Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 15:29
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 29 Katika siku za Mufalme Peka wa Israeli, Mufalme Tiglat-pileseri+ wa Ashuru alishambulia na kukamata Iyoni, Abel-bet-maaka,+ Yanoa, Kedeshi,+ Hasori, Gileadi,+ na Galilaya⁠—​inchi yote ya Naftali+⁠—​na akakamata wakaaji na kuwapeleka katika uhamisho kule Ashuru.+

  • 2 Wafalme 17:6
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 6 Katika mwaka wa kenda (9) wa Hoshea, mufalme wa Ashuru akakamata Samaria.+ Kisha akakamata na kupeleka watu wa Israeli katika uhamisho+ kule Ashuru na akawakalisha katika Hala na Habori kwenye muto Gozani+ na katika miji ya Wamedi.+

  • 2 Wafalme 18:11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Kisha mufalme wa Ashuru akakamata Israeli na kuwapeleka katika uhamisho+ kule Ashuru na akawakalisha katika Hala na Habori kwenye muto Gozani na katika miji ya Wamedi.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 5:26
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 26 Basi Mungu wa Israeli akachochea roho ya Mufalme Pulu wa Ashuru+ (ni kusema, Mufalme Tilgat-pilneseri+ wa Ashuru) na hivyo akakamata na kupeleka katika uhamisho Warubeni, Wagadi, na nusu ya kabila la Manase, na akawapeleka Hala, Habori, Hara, na muto Gozani,+ na wako kule mupaka leo hii.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine