/06 3

mkuu kuliko Musa: w98 7/15 11

unyenyekevu: w12 11/15 10-14; w09 1/15 4-5; w08 2/15 15; w07 11/1 6; cf 25-34; g 3/07 20-21; w05 1/1 7; w05 10/15 27-28; cl 217-218; w00 9/1 6-7; w99 2/1 6

mafunzo kwa wanafunzi: w12 11/15 10-11, 15-16; w08 3/15 4; w99 3/1 30-31

upendo: cf 128-181; w05 9/15 6; w02 2/1 14-15; cl 290-299; w99 7/1 5

‘alipenda uadilifu; alichukia uovu, uasi-sheria’ (Zb 45:7; Ebr 1:9): cf 58-59

anampenda Yehova: cf 129-138, 175-176

anapenda kweli zinazotoka kwa Mungu: cf 80-81; w02 8/15 10-12

anawapenda Wakristo: w08 10/15 9-10; cf 161-171; re 71-72

anawapenda wanadamu: cf 176; cl 231; w97 11/1 8-9

anawapenda watu: w09 1/15 6-7; w09 7/15 18; w08 2/15 15-16; w07 11/15 22; cf 81, 144-147; w02 8/15 12-14

upendo wake ‘watulazimisha’ (2Ko 5:14): w10 5/15 26-27; w10 6/1 9; w05 3/15 14; w98 12/15 16; g96 10/8 27

upole: w09 9/15 7-9; cf 146-147; w03 4/1 16-17; g01 11/22 24

usawaziko: w08 12/1 4; cl 216; w00 2/15 14

ushikamanifu (uaminifu-mshikamanifu): w96 3/15 12

aliunga mkono mpango wa hekaluni: w97 8/1 10-11

ustahimilivu: w01 11/1 14

utakatifu: w06 11/1 22-23; re 59; cl 30

utambuzi: w08 12/1 5

utayari:

kumfunua Baba: w12 4/15 6-7

utimilifu (uaminifu-maadili): cf 64-65; w02 8/15 26-27; w97 5/1 5

uvumilivu: cf 66-75

watu walijihisi huru kumwendea: w08 12/1 4-5; cf 139-149; w02 3/15 17-18; w00 2/15 15-16

Unabii Uliotimia

Mwanzo:

“maneno ya kupendeza” (Mwa 49:21): w02 8/15 12

Shilo (Mwa 49:10): w11 8/15 9; w07 12/1 23-25; w04 1/15 29; w02 10/1 17-20

Kumbukumbu la Torati:

nabii aliye kama Musa (Kum 18:15, 18, 19): w09 4/15 25-28; g04 4/8 12-13; w00 2/15 24

Zaburi:

Zaburi ya 2: w04 7/15 15-20

Zaburi ya 72: w10 8/15 28-32; w04 11/1 6-7

‘alichukiwa bila sababu’ (Zb 69:4): w11 8/15 11

alifufuliwa (Zb 16:10): w11 8/15 16

alipewa siki na mmea wenye sumu (Zb 69:21): w11 8/15 15

alitukanwa (Zb 22:7, 8): w11 8/15 15

‘bidii kwa ajili ya nyumba yako’ (Zb 69:9): w10 12/15 8-9

hakuna mfupa uliovunjwa (Zb 34:20): w11 8/15 16

jiwe lililokataliwa lawa jiwe kuu la pembeni (Zb 118:22): w11 8/15 12-13

“keti kwenye mkono wangu wa kuume” (Zb 110:1): cl 194

‘kura ilipigwa ili kugawanya mavazi yake’ (Zb 22:18): w11 8/15 15

“kwa ini umeniacha?” (Zb 22:1): w11 8/15 15-16

“kwenye mikono yangu na miguu yangu” (Zb 22:16): g 8/12 19; w11 8/15 14

mashahidi wa uwongo watoa ushahidi juu yake (Zb 35:11): w11 8/15 14

‘mtu ambaye alikuwa akila mkate wake’ amsaliti (Zb 41:9): w11 8/15 13

“umechukua zawadi katika namna ya wanadamu” (Zb 68:18): w10 9/15 18; w99 6/1 9-10

‘uvutio juu ya midomo’ (Zb 45:2): w02 8/15 12

Isaya: g 8/12 19-20; w09 1/15 21-29; w08 10/1 4-6

Isaya 9:6, 7: w10 10/1 24; w07 5/15 6; cf 23, 189; ip-1 129-132

Isaya 49: ip-2 136-146

Isaya 50:4-11: w09 1/15 22; ip-2 157-164

Isaya 59:21: ip-2 300-301

Isaya 61:1-3: w11 8/15 10; ip-2 322, 324-326

“agano la watu” (Isa 42:6; 49:8): w09 1/15 23

“alihesabiwa pamoja na wakosaji” (Isa 53:12): w11 8/15 14

alikaa kimya mbele ya watu waliomshtaki (Isa 53:7): w11 8/15 14

alilindwa (Isa 42:6; 49:8): w09 1/15 23; w05 6/1 9

alitemewa mate na kupigwa (Isa 50:6): w11 8/15 14; w09 1/15 22; cf 172; ip-2 159-161

