Kutoka 22:21 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 21 “Haupaswe kumutendea mubaya mukaaji mugeni wala kumukandamiza,+ kwa sababu mulikuwa wakaaji wageni katika inchi ya Misri.+ Kumbukumbu la Torati 10:18 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 18 Anatenda haki kwa ajili ya mutoto mwenye hana baba* na mujane+ na anamupenda mukaaji mugeni,+ anamupatia chakula na nguo. Yakobo 1:27 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 27 Namna ya ibada* yenye kuwa safi na yenye haina uchafu kwa maoni ya Mungu wetu na Baba ni hii: kuhangaikia mayatima+ na wajane+ katika taabu yao,+ na kuendelea kubakia bila doa kutokana na ulimwengu.+
21 “Haupaswe kumutendea mubaya mukaaji mugeni wala kumukandamiza,+ kwa sababu mulikuwa wakaaji wageni katika inchi ya Misri.+
18 Anatenda haki kwa ajili ya mutoto mwenye hana baba* na mujane+ na anamupenda mukaaji mugeni,+ anamupatia chakula na nguo.
27 Namna ya ibada* yenye kuwa safi na yenye haina uchafu kwa maoni ya Mungu wetu na Baba ni hii: kuhangaikia mayatima+ na wajane+ katika taabu yao,+ na kuendelea kubakia bila doa kutokana na ulimwengu.+