-
2 Wafalme 18:19Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
19 Basi Rabshake akawaambia: “Tafazali, mumuambie Hezekia, ‘Mufalme mukubwa, mufalme wa Ashuru, anasema: “Musingi wa tumaini lako ni nini?+
-
-
2 Wafalme 18:24Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
24 Basi, namna gani unaweza kumurudisha nyuma hata gavana mumoja mwenye kuwa mudogo zaidi kati ya watumishi wa bwana wangu, na wakati huohuo unategemea Misri kwa ajili ya magari na kwa ajili ya wapanda-farasi?
-