WEMA
(Ona pia Wema wa Adili)
“hakuna mtu aliye mwema, ila mmoja, Mungu” (Mk 10:18): rs 428; cl 271
kama dini zinawachochea watu watende mema: w04 2/15 3-4
kama mtu anaweza kuwa mwema bila kuwa mwanadini: w06 9/1 3-5
kinachofanya iwe vigumu kufanya mema: lr 137-141
kinachowafanya watu wawe wema au waovu: g 4/10 20-21
kuwa na sifa ya wema: w03 1/15 28-31; km 8/03 1; w02 1/15 16-20
kuwatendea wengine mema: w12 1/15 23; w05 11/1 7; km 4/05 1; w00 1/15 26
kuzingatia sifa nzuri za wengine: w03 6/15 17-22; w02 8/15 13
maelezo: w07 7/15 24
maoni ya kwamba Mungu anataka tu mtu awe “mwema”: g 7/07 20-21
ni tofauti na uadilifu: cl 271
“pendeni yaliyo mema” (Amo 5:15): w04 11/15 23-24
“shikamaneni na mema” (Ro 12:9): w07 7/1 23-24
tengenezo la Yehova: w06 7/15 19-23
tunda la nuru (Efe 5:9): w02 1/15 16-17
ufafanuzi: w02 1/15 10-11; cl 270-271
unawachochea watu watende mema: w04 12/1 6-7
ujuzi sahihi: w06 1/1 6-7
wazee Wakristo: w06 5/1 20-21
wema wa Yehova: w02 1/15 10-15; cl 270-279