“aliyachukua magonjwa” (Isa 53:4): w11 8/15 11

‘atamwita jina Imanueli’ (Isa 7:14): ip-1 107-109

“hatapaaza kilio” (Isa 42:2): ip-2 31-32, 35

“ishara kwa ajili ya vikundi vya watu” (Isa 11:10; 62:10): ip-2 345-346; ip-1 165-166

‘kaburi pamoja na matajiri’ (Isa 53:9): g 7/12 24; w11 8/15 16

“kiongozi na kamanda” (Isa 55:4): w07 4/1 27; ip-2 238-242

‘kwa sababu ya hukumu, aliondolewa mbali’ (Isa 53:8): w11 8/15 13-14

“mgongo wangu niliwapa washambuliaji” (Isa 50:6): g 8/12 19

“Mshauri wa Ajabu” (Isa 9:6): w07 5/15 6; cf 23; cl 211-213; ip-1 129-130

“mtumishi wangu” (Isa 42:1-7): w09 1/15 22-24; ip-2 30-32, 35-38, 40-41; w98 8/1 5

“mtumishi wangu” (Isa 52:13–53:12): w09 1/15 24-29; gu 21-22; ip-2 194-214; ct 108-109

‘mwanamwali atachukua mimba’ (Isa 7:14): w11 8/15 9-10; w08 10/1 4

“mzizi wa Yese” (Isa 11:10): w08 10/1 4-5; w06 12/1 9; re 84

“nuru ya mataifa” (Isa 42:6): w09 1/15 23-24; ip-2 37-38, 40-41

‘tawi na chipukizi kutoka Yese’ (Isa 11:1-10): w10 12/15 16-19; w08 10/1 4-5; w06 12/1 9; re 84; rs 171; ip-1 159-161, 163-166

uzao wa Daudi (Isa 9:7): g 7/12 23; bh 200

watu wa Galilaya ‘wangeiona nuru kuu’ (Isa 9:1, 2): w11 8/15 10-11; ip-1 125-127

wengi hawakumkubali (Isa 53:1): w11 8/15 11

Yeremia:

‘Raheli awalilia wanawe’ (Yer 31:15): w11 8/15 10

Ezekieli:

“mtumishi wangu Daudi” (Eze 34:23, 24; 37:24, 25): w07 8/1 11

Danieli:

“majuma 70” (Da 9:24-27): w12 1/1 16; g 7/12 24; w11 8/15 8-9; g 2/11 18; bm 18-19; w06 2/15 6; bh 197-199; w02 3/15 4-5; dp 186-197; w98 9/15 13-14

‘mtozaji angepitishwa’ (Da 11:20): dp 233; w98 12/15 7

Hosea:

“kutoka Misri” (Hos 11:1): w11 8/15 10; jd 55; bh 201

Mika:

‘alipigwa kwenye shavu’ (Mik 5:1): w11 8/15 14

alizaliwa Bethlehemu (Mik 5:2): g 7/12 23-24; w11 4/1 4; w11 8/15 9; bm 19; w08 10/1 22-23; bh 201; w03 8/15 18

Zekaria:

‘alichomwa’ (Zek 12:10): w11 8/15 16

“amepanda juu ya punda” (Zek 9:9): w12 11/15 12; w11 8/15 12; w97 3/1 30

“mpige mchungaji, na wale wa kundi watawanyike” (Zek 13:7): w11 8/15 13

vipande 30 vya fedha vililipwa (Zek 11:12, 13): w11 8/15 13

Malaki:

“Eliya” atayarisha njia (Mal 4:5, 6): w11 8/15 10

“mjumbe wa agano” (Mal 3:1): w10 3/15 23; w10 9/15 25-26; w07 4/1 22; w07 12/15 27-28; jd 179-182; re 31-32, 55-56

‘aliitwa Mnazareti’ (Mt 2:23): w11 4/1 5; ip-1 159

alipokufa: g 8/12 18-20; w11 4/1 8

chati: g 7/12 22-23; jd 55; bh 200; ip-2 212

haiwezekani kujua idadi kamili ya unabii kumhusu Kristo: w11 8/15 17

maelezo: w12 1/1 16; g 7/12 22-24; w11 8/15 8-16; bh 199-201; wt 33-37; w00 5/15 16

unabii wa Kayafa: w06 1/15 12

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki