-
2 Wafalme 16:8, 9Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
8 Kisha Ahazi akakamata feza na zahabu yenye ilikuwa katika nyumba ya Yehova na katika hazina za nyumba ya mufalme na akatuma rushwa* kwa mufalme wa Ashuru.+ 9 Mufalme wa Ashuru akakubali ombi lake, na akapanda kuenda Damasko na akaikamata na akakamata watu wake na kuwapeleka katika uhamisho kule Kiri,+ na akamuua Resini.+
-