YESU KRISTO
(Ona pia Fidia [Bei ya Ukombozi]; Kristo; Kurudi na Kuwapo kwa Kristo; Masihi; Mifano [Vielelezo]; Miujiza; Neno la Mungu [Yesu Kristo]; Uzao wa Abrahamu; Uzao wa Mwanamke)
(Kuna vichwa vidogo: Huduma Duniani; Sifa; Unabii Uliotimia)
“Adamu wa mwisho” (1Ko 15:45): g 12/06 5-6; g05 4/22 4; lr 192-193; cl 145; w00 3/15 4
afanywa kuwa mkamilifu (Ebr 2:10; 5:9): w09 5/15 11
agano kuhusu ukuhani kama wa Melkizedeki: w12 10/15 26; w06 5/15 17; cl 194
agano la Ufalme kati yake na watiwa-mafuta (Lu 22:29, 30): w06 2/15 22; w03 2/15 22; cl 197; w98 2/1 17-18; w98 2/15 16
“akili ya Kristo” (1Ko 2:16): w10 10/15 4-5; w08 7/15 27; w07 8/1 4-7; w00 2/15 10-25
kuisitawisha: w02 3/15 18; w98 9/1 6
“alijulikana kimbele kabla ya kuwekwa msingi wa ulimwengu” (1Pe 1:20): w06 6/1 23
alikuwa mtu halisi: w12 4/1 5; g 8/12 19; w09 5/1 7; g 12/06 3; rs 428; w03 6/15 3-7; w01 12/15 3-8
maelezo ya Rousseau: w08 12/1 3
maelezo ya Tasito: g 8/12 19; w10 4/1 15; rs 428; w03 6/15 5
maelezo ya Yosefo: w10 4/1 15; rs 428; w03 6/15 5
masimulizi yote yanapatana: w01 12/15 6, 8
vitabu vya Injili vinasimulia matukio halisi: w10 3/1 8-11; w10 4/1 26-27; w01 12/15 5-6
alilindwa na kuongozwa na roho takatifu: w11 12/15 15; w10 4/15 8-9
alimfunua Yehova: rk 22-23; w09 5/15 29-30; w08 10/15 9-10; cf 18; cl 21-24, 96, 209; w99 6/15 22-24; ct 145-151, 153-155, 157-161
alirithi agano la Ufalme: w06 12/15 4-5; re 59-60
alishinda ulimwengu: re 83-85; w03 3/15 4
alitimiza Agano la Sheria (Mt 5:17): w10 2/1 13
alitiwa mafuta kwa “mafuta ya kushangilia” (Zb 45:7): cf 58-59
aliumbwa: w08 12/15 12; w05 9/15 4; bh 40-41; rs 370-371; cl 55-56
amani yapatikana kupitia Yesu: w06 12/15 4-7; w97 1/15 11-12
Amina: w09 6/1 27; w08 12/15 13, 15; cf 23; re 66
alitumia neno “amina” kwa njia ya pekee: w09 6/1 27
anafananishwa na—
Daudi: w09 4/15 29-30
dhabihu zilizotolewa kulingana na Sheria: w12 1/15 17; lv 76; w07 4/1 19; w04 6/15 16-18
Isaka: ip-2 218
Isaya: re 282; ip-1 98-100
Koreshi Mkuu: ip-2 18-20
kuhani mkuu: w00 1/15 15-16
malaika anayemfunga joka (Ufu 20:1-3): re 287-288
malaika anayepanda kutoka mashariki (Ufu 7:2): re 115
malaika mwenye mamlaka kubwa (Ufu 18:1, 2): re 259-260
malaika mwenye upinde wa mvua juu ya kichwa chake (Ufu 10:1): re 155-156
malaika wa abiso (Ufu 9:11): re 143, 148; g98 6/8 31
mazao ya kwanza ya shayiri: w07 1/1 21; w07 7/15 26
mbuzi wa Azazeli: w09 8/15 6-7
Melkizedeki: w99 2/15 30-31
Musa: w09 4/15 25-28; g04 4/8 12-13
mwana-kondoo wa Pasaka: w07 1/1 20
mzabibu (Yoh 15): w09 5/1 15; w06 6/15 18-19; w02 2/1 17-18
nyoka wa shaba: my 41
nyota iliyoanguka kutoka mbinguni (Ufu 9:1): re 143
‘nyota inayotokea katika Yakobo’ (Hes 24:17): re 53
“nyota ya asubuhi” (Ufu 2:28; 22:16): re 53, 318; w00 4/1 14
“nyota ya mchana” (2Pe 1:19): w08 11/15 22; w05 1/15 16; w00 4/1 14-17; w97 9/1 12
“pete ya muhuri” (Hag 2:23): w97 1/1 22
Sulemani: w10 8/15 28-29; w09 4/15 30-32; w96 11/1 6
Yehu: w98 1/1 13; w97 9/15 19
Yona: jd 11
Yosefu (mwana wa Yakobo): w99 1/1 30-31
Zekaria: w07 12/1 10
anafanya kazi: lv 172-173; w07 2/15 24; cf 131-132; lr 217-220
anajitiisha chini ya Yehova: w12 4/1 5, 20-21; w10 4/1 14; w10 12/1 9; re 15; od 160; g05 4/22 6-7; rs 372-373
anavyohusika katika kusudi la Mungu: w08 12/15 12-16; cf 15-17; w06 7/1 5-6; od 10-15; be 276-278; w01 12/15 8
kufufuliwa kwa wengine: w06 3/15 4
“kurudishwa kwa mambo yote” (Mdo 3:21): w05 11/1 6-7
kusuluhisha masuala yanayohusu viumbe vyote ulimwenguni: w10 8/15 11; cf 16-17, 64, 174-175; jv 19, 22
maelezo katika Waroma: w11 6/15 7-15
‘siri takatifu ya ujitoaji-kimungu’ (1Ti 3:16): w08 6/15 13; w08 9/15 30-31; w06 2/15 19; cl 196; wt 57
ana wajibu wa kutoa hesabu mbele za Yehova: w96 9/15 11
anawaona watiwa-mafuta kuwa waaminifu: w09 2/15 26-27
anawathamini watumishi wa Yehova: w07 2/1 20-21
apaa mbinguni: bt 14-17; cf 182-183; my 104
“alichukua mateka” (Efe 4:8): w08 8/15 27
wanafunzi watazama angani: bt 17
atakavyohusika katika vita vya Har-Magedoni: re 279-286
atumia roho takatifu:
kuelekeza mahali pa kuhubiri: w12 1/15 9-11
“msaidizi” kwa ajili ya kutaniko: w10 10/1 27-28; w05 9/15 22; w03 3/15 6; w02 2/1 19-20; w00 10/15 21-22
“roho saba” (Ufu 3:1; 5:6): w09 1/15 30; re 54-55, 84-85
awaahidi wanafunzi wake atakuwa pamoja nao hadi umalizio wa mfumo (Mt 28:20): w09 2/15 26-27; cf 97; w06 3/1 4, 7
awaheshimu wengine: w00 6/15 19
awatokea watu baada ya kufufuliwa: bm 24; my 103-104; rs 321-322, 436; lr 204-206; w01 3/15 6; w99 3/15 9; w98 7/1 14-16
karibu na Emau: w11 1/15 31-32
Maria Magdalene: g 1/08 5
mitume saba kando ya Bahari ya Galilaya: w10 4/1 25-26
papa asema kwamba Yesu alimtokea Maria kwanza: g98 1/8 29; g98 11/8 30
Petro: w10 4/1 25
Stefano katika maono: w05 1/1 31
Tomasi: w04 12/1 31
wahudumu wanawake ambao ni Mashahidi: w12 9/1 10
watu 500 huko Galilaya: w10 10/15 24; cf 94; w98 7/1 14-15
“Baba wa Milele” (Isa 9:6): w07 5/15 6; cf 23, 189; g 12/06 5-6; lr 192-193; ip-1 131
bibi-arusi wa Kristo: re 275-278
bikira: w09 2/15 24
Yerusalemu Jipya: w10 7/15 5; re 301, 305-313
burudisho kutoka kwa Yesu: km 5/08 1; w07 5/15 13; w04 6/1 16; w04 8/15 22-23; w02 1/15 8-9; w01 12/15 9-15
“Bwana wa sabato” (Mt 12:8; Mk 2:28; Lu 6:5): w08 2/15 28; rs 256; w96 11/1 9
chati:
jinsi Yesu anavyotoa mashauri (Ufunuo): re 34
juma la mwisho la maisha ya Yesu duniani: w11 2/1 22-24
unabii uliotimia: g 7/12 22-23; jd 55; bh 200; ip-2 212
cheo: re 278-281; od 8, 185-186
“atainuliwa na kutukuzwa” (Isa 52:13): w09 1/15 24-25
Chipukizi: w07 12/1 10; w06 4/15 26; ip-1 159
damu ya Yesu: cl 145-146
damu ya Yesu inaokoa uhai: w04 6/15 18-19
‘ilitoa ushahidi’ (1Yo 5:6-8): w08 12/15 28
inafananishwa na damu iliyotolewa katika siku ya upatanisho: lv 76; w04 6/15 16-18
dhabihu ya Yesu: w12 1/15 20, 28-29; rs 77-82; w00 8/15 18-19; w99 7/1 6-7; rq 6
dhabihu ya upatanisho: w08 12/15 27; w99 3/15 9
ilitolewa mara moja tu: g99 5/8 26-27
inabeba dhambi (ili kuziondolea mbali): w09 8/15 6-7
inafananishwa na dhabihu zilizotolewa katika Siku ya Upatanisho: w09 9/15 27; w07 1/1 22-23; w00 1/15 15-16
inafananishwa na dhabihu zilizotolewa kulingana na Sheria: w12 1/15 17; g 8/12 20; lv 76; w07 4/1 19; w04 6/15 16-18
msingi wa kuwapatanisha wanadamu na Mungu: cf 19
unabii mbalimbali kuihusu: ip-2 202, 204-205, 207-211, 213-214
wakati ilipowekwa kwenye madhabahu: w00 1/15 15
Yesu amtolea Yehova mwili wake wakati wa ubatizo, Yehova aukubali: w96 7/1 14-15
Yesu atoa thamani ya dhabihu yake mbele za Yehova: cf 183-184; w00 1/15 16; w96 7/1 14-16
Yesu hakuuchukua tena mwili wake: rs 435-436
elimu: w96 2/1 9-10
“hajajifunza shuleni” (Yoh 7:15): w96 2/1 9
familia: w06 4/1 11; w03 12/15 3-8
baba mlezi, Yosefu: w12 4/1 23-28; w09 1/1 7; w02 12/15 6; w00 2/15 12-13
kilichofanya watoto wa Maria wasikabidhiwe daraka la kumtunza baada ya Yesu kuuawa: cf 167
mamake Maria: w09 1/1 3-10; w08 7/1 14-17; rs 181-187; w02 12/15 6
ndugu na dada wa kambo: w10 4/1 13; w09 1/1 5-6; rs 182-183; w03 12/15 3; lr 222-223; g96 5/8 20-22
Yesu alitimiza wajibu kwa watu wa familia: w08 12/1 6
fidia: w11 3/1 16-17; w10 8/15 12-16; w10 12/15 18; w08 3/1 4-7; w08 11/1 16; g 12/08 7-8; cf 19, 175, 181, 183-184, 191; w06 3/15 8-9; g 5/06 8; w05 11/1 13-14; bh 50-53; od 186; g05 4/22 11; rs 77-83; w02 6/15 6; cl 138-147; wt 37-40; w01 11/15 6; la 25-27; w00 3/15 3-4; w99 2/15 13-18; ct 156-157; w97 2/1 11-13
“fidia inayolingana” (1Ti 2:6): w11 6/15 13; cl 142-143, 145; w99 4/15 12; w97 7/15 6-7
inadhihirisha kwamba Yehova ni mwadilifu: w05 2/1 24; w05 11/1 13-14; w98 8/1 13-14
inaondoa dhambi: g 8/12 20; w97 7/15 6-7
kuithamini: bh 54-56
maelezo kwa Waislamu: gu 19-22
maelezo kwa watoto: lr 192-193
tendo la upendo: cf 176-178; cl 231; w99 2/15 17-18
wanadamu wanaweza kuhesabiwa kuwa waadilifu: w09 3/15 24-25
zawadi kwa wanadamu: w10 4/1 11
funguo:
“funguo za kifo na za Kaburi” (Ufu 1:18): re 28; wt 83
“ufunguo wa abiso” (Ufu 9:1; 20:1): re 143, 287
“ufunguo wa Daudi” (Ufu 3:7): w09 1/15 31; re 59-60, 63; w03 5/15 17
haifai kusali kwa Yesu: w05 1/1 31
Hakimu: w10 12/15 18-19
awahukumu kondoo na mbuzi (Mt 25): w10 9/15 28-29; w98 8/15 20
kipindi cha Miaka Elfu (Milenia): re 296-297; bh 213-215
kukaguliwa kwa wale wanaojidai kuwa Wakristo (1918): w10 9/15 25-26; w07 12/15 27-28; jd 179-182; re 31-32
‘hazina zimefichwa ndani’ ya Yesu (Kol 2:3): w09 7/15 3-7
hisia: w06 5/1 19; w00 2/15 13-14; w98 3/1 28
alifikiria hisia za wengine: cf 152-155; cl 94-95; w00 2/15 17-18
‘aliwasikitikia’ watu: w08 2/15 16; cf 150-160; cl 292-297
Lazaro alipokufa: w12 4/15 5; w08 5/1 24; bh 67; we 29-30; g01 7/8 13; w99 6/15 23-24; ct 158-160
machozi: w12 4/15 5; w10 11/1 10; w08 5/1 24; w08 12/1 5; w06 5/1 28; we 29-30; g01 7/8 13
imani katika Yesu: wt 37-40; w98 12/1 3-7
jina la Yehova:
Yesu alilikazia: w10 4/1 6
Yesu alilitumia: w10 7/1 5; w08 8/1 19-20; rs 295; bi12 1957
jiwe la pembeni: ip-1 293-294
kama anajua wakati vita vya Har-Magedoni vitakapoanza: w96 8/1 30-31
Kamanda: ip-2 238-242
kicheko: w00 2/15 15-16
Kichwa cha kutaniko: w10 3/15 13; w07 4/1 21-22; re 33; od 12-14, 209-210; be 277; w99 12/1 15-16; jv 29
anaongoza kutaniko: w10 9/15 22-24, 27; cf 184-185; w02 3/15 13-18; w01 1/15 20-21
‘nyota katika mkono wa kuume’ (Ufu 1:16, 20; 2:1; 3:1): w12 10/15 14; w10 9/15 27; re 28-29, 54-55, 136; w03 5/15 10; w02 3/15 14
kifo: w11 4/1 8-9; bm 23; my 101; lr 199-201; w99 3/15 6, 8-9
abeba mti wa mateso: g98 12/8 6-7
ahadi kwa mtenda-maovu (Lu 23:43): w10 12/1 25; w09 8/15 10-11; g 2/08 11; g 2/06 8; rs 239-242; lr 188-190; g00 2/22 8-9; g96 6/8 13
‘aliidharau aibu’ (Ebr 12:2): w10 8/15 5; w05 1/1 15
alimkabidhi Yohana daraka la kumtunza Maria: cf 165, 167; cl 291-292; ct 161
alimwomba Mungu awasamehe waliomtundika: cl 297
‘alitoa dua pamoja na vilio vyenye nguvu na machozi’ (Ebr 5:7): w07 2/15 27; cf 72
alitundikwa mtini: g 8/12 19; cf 68-69, 165, 167
giza lililotokea Yesu alipokufa: w08 3/15 32; g 3/08 29
hakuna mifupa iliyovunjwa: w11 8/15 16; w07 3/1 20
hakutundikwa kwenye msalaba: w11 3/1 18-20; g 4/06 12-13; bh 204-205; rs 211-212
“imetimizwa!” (Yoh 19:30): w10 8/15 11-12; w07 12/1 28
inadaiwa kwamba kaburi la Yesu liko Japani: g98 4/8 15
katika abiso: re 288
katika Hadesi (Kaburi): w08 11/1 9; rs 155
“kikombe hiki na kipitilie mbali,” ‘ukiondoe kikombe hiki’ (Mt 26:39; Mk 14:36; Lu 22:42): w11 5/15 18-19; lr 43; w00 11/15 22-23
kilichofanya afe kabla ya wale watenda maovu: g98 12/8 6-7
kilivyomwathiri Maria: w09 1/1 8-9
‘Kiongozi wa agano avunjwa’ (Da 11:22): dp 236-238
“kwa nini umeniacha?” (Mt 27:46; Mk 15:34): w11 8/15 15-16; w08 2/15 30; w06 5/15 18
maana ya kifo chake: rs 77-78; w03 4/1 6-7
matayarisho ya kumzika: w02 2/1 10; w02 3/15 30
matukio yaliyotangulia kuuawa kwake: cf 66, 68-69
mavazi yake yalichukuliwa na askari: w09 8/15 23
“ninaikabidhi roho yangu mikononi mwako” (Lu 23:46): w01 6/1 9; w01 7/15 6
ofisa-jeshi aliyesimamia kuuawa kwake: w10 8/15 11
pazia hekaluni lapasuka: w96 7/1 15
saa kamili ambayo alitundikwa mtini: w11 11/15 21
sababu zilizofanya iwe lazima afe: w12 4/1 7; w12 12/1 17; w11 3/1 17; w11 4/1 8-9; w08 11/1 16; cf 174-175; cl 138-139, 141-142, 144-145; gu 21-22; ct 156-157
Sanda ya Turin haikutumiwa kufunga mwili wake: g01 7/22 27; g98 12/22 23-24
tendo la upendo: cf 172, 174-181; cl 231-234
tendo lisilo la haki: w07 8/15 17-18; w98 6/15 28-29
ubavu wachomwa: w11 8/15 16; w05 2/15 7
ukumbusho wa kifo chake: w12 3/1 16-17; bh 206-208; od 75-76; rs 336-340; w03 4/1 3-7; lr 193-196
umuhimu: bm 23; w01 11/15 6
unabii wa Kayafa kuhusu kifo cha Yesu: w06 1/15 12
vazi lisilokuwa na mshono: w09 7/1 22; w05 1/1 14-15
vitambaa vya mazishi: g98 12/22 24
watenda–dhambi waliotundikwa kando: w12 2/1 14
Yehova ‘alivyopendezwa kumponda’ (Isa 53:10): w09 1/15 26-27; w07 1/15 10; ip-2 209-210; w00 8/15 31
Kiongozi: w11 5/15 26-27; w10 9/15 21-29; w09 1/15 3; w07 4/1 21; cf 8-11; w05 9/15 21-23; od 12; w04 11/1 6-7; w02 3/15 4-18; ip-2 238-242
“Kiongozi wa agano” (Da 11:22): dp 236-238
kiti cha ufalme: re 72-73
Kristo: w10 4/1 15; w09 5/15 30-31; w09 8/1 31; w05 9/15 4; gu 24
Kuhani Mkuu: w12 1/15 28-29; w12 10/15 26; jr 175; w08 12/15 14-15; cf 23; od 12; be 277; w00 3/15 5-9; w98 7/15 11
aingia katika Patakatifu Zaidi mbinguni: cf 183-184; w00 1/15 16
alifanywa kuwa mkamilifu ili atimize jukumu lake akiwa Kuhani Mkuu: w09 5/15 11
jinsi utumishi wa kuhani mkuu Yesu unavyonufaisha: w06 3/15 8-9
kama Melkizedeki: cl 194; w99 2/15 30-31
katika maono ya Yohana: re 25-27
kuhani bora kuliko kuhani wa familia ya Haruni: w99 12/15 16-17
“mtumishi wa watu wote” (Ebr 8:2): w00 3/15 5-6; w00 11/15 11
“mwenye rehema na mwaminifu” (Ebr 2:17): w07 2/1 20-21; km 11/02 1
kuja kwa Yesu: w07 3/15 3-7; re 19-20; w04 3/1 16; rs 115-118; w98 9/15 16-18
hekaluni (1918): w10 3/15 23; w07 4/1 22; w07 12/15 27-28; jd 179-182; re 31-32, 55-56
jinsi ambavyo kuja kwa Kristo ‘kungeonwa’: w07 3/15 5; re 20; rs 117-118
“kama mwizi” (Ufu 3:3; 16:15): w09 5/1 13; re 55-56, 231-232
katika, juu ya, au na mawingu: re 19-20; rs 117-118
“katika mwili” (2Yo 7): w08 12/15 28
kukesha kuhusiana na kuja kwake: w09 3/15 15-19; w08 2/15 25; w05 10/1 21-25; w03 1/1 17-22; w03 12/15 19-24; w99 5/1 20-24; w98 9/15 16
“ninakuja upesi” (Ufu 22:7, 20): re 314, 319; w99 12/1 19
ni tofauti na kuwapo kwake: rs 115-116; w96 8/15 9-13
“vivyo hivyo” (Mdo 1:11): bt 17; w05 1/15 14-15; rs 117
wakati wa dhiki kuu: w10 9/15 28-29
kumfuata Yesu: w10 5/1 16-17; w09 1/15 3-7; w09 5/15 28-32; w07 10/1 3-4, 6-7; cf 2, 5-191
kumheshimu Yesu: w06 11/1 22-23
kumjua Yehova: w12 4/15 4
kumjua Yesu Kristo: w09 5/1 7-8
kumpenda Yesu: w09 12/15 26; lv 27; cf 12; w05 1/1 13-14; lr 197-201; w99 7/15 20
“ingawa hamkumwona yeye kamwe” (1Pe 1:8): w97 2/1 14-19
kunamsaidia mtu kuepuka dhambi: w06 11/15 22
kumsifu Yesu:
“wimbo mpya” (Ufu 5:9): re 87-89
kumsikiliza Yesu: w09 5/15 32
“msikilizeni” (Mt 17:5): lr 15
kumsujudia Yesu: rs 433-434
