Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Isaya 59:7, 8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  7 Miguu yao inakimbilia kufanya uovu,

      Na wanafanya haraka ili kumwanga damu yenye haina kosa.+

      Mawazo yao ni mawazo yenye kuumiza;

      Uharibifu na taabu viko katika njia zao.+

       8 Hawakujua njia ya amani,

      Na hakuna haki katika njia zao.+

      Wanapotosha barabara zao;

      Hakuna mwenye anatembea mule mwenye atapata amani.+

  • Yeremia 35:15
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 15 Na niliendelea kutuma kwenu watumishi wangu wote manabii, nikiwatuma tena na tena,*+ na kusema, ‘Tafazali, murudie, kila mumoja wenu kutoka kwenye njia zenu za uovu,+ na mufanye mambo yenye kuwa sawa! Musifuate miungu mingine na kuitumikia. Halafu mutaendelea kukaa katika inchi yenye niliwapatia ninyi na mababu zenu.’+ Lakini hamukutega sikio lenu wala kunisikiliza.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine