30 Yehova atafanya sauti yake kubwa+ isikike
Na ataonyesha mukono wake+ wakati unashuka kwa kasirani kali,+
Ukiwa na mwali wa moto wenye kuteketeza,+
Mvua nyingi ya kushitukia+ na zoruba yenye mungurumo na mvua ya majiwe.+
31 Kwa sababu ya sauti ya Yehova, Ashuru itashikwa na woga mukubwa;+
Yeye ataipiga kwa fimbo.+