kumtambua Yesu: w12 1/15 6-7; w12 4/1 3-6; g 12/06 3, 5-6; w05 9/15 3-7; g05 4/22 3-4; w01 12/15 4
kumtii Yesu:
mfano kuhusu msingi wa nyumba (Mt 7): w08 2/15 31-32; w08 11/1 29-31; w07 1/1 32; w05 5/15 32
wazee Wakristo: w10 9/15 27
kumwabudu Yesu: g 2/06 29; g00 4/8 26-27
kumwamini Yesu:
kumwamini Yesu pekee hakutoshi: rs 68, 435
maana: w96 2/1 3-8
kusali katika jina la Yesu: w10 10/1 6-7; g 11/10 21; w08 2/1 11-14; cf 19-20; w06 9/1 28; w02 4/15 31; g02 9/8 26-27
‘kutembea kama huyo alivyotembea’ (1Yo 2:6): w05 9/15 21-25
“kutembea katika muungano na yeye” (Kol 2:6): w98 6/1 9-14
kuthamini kukusanyika kwa ajili ya ibada: w98 3/1 18-19
kutoa ushahidi kumhusu Yesu:
“kutoa ushahidi kumhusu Yesu” (Ufu 12:17): be 275-278; km 11/02 1
“mtakuwa mashahidi wangu” (Mdo 1:8): w10 2/1 30; jv 26
“kutoa ushahidi kumhusu Yesu ndilo kusudi la unabii” (Ufu 19:10): w09 7/15 5; re 278-279
kutoweza kufa: w06 10/1 5; w05 9/1 27
kuwapo: w08 1/1 7-9; w08 2/15 21-25; rs 115-120; w96 8/15 9-14
maoni ya Wanafunzi wa Biblia: jv 45-47, 132-133, 556-557, 631
tukio lisiloonekana: w08 1/1 8; rs 116-119
kuwa rafiki ya Yesu: w09 10/15 13, 15-17
kuzaliwa kwa Yesu, na matukio mengine katika kipindi cha kuzaliwa kwake: w09 1/1 4; w08 10/1 22-25; my 85; lr 33-35; w02 12/15 5-7; w00 12/15 5-6; w98 12/15 5-9
alilazwa katika hori: w08 10/1 24
apelekwa hekaluni siku 40 baada ya kuzaliwa: w08 10/1 25
Bethlehemu: w11 4/1 4; w08 10/1 22-25
hakuzaliwa Mwezi wa 12: lv 145-146; g 12/08 10-11; bh 221-222
kusudi: w02 12/15 3-5
mahali palitabiriwa: w11 4/1 4; bm 19; w08 10/1 22-23; bh 201
malaika watangaza “amani kati ya watu wa nia njema” (Lu 2:14): w06 12/15 3, 6
malaika wawatangazia wachungaji kuzaliwa kwa Yesu: w11 8/15 8; w08 10/1 24-25; w06 12/15 3; w02 12/15 6-7
mwaka: w99 11/1 4-5; g98 3/22 28-29
Mwana wa Mungu: g 3/06 13
nabii Ana hekaluni: w08 2/15 7
nabii Simeoni hekaluni: w08 2/15 6-7; w08 10/1 25; w03 5/1 15-16
tarehe: w10 4/1 12-13; g 12/10 5; lv 145-146; g 12/08 10-11; w05 12/15 6; rs 275-276; w02 12/15 5-6; g98 3/22 29
uandikishaji wakati wa kuzaliwa kwa Yesu: g 4/11 11; w09 12/1 16; w08 3/15 30; dp 233; w98 12/15 7
wazazi wa Yesu walitoa dhabihu ya ndege: w09 1/1 5; w08 10/1 25; w03 12/15 4-5; w02 12/15 6; w00 2/15 12
lugha ambayo Yesu alizungumza: w08 8/1 26
maelezo: w12 4/1 3-8; w11 3/1 16-17; w11 4/1 3-9; w10 4/1 3-15; w08 12/1 3-7; cf 5-191; g 12/06 3-9; w05 9/15 3-7; bh 37-46; od 185-186; my 84-104; rs 427-438; wt 32-40; ol 9-10; w99 7/1 3-7; ct 144-164; g98 12/8 8-11; rq 6
kwa Waislamu: rk 18-23, 30; gu 19-23
maelezo katika:
gazeti Time: g 12/06 3; w01 10/15 4
kitabu cha historia (The Historians’ History of the World): g 12/06 3
Kurani: gu 20-21; ol 9; ct 145
maelezo ya watu mbalimbali:
Asch, Sholem (mwandishi): w08 12/1 3
Bonaparte, Napoléon: w06 5/1 28
Durant, Will (mwanahistoria): w01 12/15 6
Einstein, Albert: w08 12/1 3
Gandhi, Mohandas: w08 12/1 3; w05 3/15 4; w01 12/15 6
Goodspeed, Edgar J. (mtafsiri wa Biblia): w05 3/15 3
Hyman Enelow (rabi): w05 3/15 3-4
Latourette, Kenneth Scott (mwanahistoria): w08 12/1 3
Price, Reynolds (msomi wa Biblia): w08 12/1 3
Rousseau, Jean-Jacques (mwanafalsafa): w08 12/1 3
Schaff, Philip: w09 4/15 24; w08 12/1 3
Tolstoy, Leo (mwanafalsafa): w08 12/1 3
Wells, H. G. (mwanahistoria): w08 12/1 3
mafundisho kumhusu Yesu:
maisha ya kabla ya kuwa mwanadamu: w12 12/1 16; w11 4/1 5; w10 4/1 5; cf 29; g 12/06 5-6; w05 9/15 4-5; bh 40-42; rs 435; lr 47-48; w00 2/15 11; w98 6/15 22-25; rq 6
alifundishwa kuhusu daraka lake la kuwa Masihi (Isa 50:4-6): w09 1/15 22; cf 133-134
alivyohusika katika uumbaji: ct 86-87
Isaya alimwona Yesu (Isa 6:8; Yoh 12:41): ip-1 94-95; w98 6/15 24
matokeo katika huduma yake duniani: cf 49
mkuu wa kiroho wa Israeli: w10 9/15 21-22
nguvu: cl 88
“stadi wa kazi” (Met 8:30): cf 130-132; w06 8/1 31; w06 9/15 17; w01 3/15 28
tofauti na maisha yake duniani: w08 2/15 12-13
uhusiano pamoja na Yehova: w12 4/15 4; cf 130-132; cl 232-233
unyenyekevu: w12 11/15 11
yaelekea alikumbuka maisha ya kabla ya kuwa mwanadamu alipobatizwa: cf 49; lr 52
maisha ya utu uzima kabla ya kubatizwa: w00 2/15 13
majina na majina ya cheo: w09 2/1 14-15; w08 2/1 14; w08 12/15 15; cf 23
Abadoni: g98 6/8 31
Amina: w09 6/1 27; w08 12/15 13, 15; cf 23; re 66
angepewa jina kabla ya kuzaliwa (Isa 49:1): ip-2 137
imani katika jina la Yesu: w98 12/1 3-7; w98 12/15 30
Imanueli: w09 2/1 14; rs 432-433
‘jina jipya’ (Ufu 3:12): w09 1/15 31; re 65
“jina lililoandikwa ambalo hakuna yeyote anayelijua” (Ufu 19:12): w09 2/15 5; re 280-281
“jina” linapomaanisha mamlaka: w98 12/1 4-5
Mikaeli: w10 4/1 19; w10 9/15 21-22; re 180-181; w05 3/1 30-31; bh 218-219; rs 436-437
Neno: w08 12/15 12-13, 15; cf 23
Yesu Kristo: w11 4/1 3; w10 4/1 15
malaika aliyewaongoza Waisraeli (Kut 23:20-23): w10 9/15 21; w10 12/15 6; w05 3/1 30; w04 3/15 27; dp 204-205
Malaika Mkuu: w10 4/1 19; re 180-181; w05 3/1 30-31; bh 218-219; w04 12/15 19; rs 436-437; g02 2/8 16-17
malaika ‘wamsujudia’ (Ebr 1:6): rs 433-434
mama ya Yesu: w09 1/1 3-10; w08 7/1 14-17; w03 12/15 6-7; w02 12/15 6
kilichofanya watoto wa Maria wasikabidhiwe daraka la kumtunza baada ya Yesu kuuawa: cf 167
maoni ya Yesu kumhusu: w09 1/1 9; rs 186
mamlaka: w07 3/15 6; od 8; cl 88-89
malaika ambaye amesimama juu ya bahari na dunia (Ufu 10:1, 2): re 155-156
malaika mwenye mamlaka kubwa (Ufu 18:1, 2): re 259-260
mamlaka yake yapingwa wakati wa huduma: w99 1/15 25-26
“mamlaka yote” (Mt 28:18): cf 94-95; w04 7/1 8-9
mfano kwa Wakristo: w06 4/1 17-20
mwana-kondoo mwenye pembe saba (Ufu 5:6): re 84-85
maoni ya Yesu kuhusu—
mali: w05 1/1 14-15
Maria (mamake): w09 1/1 9; rs 186
raha: w07 2/15 29
siasa: w12 5/1 5-6; w10 7/1 22-24; rs 137; w01 10/15 3-7; w96 5/1 12
wanawake: w12 9/1 8-11; w08 12/1 6; g 1/08 4-5; cf 141; g05 11/8 19; w03 8/15 7-8; cl 155-156
watoto: w10 5/15 9; w09 9/15 9-10; cf 139-140; my 94; lr 11-12
Maria achukua mimba kimuujiza: bh 42; rs 182; lr 32-33; w02 3/15 19; g99 8/8 30; ct 145-146
alilindwa alipokuwa tumboni mwa Maria: cl 71-72
“bikira atapata mimba” (Mt 1:23): w11 8/15 9-10
kama yai la uzazi la Maria lilihusika: w08 3/15 30
Masihi: w12 4/1 6; w10 4/1 5; w09 12/15 20-24; bm 19; w06 2/15 4-7; w05 1/15 10-14; w05 9/15 4; bh 38-40, 199-201; ct 144-145
akamilisha daraka la Masihi: w09 12/15 23-24
chati za unabii mbalimbali: g 7/12 22-23; bh 200; ip-2 212
kilichofanya Wayahudi wasimkubali: w10 12/1 18-20; w09 12/15 22; w05 1/15 11-12; rs 429-430; w96 11/15 28-31
maelezo kwa Waislamu: rk 18-23, 30; gu 18-19
matarajio katika karne ya kwanza: w11 8/15 8; rs 429; w99 8/15 21; w98 9/15 13-14; ct 144; w97 3/15 4-5
unabii kuhusu majuma 70 (Da 9:24-27): w12 1/1 16; w11 8/15 8-9; g 2/11 18; bm 18-19; w06 2/15 6; bh 197-199; w02 3/15 4-5; w00 5/15 16
Yesu alipopata kuwa Masihi: w07 12/1 26; bh 40
mateso aliyopata:
kielelezo kwa Wakristo (1Pe 2:21): w08 11/15 21; w07 12/1 29-30; cf 74-75; w96 2/15 28
manufaa: w07 8/15 28-29
mavazi:
vazi la ndani lisilokuwa na mshono: w09 7/1 22; w05 1/1 14-15
Mchungaji: w09 4/15 29-30; w07 4/1 26-27
aongoza kondoo: w10 9/15 22
“fimbo ya chuma” (Ufu 2:27; 12:5; 19:15): re 53, 179-180, 282-283
“mchungaji mwema” (Yoh 10:11, 14): cf 9-10, 124-125; w02 9/1 17-18
mfano kwa wazee Wakristo: w10 5/15 9-11; jr 129; od 27-28
mfano kwa Wakristo: w11 3/15 11; w10 2/15 27; w08 12/1 4-7; cf 9; km 9/07 4; w05 1/1 7-12; w05 9/15 21-25; w03 8/15 6-8; w02 3/15 8-13; w01 1/1 31; w01 12/15 15-20; w00 7/1 19-20; w98 11/15 12-14
alivyotenda alipopingwa: cf 43-45; w05 5/15 27-28; w98 12/1 15-16
alivyotenda alipoteswa: w05 1/1 10-11
alivyotenda wanafunzi walipokosea: cf 70-71; w05 9/15 23-24
aliwaachia Wakristo ‘kielelezo ili wamfuate’ (1Pe 2:21): w08 11/15 21; w07 12/1 29-30; cf 74-75
hakuwa na chuki: w00 8/15 5
heshima: w08 8/15 14-15
huduma: w12 2/15 5-6; km 2/10 2; w09 7/15 15-19, 21-22; w08 2/15 13-20; km 4/08 3; w07 11/15 26-30; cf 89-90; km 2/07 1; w05 1/1 12-17; od 77, 92; w02 3/15 11-13
ibada: w08 9/15 26-27
kanuni za kiroho: w07 8/1 4-7
kazi ya kuhubiri: w12 2/15 5-6; km 2/10 2; w02 1/1 8-9
kufundisha: w09 7/15 15-19; cf 83-84, 108-117; km 2/07 6; w02 8/15 10-20; w02 9/1 8-13, 19-22, 24
kuhudhuria ibada katika masinagogi na kushiriki katika sherehe: cf 62-64
kujidhabihu: cl 290-292; w00 9/15 21-22
kukesha: w12 2/15 3-7
‘kumfunua baba’ (Lu 10:22): w12 4/15 3-7
‘kumtazama kwa makini’ (Ebr 12:2): w09 7/15 6; w05 9/15 21; w01 1/1 31; w96 2/15 28-29
kuongoza mikutano: w10 10/15 24
kupinga vishawishi: w11 1/15 23
kutambua kilicho katika moyo wa mwingine: w05 2/1 29-30
kutimiza majukumu: w10 12/15 11-12
kutoa mashauri: w12 3/15 8; re 34
kutumia mamlaka: w06 4/1 17-20
kutunza ahadi: w12 10/15 28
kuwaburudisha wengine: w07 11/15 15-17
kuwafariji waliofiwa: w10 11/1 9-11
kuwaheshimu wengine: w99 8/1 18-19
kuwahudumia wengine: lr 37-41
mahusiano na watu wa familia: w09 7/15 7-11; w02 3/15 10-11
mfano kwa vijana: w12 2/15 13-14; cf 62; w02 11/15 12-13
mfano kwa wake: w09 7/15 9-10; bh 137
mfano kwa wamishonari: w08 2/15 12-20
mfano kwa wanaume: w97 6/15 19
mfano kwa watoto: w12 2/15 13-14; w09 7/15 11; w07 2/15 24-25; cf 36-38, 62; bh 141-142; lr 212-214
mfano kwa waume: w12 7/15 30; w11 5/15 7-8; w10 5/15 11-12; w09 5/15 19-20; w09 7/15 8-9; w07 2/15 13-17; w06 9/15 24; w05 3/1 16; bh 135-137; wt 154; ip-2 342; fy 31-33
mfano kwa wazazi: w11 8/1 9; w09 7/15 10-11; cf 163-165, 167; w05 4/1 9-11; bh 139-141
mfano kwa wazee Wakristo: w11 11/15 29-31; w10 5/15 9-11; w02 3/15 17-18; w00 2/15 15-16
mtazamo: w09 9/15 7-20; w04 9/1 13; km 4/04 6; w00 9/1 6-11
“mvaeni Bwana Yesu” (Ro 13:14): w07 1/1 17
sala: w12 2/15 5; w09 11/15 11; w07 8/1 5-6; cf 72-73, 134, 136; w03 9/15 16; lr 67-71
ujitiisho: w07 2/15 19-20
ujuzi wa Neno la Mungu: w11 3/15 11; w02 6/15 13
upendo: w09 9/15 16-20; cf 128-181; w05 8/15 27
urafiki: w09 10/15 13-15
utii: w11 3/15 11; w10 4/1 30-31; cf 56-65; ip-2 159
uvumilivu: cf 66-75
Mfariji: w11 10/15 27; w03 5/1 16-17; w96 11/1 6, 8-9
Mikaeli: w10 4/1 19; w10 9/15 21-22; re 180-181; w05 3/1 30-31; bh 218-219; rs 436-437; g02 2/8 16-17
‘amesimama’ (Da 12:1): dp 288-289
“atasimama” (Da 12:1): dp 288-289
vita mbinguni (Ufu 12:7-12): re 180-181; bh 219
mjumbe wa amani: w97 1/15 11-12
“Mkamilishaji wa imani yetu” (Ebr 12:2): w09 7/15 6; w98 5/15 10
“mkate kutoka mbinguni” (Yoh 6:32, 33, 51): w10 1/1 24-25; rs 117; w99 8/15 27
Mkombozi: w09 4/15 27-28; w09 9/15 26-28
“Mkuu wa Amani” (Isa 9:6): cf 23; ip-1 131-132
“mkuu wa jeshi la Yehova” (Yos 5:14): w04 12/1 9; w98 6/15 24
mlinzi: lr 172-176
Mnazareti: w11 4/1 5; ip-1 159
Mpaji-Sheria: w96 9/1 15
Mpatanishi: w08 12/15 13-15; w00 11/15 11
anavyofanana na Musa: w09 4/15 27
msaada kutoka kwa: w04 12/15 19
“msaidizi” (1Yo 2:1): w04 12/15 19; w00 3/15 3-9
Mshauri:
jinsi alivyotoa mashauri (Ufu 2, 3): w12 4/15 29; re 34
“Mshauri wa Ajabu” (Isa 9:6): w07 5/15 6; cf 23; cl 211-213; ip-1 129-130
msingi kwa Wakristo (1Ko 3:10, 11; Efe 3:17): be 278; w99 7/15 13-14; w98 11/1 8-10
msingi wa kutaniko: w07 4/15 21
‘mtazamo wa akili’ (Ro 15:5; Flp 2:5): w09 9/15 7-20; w04 9/1 13; km 4/04 6; w00 9/1 6-11
“mtume” (Ebr 3:1): w98 7/15 11
“mungu” (Yoh 1:1): w09 4/1 18-19; w08 11/1 24-25; bh 202-203; g05 4/22 8-9; rs 219-220, 379-380, 431
“Mungu Mwenye Nguvu” (Isa 9:6): rs 376; ip-1 130-131
“mwamba” (Mt 16:18): w10 1/1 26, 28; w07 4/15 21; rs 360-362
‘mwanadamu wa hali ya chini zaidi’ (Da 4:17): w05 10/15 27; rs 397; dp 97
Mwana-Kondoo: w99 12/1 11
‘aletwa kama kondoo machinjioni’ (Isa 53:7): w09 1/15 27-28
“amesimama juu ya Mlima Sayuni” (Ufu 14:1): re 199
aonekana “kana kwamba alikuwa amechinjwa” (Ufu 5:6): re 84-85
‘aongoza umati mkubwa kwenye chemchemi za maji ya uzima’ (Ufu 7:17): w10 9/15 29; w08 9/15 28; re 126-128
bibi-arusi, Yerusalemu Jipya: w07 2/15 13
kitabu cha kukunjwa cha uzima (Ufu 13:8; 21:27): w09 2/15 3; re 192, 310
‘macho saba, roho saba’ (Ufu 5:6): re 84-85
mlo wa jioni wa ndoa (Ufu 19:9): re 72, 277-278
“Mwana-Kondoo wa Mungu” (Yoh 1:29): w09 7/15 6
ndoa (Ufu 19:7-9): re 275-278; w98 10/15 22
“pembe saba” (Ufu 5:6): re 84-85
“Mwana mzaliwa-pekee”: w12 4/1 5; w08 12/15 12, 15
Mwana wa binadamu: w12 4/1 5-6; w11 4/1 8; w10 4/1 5; w07 7/1 12; g05 4/22 3-4
apokea Ufalme (Da 7:13, 14): w10 12/1 5; dp 145-147
avuna “mavuno ya dunia” (Ufu 14:14-16): w10 9/15 26-27; re 211-212
katikati ya vinara saba vya taa (Ufu 1:10-16): re 24-27
nywele “nyeupe kama sufu” (Ufu 1:14): re 25
Mwana wa Mungu: w10 4/1 5, 14; w09 5/1 14-15; bm 19; re 47-48; g 3/06 12-13; g05 4/22 3-4; lr 32-36
alipobatizwa: w98 2/15 13; w96 7/1 15-16
alipofufuliwa: g 3/06 13
alipozaliwa: g 3/06 13
maelezo kwa Waislamu: gu 20; ct 145
mwili:
miili aliyojivika: rs 321-322, 436
“pazia” (Ebr 10:20): w00 1/15 15-16; w96 7/1 15-16
Mwokozi: w08 3/1 4-7; rs 375-376; w01 11/15 3-6
“wokovu wako unakuja” (Isa 62:11): ip-2 347-348
mzaliwa wa kwanza: g 3/06 12-13
“kutoka kwa wafu” (Ufu 1:5): re 18
“wa viumbe vyote” (Kol 1:15): rs 370; w03 7/1 15; cl 55-56, 232
“mzizi na uzao wa Daudi” (Ufu 22:16): re 317-318
“mzizi wa Daudi” (Ufu 5:5): re 83-84
“mzizi wa Yese” (Isa 11:10): w08 10/1 4-5; w06 12/1 9; re 84
Nabii: w09 4/15 25-27; rs 429
nasaba: w12 10/1 24
ndugu (wa kambo): w10 4/1 13; w09 1/1 6; rs 182-183; w03 12/15 3, 8; lr 222
hawakuamini kwamba Yesu ndiye Masihi: w09 1/1 8; w03 12/15 8; lr 223
maelezo ya msomi wa dini wa Kanisa Katoliki: w03 12/15 3
Yakobo: w09 9/1 18; bt 112
Neno la Mungu: w08 12/15 12-13, 15; cf 23
‘hapo mwanzo alikuwa pamoja na Mungu’ (Yoh 1:2): w00 2/15 11
msemaji kwa niaba ya Yehova: w12 4/1 6; w98 6/15 22-23
nguvu:
“nguvu za Kristo” (2Ko 12:9): w08 6/15 6; w06 12/15 24
nguvu za Yehova zinaonyeshwa kupitia Yesu: cl 87-96
nira yake (Mt 11:29, 30): w10 8/1 25-26; km 5/08 1; w07 5/15 11-13; w01 12/15 11-12, 20
‘njia, kweli, na uzima’ (Yoh 14:6): w09 5/15 31-32; w09 7/15 4; cf 19-22; km 11/02 1
nuru kutoka kwa Yesu:
“nuru ya mataifa” (Isa 49:6): w07 1/15 9; ip-2 142; w98 12/15 19
“nuru ya ulimwengu” (Yoh 8:12): w09 7/15 5
