-
2 Wafalme 18:19Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
19 Basi Rabshake akawaambia: “Tafazali, mumuambie Hezekia, ‘Mufalme mukubwa, mufalme wa Ashuru, anasema: “Musingi wa tumaini lako ni nini?+
-
-
2 Wafalme 18:25Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
25 Sasa je, nimepanda kuja kupigana na mahali hapa ili kupaharibu bila ruhusa kutoka kwa Yehova? Yehova mwenyewe aliniambia, ‘Panda uende kupigana na inchi hii na uiharibu.’”
-