-
Yeremia 35:15Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
15 Na niliendelea kutuma kwenu watumishi wangu wote manabii, nikiwatuma tena na tena,*+ na kusema, ‘Tafazali, murudie, kila mumoja wenu kutoka kwenye njia zenu za uovu,+ na mufanye mambo yenye kuwa sawa! Musifuate miungu mingine na kuitumikia. Halafu mutaendelea kukaa katika inchi yenye niliwapatia ninyi na mababu zenu.’+ Lakini hamukutega sikio lenu wala kunisikiliza.
-