‘nyota katika mkono wa kuume’ (Ufu 1:16, 20; 2:1; 3:1): w10 9/15 27; w07 4/1 27-28; re 28-29, 54-55, 136; w03 5/15 10; w02 3/15 14
“roho ya kinywa chake” (2Th 2:8): w08 9/15 30
sauti:
‘kondoo wanaijua’ (Yoh 10:4): cf 124-125; w04 9/1 17; w02 9/1 17-18
‘kutoka katika kile kiti cha ufalme’ (Ufu 19:5): re 274
“sauti ya malaika mkuu” (1Th 4:16): g02 2/8 17
seremala: w10 8/1 24-26; w08 12/1 8; lv 172-173; lr 218-219; cl 209; w00 2/15 13
“Shahidi Mwaminifu” (Ufu 1:5): re 18; jv 19-25
“shahidi mwaminifu na wa kweli” (Ufu 3:14): re 66-67
Shahidi wa Yehova: rs 191; jv 19-25
“sheria ya Kristo” (Ga 6:2): jr 174-175; w08 8/15 26; w06 5/1 29-30; w05 8/15 25-29; cl 153-156; w99 9/15 22-26; w96 9/1 14-24
‘Simba wa kabila la Yuda’ (Ufu 5:5): cf 36; re 83-84
sura: g98 12/8 3-7
“ilikuwa imeharibika” (Isa 52:14): ip-2 198
ndevu: g99 9/22 30
ubatizo katika jina la Yesu: w10 3/15 12-13; wt 113-114
ubatizo wa watu katika—
kifo cha Kristo: w08 6/15 29-30; w06 2/15 23-24; rs 310
Kristo Yesu: w08 6/15 29
uchambuzi wa Biblia: w01 12/15 4-6, 8; w00 5/15 3-4; w96 12/15 3-8
ufufuo: w04 1/15 12; my 102; lr 202-206; ct 161-162
alitoka Hadesi (kaburini): w08 11/1 9
amepewa mamlaka ya kufufua: re 28
awahubiria “roho walio gerezani” (1Pe 3:19): rs 199
maoni ya kwamba Yesu alijifufua (Yoh 2:19): rs 387
“matunda ya kwanza” (1Ko 15:20, 23): w98 7/1 17
mwili haukufufuliwa: rs 116-117, 320-322, 435-436
“mzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu” (Ufu 1:5): re 18
siku ambayo mazao ya kwanza ya shayiri yalitolewa: w07 1/1 21
ufufuo wa kiroho: rs 116-117, 320-322, 435-436
uhakikisho kwa wengine: w07 5/15 27; re 38; we 6; w98 7/1 16-17
uthibitisho: w12 4/1 7; w09 5/1 8; w01 3/15 3-7
“wa Kwanza na wa Mwisho” (Ufu 1:17; 2:8): w09 1/15 30-31; re 27-28, 37-38
ufunuo: w98 9/15 18-19
uhuru kupitia Yesu: w04 3/1 30
uhusiano pamoja na Yehova: w09 4/1 13; cf 15-18; w04 5/1 22; cl 232-233; w97 2/1 12, 18-19
maisha kabla ya kuwa mwanadamu: w12 4/15 4; cf 130-132; cl 232-233
Yehova anamwamini Yesu kabisa: cf 16-17
‘ujazo wote hukaa katika yeye’ (Kol 1:19; 2:9): w11 8/15 24; w09 7/15 4-5; rs 383-384
umoja kati yake na Baba (Yoh 10:30): w09 9/1 28; rs 387-388
‘yule ambaye ameniona, amemwona Baba’ (Yoh 14:9): cf 18
upanga kutoka katika kinywa:
Ufunuo 1:16; 2:12, 16: re 26, 41, 44-45
urithi: w09 2/15 7; w09 3/15 11; w08 5/15 3; w06 8/15 6
utawala wa kifalme: w10 4/1 8, 20; w10 12/15 16-20; w08 1/1 6; cf 185; w06 7/15 4-5; g 12/06 4; bh 77-78; od 13; w04 12/15 6-7; lr 232-236; be 277-278; wt 94-95; km 11/02 1; w00 5/15 16-17; w00 10/15 11; g98 12/8 10-11; rq 12
aja Yerusalemu kama Mfalme: cf 25-27; w00 9/15 16-17; w99 8/1 14-15; w97 3/1 30-31
atamkabidhi Baba Ufalme (1Ko 15:24): re 291, 300; wt 189; w00 10/15 20
baada ya Utawala wa Miaka Elfu (Milenia): wt 100; w00 10/15 20
haki ya Yesu ya kutawala haikufutiliwa mbali na amri juu ya Yehoyakini (Yer 22:30): w07 3/15 10-11
kuanza: w12 8/1 16-17
kusudi: re 171
Mfalme na Kuhani kama Melkizedeki: w99 2/15 30-31
“Mfalme wa wafalme” (Ufu 17:14; 19:16): cf 23; re 284
“Mtawala wa wafalme wa dunia” (Ufu 1:5): re 18-19
nia njema ya Mfalme Yesu: w07 5/15 20
Shilo (Mwa 49:10): w11 8/15 9; w07 12/1 23-25; w04 1/15 29; w02 10/1 17-20
sifa zake kama Mfalme: w07 5/15 7, 20; w07 8/15 28-29; w06 5/1 28, 31; cl 198; g98 12/8 9-10
sifa zinazomstahilisha kuwa mtawala: w10 12/15 16-18
ufalme juu ya kutaniko la Kikristo: cf 184-185; w06 5/1 27
Ufalme ‘ulikuwa umekaribia’ alipokuwa duniani: be 209-210
“ufalme wa Mwana wa upendo wake” (Kol 1:13): rs 318; w02 10/1 18
unafananishwa na ufalme wa Daudi: w09 4/15 30
unafananishwa na ufalme wa Sulemani: w09 4/15 32
ushikamanifu wa Wakristo kwa Ufalme: w06 5/1 27-31
Utawala wa Miaka Elfu: re 286-291; w99 11/1 7-8; w99 12/1 13
“utawala wa ukuu” (Isa 9:6): w10 10/1 24
utawala wa upendo: bm 20
“vilemba vingi” (Ufu 19:12): re 280
Yesu Kristo ni Mrithi wa agano la Ufalme lililofanywa pamoja na Daudi: w10 4/1 20; w06 12/15 4-5; ip-2 236-238
“yeye peke yake asiyeweza kufa” (1Ti 6:15, 16): w08 9/15 31; w05 9/1 27
Zaburi ya 45: cf 58-59; w06 6/1 8-9; re 277; rs 385-386
utii: w10 4/1 30-31; w09 9/15 11-12; w98 7/15 30
“alijifunza kutii kutokana na mambo aliyoteseka” (Ebr 5:8): w09 5/15 11; w07 2/15 26-27; cf 56-57; w06 6/1 13
aliwatii wazazi: cf 62
utotoni: w06 4/1 11; w00 2/15 12
hekaluni alipokuwa mwenye miaka 12: w12 4/1 26-27; w10 4/1 30-31; w09 1/1 6-7; w08 9/1 24; cf 36-37, 133; my 87; lr 212-213
Nazareti: w12 4/1 25-26; w11 4/1 4
safari za kwenda Yerusalemu: w12 4/1 26; w12 9/15 31; km 6/10 3-4; w07 2/15 24-25; w03 12/15 6; w98 3/1 16-17
wanajimu wamtembelea: w12 4/1 24, 29; w10 4/1 13; w10 12/1 10; g 12/10 6; w09 12/1 31; g 12/09 11; w08 1/1 31; w08 4/15 29; w04 12/15 3-4; my 86; rs 276-277; lr 168-169; w02 12/15 32; w00 12/15 6; g99 12/8 14-15; w98 12/15 8-9
Yesu alijua alitoka wapi, na wakati wake ujao: w10 8/15 9
Yesu na wazazi wake wakimbilia Misri: w12 4/1 23-24; w09 1/1 5; g02 1/22 11; g96 8/22 8
utume: w12 12/1 17; cf 79, 81-83; ip-2 322, 324-326
utumishi wa watu wote: w00 11/15 10-11
utu wake: bh 42-45; w01 12/15 7-8; w00 2/15 13-15
uvutano wake kotekote ulimwenguni: w11 4/1 3; w10 4/1 4; w09 4/15 24; g 12/06 3; w05 3/15 3-4; g05 4/22 3
Uzao wa Abrahamu: gu 19-21; w98 2/1 14
Uzao wa mwanamke wa Mungu: bm 28; w08 12/15 14-15; w07 12/1 22-29; w06 2/15 18-19; re 11; cl 189, 191-195; wt 33-35; gu 19-21
ataponda kichwa cha Nyoka: w12 9/15 7; re 14, 181, 286-288, 293-295
atiwa jeraha kwenye kisigino: w09 9/15 26-27; re 14; w97 6/1 8-9
Yesu alipopata kuwa Uzao: w07 11/1 29; w07 12/1 26; cl 195
“uzima ndani yake mwenyewe” (Yoh 5:26): w08 4/15 31; w03 9/15 30
waandishi wa Biblia walioandika kumhusu Yesu: w10 6/1 24-25
‘Wakili Mkuu wa imani yetu’ (Ebr 12:2): w05 9/15 21
“wa Kwanza na wa Mwisho” (Ufu 1:17; 2:8): w09 1/15 30-31; re 27-28, 37-38
watu wa ukoo (jamaa):
labda Salome ni dada ya Maria, mama ya Yesu: w08 12/1 5
mitume waliokuwa wa ukoo mmoja na Yesu: w10 9/1 15
Yakobo, mwana wa Zebedayo: w09 9/1 18
Yohana, mwana wa Zebedayo: bt 33
Yohana Mbatizaji: w10 9/1 15
Yehova—
alimlinda Yesu: lr 168-169
alimpenda Yesu: cl 232-233, 235-236
anamwamini Yesu kabisa: cf 16-17
Yesu anatukuza uadilifu wa Yehova: w10 8/15 8-12
Yehova humvuta mtu kibinafsi kwa (Yoh 6:44): w12 4/15 28
Yehova ni baba ya: w12 1/1 23
Yehova ni kichwa cha Yesu: w10 5/15 8-9
Yehova ni Mungu wa Yesu: w06 3/1 6; rs 373-374
Yesu alitenda kwa adabu: w09 11/15 25
Yesu anazungumziwa kana kwamba yeye mwenyewe ni hekima (Met 8): cf 130-131; w06 8/1 31; w06 9/15 17; w01 3/15 28
Yesu anazungumziwa kana kwamba yeye mwenyewe ni “kweli” (Yoh 14:6): w09 5/15 31; w09 7/15 4; cf 20-21; jv 20
Yesu anazungumziwa kana kwamba yeye mwenyewe ni “uzima” (Yoh 14:6): w09 5/15 32; cf 21-22
Yesu si—
mleta marekebisho: g04 3/22 9
mtu wa kawaida: w12 4/1 5-6; w10 4/1 14; rs 428-429
Mungu Mweza-Yote: w12 4/1 5, 20-22; w09 2/1 7; w09 4/1 18-19; w05 9/15 7; rs 373, 430-434; w02 5/15 6
“Mungu wa kweli na uzima wa milele” (1Yo 5:20): w04 10/15 30-31
nabii tu kama wale manabii wengine: rs 429
roho aliyejivika mwili wa binadamu: w10 4/1 13-14; rs 183
sawa na Baba: w12 4/1 5, 22; w10 4/1 14; w10 12/1 9; rs 372-373, 433
sawa na Yehova anayetajwa katika Maandiko ya Kiebrania: rs 426-427
yeye ndiye ambaye ameketi juu ya farasi mweupe (Ufu 6:2): w09 4/15 30; re 90; w05 1/15 17; w01 6/1 17-22
ushindi: re 90-92, 99; w99 12/1 11
yeye ndiye ambaye ameketi juu ya farasi mweupe (Ufu 19:11-21): re 280-286; my 114
Yohana amwona katika maono: re 24-29
Huduma Duniani
abatizwa na Yohana: my 88
azaliwa “kwa maji na roho” (Yoh 3:5): w96 7/1 15
azamishwa: g 9/07 14
hakuna watu wengine waliokuwapo: w05 1/15 11
kusali: w12 4/1 21; w10 8/15 9; w96 7/1 14
‘mbingu zilifunguliwa’ (Mt 3:16; Lu 3:21): w08 1/15 29; lr 52; w00 2/15 13
“Mwanangu, mpendwa” (Mt 3:17; Mk 1:11; Lu 3:22): w08 1/1 25; g04 8/22 9; w98 2/15 13
“ndiye aliyekuja kwa njia ya maji na damu” (1Yo 5:6): w08 12/15 27-28
roho takatifu yashuka baada ya ubatizo: w98 2/15 13
umuhimu: w12 4/1 16; w10 1/15 3; w10 8/15 9-10; w02 4/1 11; wt 111-112; w96 7/1 14-15
ushuhuda ambao Yohana alitoa baadaye: w05 1/15 11
yaelekea alikumbuka maisha ya kabla ya kuwa mwanadamu: cf 49; lr 52
Yehova atangaza amemkubali wakati wa ubatizo: w10 8/15 10; w08 1/1 25; w96 7/1 14-15
aliepuka siasa kabisa: w12 5/1 5-6; w10 7/1 22; rs 137; w01 10/15 3-7; w96 5/1 12
alihubiri hasa kuhusu Ufalme: w11 4/1 6; w10 4/1 8; w10 7/1 25; bm 20; w08 5/15 12; w07 12/1 27-28; cf 79, 81-83; g 12/06 4; w05 7/1 7; cl 211; jv 21-22; w96 2/1 16
maelezo ya H. G. Wells: w96 2/1 16
alikataa watu walipotaka kumweka awe mfalme: w96 5/1 12
alikula pamoja na Mafarisayo: w03 8/1 29-30
alimfundisha Nikodemo: w08 4/15 31
kuhusu uzima wa milele: w09 8/15 9
alimsifu Yehova: w97 7/1 16-17
alipa kodi ya hekalu: w08 2/1 15; cf 111-112
alipakwa mafuta na Maria, dada ya Lazaro: w10 11/1 6; w07 2/1 20; w03 6/1 4; w00 9/15 16; w99 4/15 16; w97 10/15 15-17
thamani ya yale mafuta: w08 5/1 31
Yuda na mitume wengine walalamika: w05 6/1 13; w00 4/15 31
alipakwa mafuta na mwanamke ambaye jina lake halikutajwa: g02 3/8 27; w01 12/15 16-17
asamehe dhambi za mwanamke huyo: w10 8/15 6-7; cf 142
atoa mfano kuwahusu watu wawili waliokuwa na deni (Lu 7): w10 8/15 6
Yesu alitenda kwa busara: w03 8/1 29-30
alishika Sabato: w10 2/1 12
alitangaza jina la Yehova: w10 4/1 6; jv 20-21
alitumia jina la Mungu: w10 7/1 5; w08 8/1 19-20; rs 295; bi12 1957
alitumia Maandiko: w09 1/15 6; cf 98, 100-107; w02 6/15 13; w99 11/1 12-13
aliwajulisha watu kuhusu haki ya Yehova: w09 1/15 22-23; cf 39-41, 43; cl 148-157; ip-2 31-32, 35-37; w98 8/1 8-12
aliwasaidia watu kwa njia ya kiroho hasa: w00 2/15 20-22, 24-25
aliwatendea Wasamaria kwa upendo: g 8/09 7-8
aliwatumikia wengine (Mt 20:28): w02 8/15 13-14
Anasi asikiliza kesi ya Yesu: w11 4/1 19
asafisha hekalu (30 W.K., 33 W.K.): w12 4/15 5-6; w10 12/15 8-9; w09 6/15 7, 11-12; my 89; cl 148-149, 151; w00 9/15 11, 17; w98 3/15 5-6; w97 8/1 10-11
hakufoka kwa hasira: cl 148
watu waliokuwa wakibadili pesa: w11 10/1 10; cf 40-41; w98 3/15 6; w97 8/1 10
asalitiwa na kukamatwa: w12 3/15 8; cf 35-36, 43-45; my 100
hakujitetea kwa jeuri: w00 4/15 28-29
kiasi ambacho Yudasi alipewa ili amsaliti: w11 8/15 13; w08 9/1 25
kijana aliyekimbia (Mk 14:51, 52): bt 118; w08 2/1 24; w08 2/15 30
Petro ajaribu kumlinda: cf 41, 43; w02 9/1 10; w98 4/1 14-15; w98 4/15 29-30; ct 155
atiwa mafuta kwa roho takatifu: w10 4/15 9; w09 5/15 30-31; w09 8/1 31; ip-2 322; w96 7/1 15
awashutumu Mafarisayo: w01 11/15 21; w00 9/15 19
Bahari ya Galilaya:
alalia “mto” (Mk 4:38): w05 8/15 8
Bethania: w11 4/1 11-15
Galilaya: gl 28; w00 9/15 12-13
Gethsemane:
baada ya mlo wa mwisho: cf 66; w99 3/15 4-5; w96 5/15 21
‘jasho likawa kama matone ya damu’ (Lu 22:44): w00 11/15 22-23
Yesu akamatwa: w12 3/15 8; cf 35-36, 43-45
hakuwa na ubaguzi: g 8/09 7-8
hakuwa sehemu ya ulimwengu: wt 159-161
hali za dini wakati wa huduma ya Yesu: w01 6/15 27-30; w96 1/15 27-29
juma la mwisho duniani: w00 9/15 16-20; w98 3/15 3-9
chati: w11 2/1 22-24; w98 3/15 4
Kaisaria Filipi: w10 1/1 25-27
Kana: cf 144-145
kanuni kuhusu jinsi ya kuwatendea wengine (Kanuni Bora) (Mt 7:12; Lu 6:31): w08 5/15 11; w07 10/1 5
kazi muhimu alipokuwa duniani: w12 5/1 10; w07 8/1 6
kazi ya kuhubiri: cf 77-86; g01 7/22 10; w00 7/1 14-15; jv 556
kesi: w11 4/1 18-22; my 101; lr 198-199; w99 3/15 5-6
Sheria yavunjwa: w11 4/1 19-21
Yesu anyamaza: w11 8/15 14; w09 5/15 4; w08 10/1 5; w98 12/1 15; w96 5/15 21-22
kilichofanya awaagize wanafunzi wasiwaambie watu kwamba yeye ni Kristo: ct 151, 153
kugeuka sura: w10 1/1 27-28; w05 1/15 12-13, 16-17; w00 4/1 12-14
kusudi la huduma yake: w12 12/1 17; cf 79, 81-83; jv 19-22; rq 6
‘kutoa ushahidi juu ya ile kweli’ (Yoh 18:37): w05 1/1 14-16; w03 10/1 9-10; jv 20
maarufu: g 3/12 15
maelezo: cf 76-127; w04 3/1 5; gl 28; w00 9/15 10-20; jv 19-22
Mafarisayo wampinga: w07 7/15 17-18
Yesu alichofanya: cf 113-114; w05 5/15 27-28
mafundisho: g 1/07 19; w05 3/15 4-7; cl 211-213; gu 22-23
chati yenye mafundisho 31: w01 12/15 12-14
kuhusu furaha: w10 8/1 16-17
kuhusu ibada ya kweli: w10 2/1 16-17
kuhusu jinsi ya kumfuata Kristo: w10 5/1 16-17
kuhusu jinsi ya kuwatendea wengine: w10 5/1 16; w08 8/1 16-17
kuhusu kifo: w12 11/1 7; w10 1/1 19; w08 11/1 16-17; bh 59
kuhusu kufunga: w09 4/1 28
kuhusu kusudi la maisha: w12 11/1 5
kuhusu kuteseka: w12 11/1 9
kuhusu maisha ya familia: w09 11/1 16-17
kuhusu moto wa mateso: w08 11/1 5-8
kuhusu msamaha: w10 4/1 21; lr 77-81; w97 12/1 15, 20
kuhusu sala: w09 2/1 16-17; w09 2/15 15-19
kuhusu talaka: cf 104-105
kuhusu Ufalme: w11 4/1 6; w10 4/1 8-10; bm 20; w08 5/1 16-17
kuhusu umalizio wa mfumo mwovu: w09 5/1 16-17
kuhusu upendo: w99 7/1 4-5
kuhusu viumbe wa roho: w10 11/1 16-17
kuhusu wakati ujao: w09 8/1 22-23
kujihusu: w10 4/1 5
kumhusu Mungu: w10 4/1 6-7; w08 2/1 16-17
matokeo ulimwenguni pote: w10 4/1 4
Mahubiri ya Mlimani: w09 2/15 6-19; cf 103-104, 119-120; my 91; ct 152
hali na mandhari: w09 2/15 6; cf 46, 48
hekima: cf 50-51; cl 211-212
kanuni kuhusu jinsi ya kuwatendea wengine (Kanuni Bora) (Mt 7:12; Lu 6:31): w08 5/15 11; w07 10/1 5; w04 6/1 32; w01 12/1 3-7
maelezo ya Gandhi: yb11 11-12; w07 6/15 5; ct 152
maelezo ya wengine: ct 152
mahusiano kati ya watu: w08 5/15 3-11
mambo makuu: ct 152
mambo yanayoleta furaha: w09 2/15 6-10; w04 9/1 4-5; w04 11/1 8-18
maneno yanayoeleweka kwa urahisi: cf 109
mashauri yanayofaa: w02 3/15 5-6
majaribio ya kumnasa katika maneno: w10 7/1 22-23
makao:
Galilaya: gl 28
malaika walimtia nguvu: w09 5/15 23
mambo aliyotabiri:
uharibifu wa Yerusalemu: g 4/11 12-13; w07 4/1 8-11; w06 12/15 17-18; rs 35-36; w03 1/1 8-9; w99 5/1 14-15; w97 4/1 5-6; w96 8/15 16-18
umalizio wa mfumo (ulimwengu): bm 22; w99 5/1 8-24; w96 8/15 9-20
mamlaka:
yapingwa: w99 1/15 25-26
maofisa washindwa kumkamata: cf 108; w02 9/1 8
Martha:
afarijika: w11 4/1 11, 14
ashauriwa: w11 4/1 13; w11 4/15 28; w07 2/15 16; w99 9/1 30-31
masinagogi: w10 4/1 16
matukio yaliyotangulia huduma yake duniani: w96 1/15 26-29
mifano: cf 118-127; w02 9/1 13-18; be 242-246; cl 213-214
mitume: lr 74-75
amwita Nathanaeli (Bartholomayo): w02 8/15 13
mabishano juu ya ukuu: w12 4/15 6; w12 11/15 15-16; w10 8/15 3; w09 9/15 8; cf 31-32, 70-71, 162; w05 4/1 9-10; w99 9/15 23-24
Yesu aosha miguu ya mitume: w12 11/15 10; w09 1/1 19; w09 11/15 24; cf 32-34; w03 3/15 4-5; lr 38-39; w02 2/1 15; w99 3/1 30-31; ct 154-155
Yesu awachagua Petro, Andrea, Yakobo, na Yohana: w11 11/15 24-25
miujiza: bm 21; cl 92-93; w99 7/1 5-6
aliwaagiza wale ambao aliwaponya wasiwaambie wengine: w08 2/15 28
idadi: w04 8/15 30; cl 92
inaonyesha mambo yatakayotukia wakati ujao: w10 8/15 29-30; w09 3/15 12; g05 4/22 11; w02 5/1 4-6; cl 95-96
kusudi: w11 4/1 6; bm 21; w00 2/15 24; rq 6
uthibitisho wa kwamba ilitukia: w04 7/15 3-7
Mlo wa Jioni wa Bwana: bm 23; my 99; rs 336-340; lr 193-196; w99 3/15 4; w96 3/15 8
mazungumzo kabla na baada ya mlo: bm 23; cf 161; w03 3/15 4-7; w02 2/1 14-18; w96 3/15 8-9
mitume wabishania ukuu: w10 8/15 3; w09 9/15 8
mkate na divai: w04 3/15 5; rs 205-207, 337-338; w03 2/15 14-15; w03 4/1 4-6
Yesu hakula mkate wala kunywa divai ya Ukumbusho: w10 3/15 27
Yesu na mitume waimba baada ya mlo: w09 12/1 30
Mmishonari: w08 2/15 12
mtawala kijana tajiri: w07 10/1 3-4; cf 5-7; w06 1/1 22; w05 3/15 12-14
mtazamo kuhusu huduma: cf 84-86
mtazamo kuwahusu watu: w08 2/15 20
Mwalimu: w12 4/1 6; bh 43; lr 10-15; be 56-60; cl 89-90, 92, 211-216; w00 2/15 14-15
alifundisha ‘kwa mamlaka, si kama waandishi’ (Mt 7:29; Mk 1:22): cf 46, 48, 101
alikataa jina la heshima “Mwalimu Mwema” (Mk 10:17, 18): w08 2/15 30; rs 428; cl 271
alitumia maandiko yanayohusiana: w02 4/1 8
alitumia maswali: w10 4/15 13; cf 111-113; w02 9/1 9-10; be 253-254; cl 214-215
alitumia vitu mbalimbali kama vielelezo: be 247-248
alivyokuwa tofauti na viongozi wa dini: w08 2/15 14-15; w01 12/15 18; w96 9/1 15-16
aliwafundisha watu kufikiri kupatana na kanuni: w97 10/15 29
aliwahurumia watu: cf 158; cl 292-293
alizoezwa na Yehova: w08 2/15 13-14
mfano kwa Wakristo: w09 7/15 15-19; cf 83-84, 108-117; w02 8/15 10-20; w02 9/1 8-13, 19-22, 24
mfano kwa wazee Wakristo: w11 11/15 29-30
mwanamke aosha miguu yake kwa machozi: w10 8/15 6-7; cf 142; w03 8/1 29-30; g02 3/8 27; w01 12/15 16-17; w99 10/15 12
mwanamke Msamaria kisimani: w09 8/15 9; g 1/08 4; cf 40, 77, 79, 81; my 90; w01 8/1 5; w99 6/15 23; ct 147-149; w97 2/1 31
Nazareti: cf 98-100; lr 138-139; cl 209
asoma kitabu cha kukunjwa cha Isaya (Lu 4): w10 4/1 17-18; w08 4/1 30
nyikani:
afunga: w96 11/15 6
atafakari: w07 12/1 26
Pasaka 33 W.K.: bm 23; w99 3/15 3-4
Yesu aosha miguu ya mitume: w12 11/15 10; w10 4/1 21-22; w09 1/1 19; w09 11/15 24; cf 32-34; w03 3/15 4-5; lr 38-39; w02 2/1 15
Petro akemewa: w10 1/1 27; w08 10/15 25; w07 2/15 16-17; w05 3/15 11; w02 8/15 27
Petro alijifunza kusamehe kutoka kwa Yesu: w10 4/1 21-26
Petro amkana Yesu: w12 8/15 22-23; w10 4/1 21, 23-24; w08 1/1 26; lr 157-161
asamehewa: w10 4/1 24-26; w08 6/1 23; w07 7/15 19; cf 168; cl 297-299; w00 6/15 19
Pilato asikiliza kesi: w11 4/1 21-22; cf 172-173; w05 9/15 11-12
jukumu la Pilato: w06 3/15 21
mashtaka: w11 4/1 21; wt 160-161
Pilato ajaribu kumwachilia: w11 4/1 21-22
Pilato akubali mashtaka: w12 8/15 22; w11 4/1 22; bt 136
Pilato aliogopa aliposikia kwamba Yesu “alijifanya mwenyewe kuwa mwana wa Mungu” (Yoh 19:7, 8): w08 6/1 27
vazi: g 11/07 7
Yesu apigwa mijeledi: g 8/12 19; cf 68; g98 12/8 6-7
ramani: bi12 1965; gl 29
roho aliyoonyesha: w97 2/1 17-18
‘saa haikuwa imefika’: w06 12/1 30-31; w00 9/15 10-15
‘saa imefika’: w06 12/1 30-31; w00 9/15 15-20
sala: w09 11/15 11; w07 8/1 5-6; cf 134, 136; lr 67-71; w98 11/15 14; w97 2/1 18-19
Gethsemane: w07 8/1 6; cf 66; kp 25
kabla ya kuchagua mitume (Lu 6:12): w12 2/15 5
Yesu aomba “kikombe” kipitilie mbali au kiondolewe: w11 5/15 18-19; lr 43; w00 11/15 22-23
sala ya kielelezo: g 2/12 12-13; w10 10/1 7-8; w09 2/15 17-18; w04 2/1 8-17; w04 9/15 3-7; lr 70-71; w02 4/1 5-6; w99 1/15 13-14; w96 7/15 5-6
Sherehe ya Vibanda (Maskani): w98 3/1 12-13
siku ya mwisho ya maisha ya Yesu duniani: w99 3/15 3-9
suala kuhusu Sabato: w11 7/15 24; cf 104; w02 8/15 11-12; w02 9/1 18; cl 153
Tomasi aongea na Yesu na kumwita “Mungu wangu” (Yoh 20:28): g05 4/22 9; rs 431-432
Tomasi atilia shaka ufufuo: w04 12/1 31
uhusiano pamoja na—
wanafunzi: w11 11/15 29
wanawake: w12 9/1 8-11; w10 5/15 9; w08 12/1 6; g 1/08 4-5; cf 141; g05 11/8 19; w03 8/15 7-8; cl 155-156; g00 4/22 15; w99 9/1 30-31; g98 4/8 13
watoto: w10 5/15 9; w09 9/15 9-10; cf 139-140; lr 11-12; w00 2/15 15-16; w98 11/1 30-31
watu mbalimbali: w97 2/1 17-18
Yehova: w09 4/1 13; w04 5/1 22; w97 2/1 18-19
umati wa watu walivyoweza kusikia sauti ya Yesu: be 139
viapo dhidi ya (Mt 5:34-37): w12 10/15 27-28
viongozi wa dini wampinga: w10 12/1 19-20; w98 12/1 15-16
vishawishi: w11 1/15 23-24; w11 5/15 17-18; w09 5/1 26; cf 59-61, 103; lr 52-56; w02 8/15 11, 26-27; w01 10/15 5-6; w97 5/1 5
aahidiwa falme zote: w10 4/15 23; w01 10/15 5-6
kama Shetani alitumia njozi: g01 6/8 30
masuala yaliyohusika: w07 12/1 26-27
Shetani alitamani “tendo la ibada”: w08 9/15 27
vinafanana na vishawishi vya siku hizi: w08 11/15 29-31; cf 61-62; w02 10/15 12
wanafunzi: lr 72-76
kushauriwa kutotamini umashuhuri: w12 5/15 29
utume: bt 7-8; cf 87-97; w06 2/1 22-23; w04 7/1 8-19; w00 2/15 22, 24
wanafunzi 70 watumwa: w00 11/1 21; w98 3/1 30-31
wanafunzi wa kwanza: w11 11/15 24-25
washauriwa: w11 11/15 30
washindwa kumponya mvulana (Mt 17:20; Mk 9:29): w98 8/1 30
wengi waacha kumfuata: w10 1/1 24-25; w05 9/1 21-22
Yesu awapa wanafunzi maagizo kuhusu kazi ya kuhubiri: cf 90-91, 93-94
Yesu awazoeza: w11 11/15 30; cf 89-91, 93-94; w05 1/1 12-13
Yesu hakuwa na shaka kuhusu uaminifu wa wanafunzi: cf 54-55, 169-170; cl 217
wanawake waliomhudumu: w03 6/1 4-5; w01 12/15 17
watu maskini: w06 5/1 4-5; w05 5/15 6
watu wa kawaida walivutiwa: cl 154-155
Wayahudi walimkataa:
sababu: w10 12/1 18-20; w09 12/15 22; rs 429-430
Yerusalemu: gl 30
aingia akiwa amepanda mwana-punda: cf 25-27; my 97; w00 9/15 16-17; w99 8/1 14-15; w98 3/15 3-4; w97 3/1 30-31
Yesu ahukumiwa na Sanhedrini: w11 4/1 19, 21; w06 1/15 12; w06 9/15 12-13
Yesu awaalika watu wawe wafuasi wake: w09 1/15 3; cf 6-8, 13
Yesu awashutumu waandishi: w00 9/15 19
Yohana Mbatizaji:
ukoo mmoja na Yesu: w10 9/1 15
Yudea: gl 28
Sifa
alielewa hali za watu: w00 3/15 6-7
alifikiria hisia za wengine: cf 152-155; cl 94-95; w00 2/15 17-18
alikuwa rafiki wa kweli: w08 12/1 6
aliwaheshimu wengine: w08 12/1 6
aliyatilia maanani mahangaiko ya watu: cf 144-145
bidii: w10 12/15 8-9, 11-12; w09 1/15 5-6; w09 6/15 7
busara: cl 217
fadhili: w09 9/15 9-10
haki:
‘afanya yaliyo haki kuwa wazi kwa mataifa’ (Mt 12:18): cf 39; cl 151-156; w98 8/1 8-12
awatolea “mataifa haki” (Isa 42:1-4): w09 1/15 22-23; cl 148-157; ip-2 31-32, 35-37; w98 8/1 5, 11
hakufanya dhambi: cf 59-62; rs 77-78
hakuumiza hisia za wengine: w03 8/1 29-30
hana upendeleo (ubaguzi): w08 12/1 5-6; w03 6/15 14
hekima: w09 1/15 4; cf 46-55; cl 209-218
Sulemani ni mfano wa Yesu: w09 4/15 30-31
heshima: w08 8/15 14-15
hisia-mwenzi: w08 12/1 5; cf 152-154; w02 4/15 25
huruma: w10 8/15 29-32; w08 2/15 16; w08 12/1 5; cf 150-160; cl 292-297; w97 12/15 28-29
kutoweza kufa: w06 10/1 5
maelezo: w08 12/1 4-6; cf 24-75; w06 5/1 28, 31; bh 44-46; w03 8/15 6-8
mtu mkamilifu:
alikuwa mkamilifu ingawa mama yake hakuwa mkamilifu: w08 7/1 15; g99 8/8 30
angaliweza kuanzisha jamii kamilifu ya wanadamu: w00 3/15 4
mtu wa vitendo: ct 159
mwenye kiasi: cf 53-54; w02 3/15 17; cl 154; w00 3/15 22; w00 8/1 19
mwenye shukrani: w99 4/15 16
nguvu:
alipokamatwa: w00 4/15 28-29
rehema: w07 9/15 22
anatenda kwa rehema akiwa kuhani mkuu: km 11/02 1
shangwe: w01 5/1 9
“shangwe iliyowekwa mbele yake” (Ebr 12:2): w08 10/15 32; lv 203-204; cf 73-74; w00 9/1 12; w99 10/1 21
subira: w12 9/15 20; w10 4/1 21-22; cf 162-163; w05 4/1 9-10
tayari kukubali sababu (usawaziko): cf 54-55, 147; cl 218
ucheshi: w03 8/15 7
uhodari: w12 2/15 13-14; w09 9/15 13-15; w08 12/1 6; cf 35-45; w06 10/1 21
ujasiri: w09 7/15 21-22
ujitoaji-kimungu:
“siri takatifu” (1Ti 3:16): w08 6/15 13; w08 9/15 30-31; w06 2/15 19; cl 196; wt 57
ukamilifu:
alifanywa kuwa mkamilifu (Ebr 2:10; 5:9; 7:28): w09 5/15 11
ukuu: w10 4/1 4; w08 12/1 3; g 12/06 3
mkuu kuliko Musa: w98 7/15 11
unyenyekevu: w12 11/15 10-14; w09 1/15 4-5; w08 2/15 15; w07 11/1 6; cf 25-34; g 3/07 20-21; w05 1/1 7; w05 10/15 27-28; cl 217-218; w00 9/1 6-7; w99 2/1 6
mafunzo kwa wanafunzi: w12 11/15 10-11, 15-16; w08 3/15 4; w99 3/1 30-31
upendo: cf 128-181; w05 9/15 6; w02 2/1 14-15; cl 290-299; w99 7/1 5
‘alipenda uadilifu; alichukia uovu, uasi-sheria’ (Zb 45:7; Ebr 1:9): cf 58-59
anampenda Yehova: cf 129-138, 175-176
anapenda kweli zinazotoka kwa Mungu: cf 80-81; w02 8/15 10-12
anawapenda Wakristo: w08 10/15 9-10; cf 161-171; re 71-72
anawapenda wanadamu: cf 176; cl 231; w97 11/1 8-9
anawapenda watu: w09 1/15 6-7; w09 7/15 18; w08 2/15 15-16; w07 11/15 22; cf 81, 144-147; w02 8/15 12-14
upendo wake ‘watulazimisha’ (2Ko 5:14): w10 5/15 26-27; w10 6/1 9; w05 3/15 14; w98 12/15 16; g96 10/8 27
upole: w09 9/15 7-9; cf 146-147; w03 4/1 16-17; g01 11/22 24
usawaziko: w08 12/1 4; cl 216; w00 2/15 14
ushikamanifu (uaminifu-mshikamanifu): w96 3/15 12
aliunga mkono mpango wa hekaluni: w97 8/1 10-11
ustahimilivu: w01 11/1 14
utakatifu: w06 11/1 22-23; re 59; cl 30
utambuzi: w08 12/1 5
utayari:
kumfunua Baba: w12 4/15 6-7
utimilifu (uaminifu-maadili): cf 64-65; w02 8/15 26-27; w97 5/1 5
uvumilivu: cf 66-75
watu walijihisi huru kumwendea: w08 12/1 4-5; cf 139-149; w02 3/15 17-18; w00 2/15 15-16
Unabii Uliotimia
Mwanzo:
“maneno ya kupendeza” (Mwa 49:21): w02 8/15 12
Shilo (Mwa 49:10): w11 8/15 9; w07 12/1 23-25; w04 1/15 29; w02 10/1 17-20
Kumbukumbu la Torati:
nabii aliye kama Musa (Kum 18:15, 18, 19): w09 4/15 25-28; g04 4/8 12-13; w00 2/15 24
Zaburi:
Zaburi ya 72: w10 8/15 28-32; w04 11/1 6-7
‘alichukiwa bila sababu’ (Zb 69:4): w11 8/15 11
alifufuliwa (Zb 16:10): w11 8/15 16
alipewa siki na mmea wenye sumu (Zb 69:21): w11 8/15 15
alitukanwa (Zb 22:7, 8): w11 8/15 15
‘bidii kwa ajili ya nyumba yako’ (Zb 69:9): w10 12/15 8-9
hakuna mfupa uliovunjwa (Zb 34:20): w11 8/15 16
jiwe lililokataliwa lawa jiwe kuu la pembeni (Zb 118:22): w11 8/15 12-13
“keti kwenye mkono wangu wa kuume” (Zb 110:1): cl 194
‘kura ilipigwa ili kugawanya mavazi yake’ (Zb 22:18): w11 8/15 15
“kwa ini umeniacha?” (Zb 22:1): w11 8/15 15-16
“kwenye mikono yangu na miguu yangu” (Zb 22:16): g 8/12 19; w11 8/15 14
mashahidi wa uwongo watoa ushahidi juu yake (Zb 35:11): w11 8/15 14
‘mtu ambaye alikuwa akila mkate wake’ amsaliti (Zb 41:9): w11 8/15 13
“umechukua zawadi katika namna ya wanadamu” (Zb 68:18): w10 9/15 18; w99 6/1 9-10
‘uvutio juu ya midomo’ (Zb 45:2): w02 8/15 12
Isaya: g 8/12 19-20; w09 1/15 21-29; w08 10/1 4-6
Isaya 9:6, 7: w10 10/1 24; w07 5/15 6; cf 23, 189; ip-1 129-132
Isaya 50:4-11: w09 1/15 22; ip-2 157-164
Isaya 61:1-3: w11 8/15 10; ip-2 322, 324-326
“agano la watu” (Isa 42:6; 49:8): w09 1/15 23
“alihesabiwa pamoja na wakosaji” (Isa 53:12): w11 8/15 14
alikaa kimya mbele ya watu waliomshtaki (Isa 53:7): w11 8/15 14
alilindwa (Isa 42:6; 49:8): w09 1/15 23; w05 6/1 9
alitemewa mate na kupigwa (Isa 50:6): w11 8/15 14; w09 1/15 22; cf 172; ip-2 159-161
“aliyachukua magonjwa” (Isa 53:4): w11 8/15 11
‘atamwita jina Imanueli’ (Isa 7:14): ip-1 107-109
“hatapaaza kilio” (Isa 42:2): ip-2 31-32, 35
“ishara kwa ajili ya vikundi vya watu” (Isa 11:10; 62:10): ip-2 345-346; ip-1 165-166
‘kaburi pamoja na matajiri’ (Isa 53:9): g 7/12 24; w11 8/15 16
“kiongozi na kamanda” (Isa 55:4): w07 4/1 27; ip-2 238-242
‘kwa sababu ya hukumu, aliondolewa mbali’ (Isa 53:8): w11 8/15 13-14
“mgongo wangu niliwapa washambuliaji” (Isa 50:6): g 8/12 19
“Mshauri wa Ajabu” (Isa 9:6): w07 5/15 6; cf 23; cl 211-213; ip-1 129-130
“mtumishi wangu” (Isa 42:1-7): w09 1/15 22-24; ip-2 30-32, 35-38, 40-41; w98 8/1 5
“mtumishi wangu” (Isa 52:13–53:12): w09 1/15 24-29; gu 21-22; ip-2 194-214; ct 108-109
‘mwanamwali atachukua mimba’ (Isa 7:14): w11 8/15 9-10; w08 10/1 4
“mzizi wa Yese” (Isa 11:10): w08 10/1 4-5; w06 12/1 9; re 84
“nuru ya mataifa” (Isa 42:6): w09 1/15 23-24; ip-2 37-38, 40-41
‘tawi na chipukizi kutoka Yese’ (Isa 11:1-10): w10 12/15 16-19; w08 10/1 4-5; w06 12/1 9; re 84; rs 171; ip-1 159-161, 163-166
uzao wa Daudi (Isa 9:7): g 7/12 23; bh 200
watu wa Galilaya ‘wangeiona nuru kuu’ (Isa 9:1, 2): w11 8/15 10-11; ip-1 125-127
wengi hawakumkubali (Isa 53:1): w11 8/15 11
Yeremia:
‘Raheli awalilia wanawe’ (Yer 31:15): w11 8/15 10
Ezekieli:
“mtumishi wangu Daudi” (Eze 34:23, 24; 37:24, 25): w07 8/1 11
Danieli:
“majuma 70” (Da 9:24-27): w12 1/1 16; g 7/12 24; w11 8/15 8-9; g 2/11 18; bm 18-19; w06 2/15 6; bh 197-199; w02 3/15 4-5; dp 186-197; w98 9/15 13-14
‘mtozaji angepitishwa’ (Da 11:20): dp 233; w98 12/15 7
Hosea:
“kutoka Misri” (Hos 11:1): w11 8/15 10; jd 55; bh 201
Mika:
‘alipigwa kwenye shavu’ (Mik 5:1): w11 8/15 14
alizaliwa Bethlehemu (Mik 5:2): g 7/12 23-24; w11 4/1 4; w11 8/15 9; bm 19; w08 10/1 22-23; bh 201; w03 8/15 18
Zekaria:
‘alichomwa’ (Zek 12:10): w11 8/15 16
“amepanda juu ya punda” (Zek 9:9): w12 11/15 12; w11 8/15 12; w97 3/1 30
“mpige mchungaji, na wale wa kundi watawanyike” (Zek 13:7): w11 8/15 13
vipande 30 vya fedha vililipwa (Zek 11:12, 13): w11 8/15 13
Malaki:
“Eliya” atayarisha njia (Mal 4:5, 6): w11 8/15 10
“mjumbe wa agano” (Mal 3:1): w10 3/15 23; w10 9/15 25-26; w07 4/1 22; w07 12/15 27-28; jd 179-182; re 31-32, 55-56
‘aliitwa Mnazareti’ (Mt 2:23): w11 4/1 5; ip-1 159
alipokufa: g 8/12 18-20; w11 4/1 8
chati: g 7/12 22-23; jd 55; bh 200; ip-2 212
haiwezekani kujua idadi kamili ya unabii kumhusu Kristo: w11 8/15 17
maelezo: w12 1/1 16; g 7/12 22-24; w11 8/15 8-16; bh 199-201; wt 33-37; w00 5/15 16
unabii wa Kayafa: w06 1/15 12